Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Huu uzi hautapata wachangiaji.Mleta uzi kalenga hasa panapoumiza.Huo mkataba ni hatare sana ila hao manafiki hawapendi hata kuuongelea kibisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uzi hautapata wachangiaji.Mleta uzi kalenga hasa panapoumiza.Huo mkataba ni hatare sana ila hao manafiki hawapendi hata kuuongelea kibisa.
Ukiwa unaabudu kwa kugonga kuchwa kwenye sakafu huwezi kuwa na akili. Yaani Sheikh Ponda alipaswa aaangalie Takwimu za Watanzania waliohudumiwa kwenye hosipitali hizo na kulinganisha kuwa ingekuwaje kama zisingekuwapo!!Kuna mkataba ambao mimi binafsi sijawahi kuuona isipokuwa nasikia hauna ukomo na badala ya kuingiza chochote katika mfuko wa taifa huwa unakula tu na kudhoofisha wananchi kiuchumi na hata kiimani.
Mkataba huo ni ule kati ya kanisa katoliki na serikali ya Tanzania ambapo kwa mujibu wa mmoja wa masheikh anasema kama hivi:
Hili limechokonolewa,wao kwa kujifanya wanajua.Aisee.
Pesa zote zinaishia huko,zitaboresha mda gani.Jamani nina swali tuu. Kwani hizo hospitali wanatibiwa watu wa kanisa tu? Ni watu wa imani moja tuu ndiyo wanatibiwa hapo?
Tukienda mfano Bugando, KCMC na nyinginezo pale mbona watu wengi tu wanatibiwa pale. Na hospitali hizi zimekuwa msaada kwa watu wengi tena wa aina zote za kiimani. Hivyo sioni shida kuchangia huduma za kiafya, vinginevyo kama alivyosema mdau mmoja hapo juu basi serikali iboreshe huduma zake za afya badala ya kutegemea sekta binafsi. Ni maoni[emoji1488].
Kuna maeneo ya nchi hayana hospitali za serikali, so hizo hospitali za Kanisa zinatoa huduma kwa umma wate bila kujali diniKuna mkataba ambao mimi binafsi sijawahi kuuona isipokuwa nasikia hauna ukomo na badala ya kuingiza chochote katika mfuko wa taifa huwa unakula tu na kudhoofisha wananchi kiuchumi na hata kiimani.
Mkataba huo ni ule kati ya kanisa katoliki na serikali ya Tanzania ambapo kwa mujibu wa mmoja wa masheikh anasema kama hivi:
Mchochezi tu wewe huna lolote!!Kuna mkataba ambao mimi binafsi sijawahi kuuona isipokuwa nasikia hauna ukomo na badala ya kuingiza chochote katika mfuko wa taifa huwa unakula tu na kudhoofisha wananchi kiuchumi na hata kiimani.
Mkataba huo ni ule kati ya kanisa katoliki na serikali ya Tanzania ambapo kwa mujibu wa mmoja wa masheikh anasema kama hivi:
Huu aliyetoa siri hii,apongezwe,tena hii ni ya mda mrefu,ni miaka.Mkataba wa bandari nao unahudumia kama hivyo na hautoishia kuhudumia watanzania tu bali nchi zote za kusini na kati ya Afrika.Jambo zuri zaidi ni kuwa kuna fedha nyingi kuliko vyanzo vyote vya kipato zitakuwa zinaingia serikalini.
Kinyume na huo mkataba wa kanisa kumbe wanachukua peke yao tu
Unataka kumpa kazi sheikh Ponda isiyokuwa na faida yoyote.Akalinganishe takwimu za nini.Anachosema yeye mabilioni ya pesa za serikali yanayovuja kwa kanisha bila ukomo ni kitu kisichostahili kabisa,Ukiwa unaabudu kwa kugonga kuchwa kwenye sakafu huwezi kuwa na akili. Yaani Sheikh Ponda alipaswa aaangalie Takwimu za Watanzania waliohudumiwa kwenye hosipitali hizo na kulinganisha kuwa ingekuwaje kama zisingekuwapo!!
