Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Waislamu mmejenga hospitali gani yenye hadhi ya bugando..?
Sioni tatizo la TEC kumiliki Bugando na KCMC tatizo hizo hospital zina masharti ya hispital binafsi,bei ya huduma ipo juu.

Serikali ijenge hospital,halafu hizo ziendelee kuwa za wakatoliki,wajiendeshe wenyewe bila kutumia kodi za Watanzania.

Serikali haina dini kwanini sasa wanaipa hela dini moja halafu dini zingine hazipewi kwa kisingizio cha Hospital ambayo kimsingi inauza huduma ?
 
Hujui chochote punguani wewe yaani serikali ndiyo iliomba kuipa pesa kanisa? Unajua waliohusika na huo mkataba?
Shida unapambana na kokolo kubwa sana,hao Wakatoliki humuwawezi ata mfanyaje.Cha msingi na nyie jengeni Hospitali zenu alafu muende kuomba ruzuku serikalini kama wenzenu.
Lakini kwa porojo zenu hizo mtaishia kulalama tu,kama mke mwenza anayemlalamikia mke mkubwa kupendelewa!
Juzi Rais Samia amezindua kitega Uchumi cha Kanisa la Anglican Dodoma;nyinyi mbona hatuwaoni kujenga vitega Uchumi vyenu?
Chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro,Yale majengo ni ya serikali lakini mlipewa na Mkapa,kwani Wakristo wamelalamika?
 
Waislamu wengi sana hupata huduma za Kanisa bila ya Ubaguzi unajua kwa mfano Waislamu wangapi hutibiwa KCMC au Bugando? Na hiyo ni mifano midogo tu kuna Wilaya kubwa Tanzania huduma pekee ni ya Kanisa na kila mtu hutibiwa au unafikiri hakuna Muislamu anasoma SAUT ?

Serikali siyo wajinga wanachangia kwa sababu haina uwezo wa kufikia kila Mtanzania kwa huduma za Matibabu na hata elimu, hivyo labda haujui unachokihoji.

Shida kubwa ya Uislamu ni dini inayonyanyapaa na kukanyaga masikini na watu wa chini wasio na mtetezi, Waislamu maelite hawajali Waislamu wa chini ndiyo maana Uislamu hautoi huduma kwa jamii hata tu watoto yatima hakuna ndiyo maana wewe unahoji Kanisa kupata fedha ktk Serikalini kwa sababu kwako masikini na watu chini siyo kitu.

Viingozi wa Kiislamu wenye uwezo sijawahi kusikia hata siku moja wakianzisha foundation kama Mkapa foundation kusaidia watu, wao kazi yao starehe na kupiga picha social media tu …
Mimi Ni mkristo tena lia lia lakini kwa hili ya 36 BILIONI ,

HAIKUBALIKI..

Kama serikali haina Dini mbona Dini zingine hawapewi?
 
TEC inafahamu kwamba mwaka 2014 maaskofu wote Katoliki Tanzania akiwemo Kardinali Pengo na wasaidizi wake walipokea mamilioni ya shilingi pesa taslimu na nyingine kwenye akaunti zao kama Askofu Nzigilwa (milioni 80 benki) na Kilaini (milioni 40 benki). Inajua fedha hizo zilitoka katika kampuni yenye makando kando ya rushwa ya kihistoria Tanzania. Wananchi wengi walipiga kelele lakini fedha hizo hazikurudi wala hakuna kumbukumbu za kanisa katoliki kupinga na kusema Sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu.
Raisi Kikwete alisema sio pesa ua umma 🙂
 
Lini wananchi walishirikishwa mkataba kati ya TEC na Serikali, hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi.
Lini Wananchi walishirikishwa na serikali kutoa majengo yake kwa Waislamu ili waanzishe Chuo Kikuu Mkoani Morogoro!!?
 
Kwa kweli, baada ya hili suala la DPW, tunataka na Mkataba usio na Kikomo kati ya Serikali na Kanisa uwekwe hadharani nao tuujadili na tukubaliane juu ya vifungu vyake kama bado kwa zama hizi tunautaka ama tuachane nao. MOU kati ya Kanisa na Serikali, pia hatuutaki kwa sababu serikali ndio inawajibu wa kutoa huduma za jamii kwa watu wake ikiwemo afya na elimu. Hatuwezi kukubali kuendelea kutoa bilions of Shilings kwa kanisa endlessly wakati kila siku serikali imekuwa ikijenga hosp na vituo vya afya kote nchini. Je hizo zinazolipiwa kanisani ni kwa nini? Mikataba yote ya janja janja ipigwe chini.
Umetoa hoja nzuri sana.
Lakini ule mkataba MOU ukiusoma Kanisa nalo niliibana serikali isijenge huduma inayofanana na waliyonayo kwenye maeneo walipowekeza.

Kwa kifupi hawataki ushindani ili wafanye biashara yenye faida.

Mkataba uletwe kwa wananchi tuamue kama uendelee au ukome
 
TEC inazo nguvu za kuiangusha CCM kuliko taasisi yoyote ile nchini.
Kupitia idadi ya waumini wake waliotapakaa nchi nzima pamoja na jumuia zake na woote ni watiifu kwa maaskofu wao.

Habari hii iwafikie wajinga woote mliomo humu.
 
Serikali yenyewe inaendeshwa na mvaa kobazi anayewaza kujenga msikiti na kisima cha kujitawazia unafikiri atakuwa na akili hiyo?
DP world ishajenga hospital kubwa sana mbeya (Msikiti na kisima cha kujitawazia).
Waislam nao wangejenga hospital haya mambo yasingekuwepo. Kwa gharama za uendeshaji za hospital, hiyo hela ni ndogo sana ilifaa iwe 1 trillion kwa mwaka ili wavaa kobazi nao washituke wajenge hospitali
Hiyo ndio imeenda
 
Kama kuna maendelo kwani waislam kutoka Syria, Afrika magharibi na Libya wanakufa kwenye maji wanaenda Uingereza na Italy? Kwanini wasiende Dubai ambapo kuna maendeleo?
Hao wanaowaendea ndio ambao wamewaharibia Nchi zao kwa kuwapeleke mapigano kwa hiyo ndio sawa sawa waende kwa hao hao
 
TEC inafahamu kwamba mwaka 2014 maaskofu wote Katoliki Tanzania akiwemo Kardinali Pengo na wasaidizi wake walipokea mamilioni ya shilingi pesa taslimu na nyingine kwenye akaunti zao kama Askofu Nzigilwa (milioni 80 benki) na Kilaini (milioni 40 benki). Inajua fedha hizo zilitoka katika kampuni yenye makando kando ya rushwa ya kihistoria Tanzania. Wananchi wengi walipiga kelele lakini fedha hizo hazikurudi wala hakuna kumbukumbu za kanisa katoliki kupinga na kusema Sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu.
Hizo pesa walipewa Maaskofu wao binafsi kulingana na mahusiano Yao na Rugemalira au ilipewa TEC kama Baraza la Maaskofu?

Kumbuka kuna Bilioni 320 zingine IPTL anapaswa alipwe na serikali baada ya kushinda kesi!
Mwambie Samia asilipe kwasababu watagawiwa tena Maaskofu![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila Mwamba una hoja za kitoto sana!
 
Back
Top Bottom