Hili jamaa jamaa ni la Ajabu sana!! Linafikra za udini alafu alijui Dini. Mungu huyu ni wa wote na ukianza kuona unajitenga na jamii jitafakari sana unawezakuwa unaitafuta safari ya Milembe.
Hivi hizo hosptali zinahudumia watu bila kutumia pesa? Hivi zinahudumia watu wenye Itikadi gani? Hivi ukiishiwa damu unajui damu unayoongezewa ni ya mtu wa itikadi gani? Udini hautachukua miaka mingi huko mbeleni kwasababu kizazi kijacho watakuwa na elimu nzuri.
Hivi hizo hosptali zinahudumia watu bila kutumia pesa? Hivi zinahudumia watu wenye Itikadi gani? Hivi ukiishiwa damu unajui damu unayoongezewa ni ya mtu wa itikadi gani? Udini hautachukua miaka mingi huko mbeleni kwasababu kizazi kijacho watakuwa na elimu nzuri.