Huku mnakoelekea, mtajichimbia wenyewe kaburi lenu. Kamwe hamtafanikiwa.Tunataka MoU ifutwe, ina faida gani kwa Watanzania wote kwa sasa?
Madarasa yanahitaji wanafunzi, wanafunzi wanahitaji walimu, vifaa vya maabara, fedha ya kuendeshea shule, vyoo vya kutosha na huduma ya maji safi na Vitabu na maktaba zilizosheheni.Hakuna sababu kwa sasa, siasa na uchumi vimebadilika.
Shule madarasa mpaka yanahitaji wanafunzi. Hospitali zote za kulipia, hakuna ya bure.
Kwanini serikali iendelee kupeleka pesa za Watanzania wote kanisani?
Kama serikali ina fungu la sadaka la taasisi za kidini basi isibaguwe. MoU kwa sasa haina kazi wala faida kwa Watanzania wote..
Memorandum of understanding! Yaani makubaliano kati ya kanisa na serikari, mtonyo wa serikali unaotokana na kodi zetu kwenda kuhudumia mahospitali na mashule ya kanisa yanoyotoza tozo kubwa kuhudumia wananchiMoU ni nini wadau ? Hapa sijaelewa kirefu chake !
Nilijua hawezi kujibu, kwasababu ni mpuuzi asiyejielewa, siku zote ametawaliwa na mihemko yenye chuki za kidini tu, lakini kichwani hana akili yoyote.Kwa kushindwa kujibu hoja zangu hizo unanipa fursa ya kukuelimisha;
1. Serikali inatoa ruzuku kwa taasisi mbalimbali kama kanisa, misikiti, vyama vya siasa ambavyo vingime hata huvijui n.k.
2. Zunguka nchi hii ukajionee huduma za afya kwenye hospital za serikali na zile za dini, kama utatumia akili yako badala ya mihemko mada yako utaifuta.
3.Ada ya shule za kanisa, ada ya shule za serikali na ada ya shule binafsi zinatofautiana.
4. Ukiondoa hospitali ya taifa, tiba bora zinapatikana kwenye hospital za rufaa za kanda, sitaki kujua mmiliki wake.
5. Licha ya serikali kukusanya kodi na kutoa huduma za jamii kwa hyo kodi, bado hospitali za serikali zinatoza fedha, kuhusu ubora wa huduma hizo malizia mwenyewe.
Haya ndio mawazo ya masikini, vichwa vyao vinawaza shida muda wote, na raha yao badala ya kujiongeza wafanane na wale waliowazidi, wanataka wote turudi kukaa kwenye mikeka, tunywe kahawa, na kutafuna kashata, na kupiga umbea, jambo ambalo haliwezekani kamwe.
Tunataka MoU baina ya Serikali na Kanisa ifutwe, ina faida gani kwa Watanzania wote kwa sasa?Huku mnakoelekea, mtajichimbia wenyewe kaburi lenu. Kamwe hamtafanikiwa.
Tusidanganyane, hakuna hosptali inayohudumia burw kwa sasa, hata za serikali tunalipia.Hili jamaa jamaa ni la Ajabu sana!! Linafikra za udini alafu alijui Dini. Mungu huyu ni wa wote na ukianza kuona unajitenga na jamii jitafakari sana unawezakuwa unaitafuta safari ya Milembe.
Hivi hizo hosptali zinahudumia watu bila kutumia pesa? Hivi zinahudumia watu wenye Itikadi gani? Hivi ukiishiwa damu unajui damu unayoongezewa ni ya mtu wa itikadi gani? Udini hautachukua miaka mingi huko mbeleni kwasababu kizazi kijacho watakuwa na elimu nzuri.
Aahaaaaa,zikipelekwa BAKWATA je?Tunataka MoU baina ya Serikali na Kanisa ifutwe, ina faida gani kwa Watanzania wote kwa sasa?
Hatutaki pesa zetu zipelekwe kanisani. Simpo.
Bakwata pesa zake inapeqa na kanisa.Aahaaaaa,zikipelekwa BAKWATA je?