Kuwa na elimu kiduchu ni hatari kuliko kutokuwa na elimu kabisa!!!Kuna mkataba ambao mimi binafsi sijawahi kuuona isipokuwa nasikia hauna ukomo na badala ya kuingiza chochote katika mfuko wa taifa huwa unakula tu na kudhoofisha wananchi kiuchumi na hata kiimani.
Mkataba huo ni ule kati ya kanisa katoliki na serikali ya Tanzania ambapo kwa mujibu wa mmoja wa masheikh anasema kama hivi:
Kwani hiyo bandari,wanaonufaika ni wa Kenya sio watanzania?Kwani hizo hospitali zinatibu wakenya ? Si kila mtanzania anaweza enda KCMC, Bugando na zingine nyingi na akatibiwa.
Huu mkataba,hawausemi,kwa vile wao ni wanufaika.Na kwa mujibu wa JPM, hospitali za wilaya alikuwa anajenga kwa Tshs. 1.5 Bilioni. Kwa hiyo shilingi bilioni 30 ni karibu kujenga hospitali 20 hivi kwa mwaka, mwaka unaofuata unanunua vifaa tiba, na kuajiri wahudumu. Aisee, hii mikataba ya ajabu sana
Mbona zipo nyingi tu,hospital za waislamu,lakini hazipati,kama Istiqama wanazo hospital,na zna madaktari Bingwa.Agha Khan pia wanazo hospitalWaislamu wajenge hospitali zao nao waingie MoU na Serikali
Huu ndio ukweliHata kama zinatibu watanzania wasichukue pesa kutoka serikalini.Wachangishane wenyewe.
Hajui anachokiongea kwa kuwa hana akiliUnataka kumpa kazi sheikh Ponda isiyokuwa na faida yoyote.Akalinganishe takwimu za nini.Anachosema yeye mabilioni ya pesa za serikali yanayovuja kwa kanisha bila ukomo ni kitu kisichostahili kabisa,
Na kwa nini ziwe hospital za kikatoliki,wakristo wengine hawana hospital?Wanatibiwa watu wote ila bei zake ni za juu sana. Hata wakristo wanaumizwa na hizo hospital.
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo kinyongo chote hicho ni kwa kuwa hospitali zenu zimekosa fursa hiyo? Eti? Hii ni tabia ya uke wenza!Mbona zipo nyingi tu,hospital za waislamu,lakini hazipati,kama Istiqama wanazo hospital,na zna madaktari Bingwa.
Acha kutetea,aliyeleta mkataba huu,apewe hongera.Sjaona dini ya kishamba kama hii hivi unasemaje mkataba wa kunyonya nchi wakati serikali inatoa pesa ili wananchi wapate huduma. Alafu mlishukuru sana kanisa katoliki mzungu hakua tayari kumpa nchi muislamu. Kama historia ilikupita watafute wazee wakupe ukweli
Hizo pesa wanazopewa,ni kodi za waislamu pia zimo.Wataka wajenge mara ngapi.Halafu waislamu ni watu wakimya sana.Huu mkataba upo miaka,hawajapiga kelele,na hawatibiwi bure,wanalipia matibabu.Waislam na nyie jengeni zenu msaini hyo MoU na serikali over! Kwan shida iko wap si mjenge zenu????
Huwenda pia hizo hospital,zimejengwa kwa kodi za serekali,kimya kimya.Mm nilifikiri kwamba na nyie mmejenga hospitali za rufaa then serikali ikakataa kuwapa hyo Mou mnayo imba kila siku. Kumbe ni maneno maneno maneno tu!!!
Huyu aliletea mkataba huu;apewe hongera.Acha unaa,chuki,uchonganishi na uchochezi ndugu mzalendo wa mrengo uliouchagua na kuzamiamoo[emoji848]