Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Kuna mkataba ambao mimi binafsi sijawahi kuuona isipokuwa nasikia hauna ukomo na badala ya kuingiza chochote katika mfuko wa taifa huwa unakula tu na kudhoofisha wananchi kiuchumi na hata kiimani.

Mkataba huo ni ule kati ya kanisa katoliki na serikali ya Tanzania ambapo kwa mujibu wa mmoja wa masheikh anasema kama hivi:

Ukiwa unaabudu kwa kugonga kuchwa kwenye sakafu huwezi kuwa na akili. Yaani Sheikh Ponda alipaswa aaangalie Takwimu za Watanzania waliohudumiwa kwenye hosipitali hizo na kulinganisha kuwa ingekuwaje kama zisingekuwapo!!
 
Jamani nina swali tuu. Kwani hizo hospitali wanatibiwa watu wa kanisa tu? Ni watu wa imani moja tuu ndiyo wanatibiwa hapo?

Tukienda mfano Bugando, KCMC na nyinginezo pale mbona watu wengi tu wanatibiwa pale. Na hospitali hizi zimekuwa msaada kwa watu wengi tena wa aina zote za kiimani. Hivyo sioni shida kuchangia huduma za kiafya, vinginevyo kama alivyosema mdau mmoja hapo juu basi serikali iboreshe huduma zake za afya badala ya kutegemea sekta binafsi. Ni maoni[emoji1488].
Pesa zote zinaishia huko,zitaboresha mda gani.
 
Kuna mkataba ambao mimi binafsi sijawahi kuuona isipokuwa nasikia hauna ukomo na badala ya kuingiza chochote katika mfuko wa taifa huwa unakula tu na kudhoofisha wananchi kiuchumi na hata kiimani.

Mkataba huo ni ule kati ya kanisa katoliki na serikali ya Tanzania ambapo kwa mujibu wa mmoja wa masheikh anasema kama hivi:

Kuna maeneo ya nchi hayana hospitali za serikali, so hizo hospitali za Kanisa zinatoa huduma kwa umma wate bila kujali dini
 
Kuna mkataba ambao mimi binafsi sijawahi kuuona isipokuwa nasikia hauna ukomo na badala ya kuingiza chochote katika mfuko wa taifa huwa unakula tu na kudhoofisha wananchi kiuchumi na hata kiimani.

Mkataba huo ni ule kati ya kanisa katoliki na serikali ya Tanzania ambapo kwa mujibu wa mmoja wa masheikh anasema kama hivi:

Mchochezi tu wewe huna lolote!!
 
Mkataba wa bandari nao unahudumia kama hivyo na hautoishia kuhudumia watanzania tu bali nchi zote za kusini na kati ya Afrika.Jambo zuri zaidi ni kuwa kuna fedha nyingi kuliko vyanzo vyote vya kipato zitakuwa zinaingia serikalini.
Kinyume na huo mkataba wa kanisa kumbe wanachukua peke yao tu
Huu aliyetoa siri hii,apongezwe,tena hii ni ya mda mrefu,ni miaka.
 
Ukiwa unaabudu kwa kugonga kuchwa kwenye sakafu huwezi kuwa na akili. Yaani Sheikh Ponda alipaswa aaangalie Takwimu za Watanzania waliohudumiwa kwenye hosipitali hizo na kulinganisha kuwa ingekuwaje kama zisingekuwapo!!
Unataka kumpa kazi sheikh Ponda isiyokuwa na faida yoyote.Akalinganishe takwimu za nini.Anachosema yeye mabilioni ya pesa za serikali yanayovuja kwa kanisha bila ukomo ni kitu kisichostahili kabisa,
 
Kuna mkataba ambao mimi binafsi sijawahi kuuona isipokuwa nasikia hauna ukomo na badala ya kuingiza chochote katika mfuko wa taifa huwa unakula tu na kudhoofisha wananchi kiuchumi na hata kiimani.

Mkataba huo ni ule kati ya kanisa katoliki na serikali ya Tanzania ambapo kwa mujibu wa mmoja wa masheikh anasema kama hivi:

Kuwa na elimu kiduchu ni hatari kuliko kutokuwa na elimu kabisa!!!
 
Na kwa mujibu wa JPM, hospitali za wilaya alikuwa anajenga kwa Tshs. 1.5 Bilioni. Kwa hiyo shilingi bilioni 30 ni karibu kujenga hospitali 20 hivi kwa mwaka, mwaka unaofuata unanunua vifaa tiba, na kuajiri wahudumu. Aisee, hii mikataba ya ajabu sana
Huu mkataba,hawausemi,kwa vile wao ni wanufaika.
 
Unataka kumpa kazi sheikh Ponda isiyokuwa na faida yoyote.Akalinganishe takwimu za nini.Anachosema yeye mabilioni ya pesa za serikali yanayovuja kwa kanisha bila ukomo ni kitu kisichostahili kabisa,
Hajui anachokiongea kwa kuwa hana akili
 
Mbona zipo nyingi tu,hospital za waislamu,lakini hazipati,kama Istiqama wanazo hospital,na zna madaktari Bingwa.
Kwa hiyo kinyongo chote hicho ni kwa kuwa hospitali zenu zimekosa fursa hiyo? Eti? Hii ni tabia ya uke wenza!
 
Sjaona dini ya kishamba kama hii hivi unasemaje mkataba wa kunyonya nchi wakati serikali inatoa pesa ili wananchi wapate huduma. Alafu mlishukuru sana kanisa katoliki mzungu hakua tayari kumpa nchi muislamu. Kama historia ilikupita watafute wazee wakupe ukweli
Acha kutetea,aliyeleta mkataba huu,apewe hongera.
 
Mm nilifikiri kwamba na nyie mmejenga hospitali za rufaa then serikali ikakataa kuwapa hyo Mou mnayo imba kila siku. Kumbe ni maneno maneno maneno tu!!!
Huwenda pia hizo hospital,zimejengwa kwa kodi za serekali,kimya kimya.
 
Back
Top Bottom