Yani sijawahi kuona watu wajinga kama wewe. Yani sijui ni msabato au mjinga. Dola ya Rumi na kanisa katoliki wapi na wapi? Mbona wepesi sana kuamini conspiracy? Jinga Sana. Waislam wagekuwa wanalipua makanisa? Embu grow the f*ck up and learn proper facts from proper sources.TATIZO KUBWA tunapowafundisha Vitu Huwa Hamuelewi.
Vichwa Vimejaza Majini.
Kanisa la Rumi, Roman Catholic.
Ni Dola ya kale ya Roman Empire.
Tawala KUBWA ya sasa ya Dunia.
Tawala za Dunia tangu kuanzishwa.
1. Uyunani.
2. Babeli.
3. umedi na Ujemi.
4. Roman Empire.
Roman Empire ndio Dola inatawala Dunia nzima, Ndio walianzisha DINI ya kiislamu kwa LENGO la KUTAWALA DUNIA.
(Hakuna MUISLAMU ASIYEMJUA WARAQ Bin Nurfai) padre wa KATOLIKI ALIYEMPA UTUME fake Mohamed.
Ili watawale Dunia wanatumia VIONGOZI mapandikizi Yao Marais wote wanakuwa Waroma au WAISLAMU almost Dunia nzima.
Mfano BAKWATA IPO CHINI YA SELIKALI LAKINI NYUMA YAKE NI ROMAN EMPIRE. (VATCAN)
Wakina JF KENEDY walipojaribu kupinga Dora ya Rumi waliuwawa Dakika Moja
Eg Magufuli
MOU haifutwi mjinga wewe, ukitaka ifutwe msisogelee taasisi zisizowahusu wabaguzi wakubwa nyie. Chuo tu mlipewa bure ila mkristo pale hasimu kwa amani. , Ila SAUT ,na vyuo vya wenzenu mnajazana kama nzi Wazimu kweli nyie msio na shukurani utadhani mmeibiwa. Kujiliza tu kila sikuIngawa moderators mada zangu mnazifuta au kuzihamisha, inabidi mstahamili tu sindano iwaiingie.
Huwezi kuuita mtandao wa kijamii halafu uwe "biased". Uzuri tunawafahamu siku nyingi Max na mwenzako, kwanza ni wadini halafu nsiasa zenu mnapendelea upinzani.
Tutakwenda na nyinyi hivihivi.
Mada hapa ni MoU ya serikali na kanisa, kwa sasa haina faida yoyote. Ifutwe.
Taassi hazituhusu, zinatuhusu pesa zetu zinzotoka serikalini.MOU haifutwi mjinga wewe, ukitaka ifutwe msisogelee taasisi zisizowahusu wabaguzi wakubwa nyie. Chuo tu mlipewa bure ila mkristo pale hasimu kwa amani. , Ila SAUT ,na vyuo vya wenzenu mnajazana kama nzi Wazimu kweli nyie msio na shukurani utadhani mmeibiwa. Kujiliza tu kila siku
Zimeenda kanisa gani? Hivi mnajua kinachoendelea kweli waislam 90% ni mabunju sana. Yani ata reasoning ya kawaida tu hakuna. Issue ni wivu na chuki tu dhidi ya ukristo, mkiamini nyie ni superior lakini hamjiamini mpaka muwashushe wenzenu. Hivyo kabisa.Tusidanganyane, hakuna hosptali inayohudumia burw kwa sasa, hata za serikali tunalipia.
Hatutaki pesa zetu kwa sasa zipelekwe kanisani. Simpo.
Umeziona? Zimeenda kanisa gani? Parokia ipi taja basi tujue kweli unafahamu au unaleta maneno ya fitina na Majungu tu. Taja kanisa linalopokea na account number zao. Hovyo kweli.Taassi hazituhusu, zinatuhusu pesa zetu zinzotoka serikalini.
Hatutaki pesa zetu zipelekwe kanisani.
hatuna cha "reasoning wala seasoning", tunataka MoU ifutwe na pesa zetu hatutaki ziende serikalini.Zimeenda kanisa gani? Hivi mnajua kinachoendelea kweli waislam 90% ni mabunju sana. Yani ata reasoning ya kawaida tu hakuna. Issue ni wivu na chuki tu dhidi ya ukristo, mkiamini nyie ni superior lakini hamjiamini mpaka muwashushe wenzenu. Hivyo kabisa.