Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Dr Slaa kitaaluma ni Padre ni vizuri angefunguka zaidi kuhusu ili suala la MoU.

Hapana! Dr.W.Slaa kitaalamu ni Mwanasheria wa Sheria za Kanisa (Canon Law) ila amewai kujitolea kuwa Mtumishi wa Mungu (Padre). Hakuna taaluma za Upadri, Uchungaji, Uaskofu, Uinjilisti, etc!

TUMBIRI (PhD, HULL City - UK),
tumbiri@jamiiforums.com
 
Ndio lengo kwamba mwisho wa siku wote tukasome kanisani? Hii unayoona bla blaa ndiyo MoU inayowanufaish nyie wakristo. Sitegemi wewe unisupport ila nafanya hivi makusudi ili mwisho wa siku uelewe kwamba mnachofanya ni dhulama.

Serikali inawezaje kuwa na aina hii ya dhulma kwa kundi fulani la jamii?:

Ufisadi wa MoU uko hapa ambapo DR Slaa nasikitika hakuweza kutuelezea kwa undani:

The government shall provide vacancies in its Teachers training colleges for training qualified persons as teachers earmarked for church owned schools. Article xi

The government shall endeavour to include financial assistance for church run social services in its bilateral negotiations particularly with the Federal Government of Germany. Consideration shall be made during its bilateral negotiations with other donors. Article xiii.

Sasa wakristo tujadiliane kwa hoja:

1)Hivi ni haki kwa serikali isiyokuwa na dini kutowa nafasi za upendeleo kwenye elimu kama artcle xi inavyosema, tena isitoshe kw manufaa ya kanisa?

2)Ni haki kwa serikali isiyokuwa na dini kuombea kanisa misaada katika Nyanja za kimataifa.

Sasa hapa ni kipi mnahitaji kuoneshwa ili muamini kwamba serikali inawazunguka waislam?

sio lazima kusoma kanisani kama hutaki unaweza kwenda ata shule ya kata bt kumbuka wazee wenu waliokua na mawazo kama yako ya kukataa kusoma shule za kanisa ndo yamewafanya muwe na kizazi dhaifu kielimu dhidi ya wakristo na wewe na wenzako wenye mawazo kama yako ndo mnazidi kukididimiza kizazi cha waislamu kielimu so msilalamike mtakapokuta nchi imeshikwa na wakristo wenye elimu ya uhakika kwa maana mnaikataa elimu wenyewe kisa inatolewa na kanisa...
 
Nashukuru kwa kupata maelezo ya kutoshereza kuhusu MOU, Kwa ufupi wezetu WAISLAM kipindi hicho hawakuwa na chakuchangia katika MASHULE yaliyo taifishwa maana hawakuwa na shule wala Hospitali ndio maana hawakuweka mkataba wa kutokutaifishwa tena shule na hospitali zao, sasa hawa wenjetu wajitokeze waseme wameelewa au hawajaelewa?
 
Hamna ugomvi hapo wa eti tulimalize kwa Amani ni uwezo wao mdogo tu wa kufikiri ndo unawafanya wapige kelele na unaweza kukuta hao wanaopiga kelele wanatibiwa kwenye hizo hospitali na watoto wao au wao wenyewe wamesoma kwenye hizo shule.Kuna uwezekano mkubwa Bakwata walijitoa/Walitolewa kwasababu hawakuwa na Maslahi yoyote hapo kwa maana hawakuwa na shule au hospitali zilizotaifishwa au hawakutegemea kupata msaada wowote kwa wahisani kuziendesha shule na hospitali zao kumbuka msingi wa hii MOU ni msaada wa wahisani kuziendesha shule na Hospitali za makanisa

hapo kwenye red kuna mjadala ama fedha zote zinatoka kwa wahisani au serikali pia inatoa. Sina jibu ni swali tu. Kama serikali inatoa basi pia tunahitaji kuwa na taarifa za kina kwa kiasi gani na kama haitoi tunahitaji kujua.

Ni kitu gani kimezuia taasisi zingine za dini kupata?

je kuna mkono wa kanisa kuzuia hilo?

Je, kuna mkono wa waislamu kujizuia kupata?

je kuna haja ya kuwepo MOU katika mazingira ya malalamiko ya sasa hasa kama serikali inahusika?
 
Unaja nyie waislam kuna watu wenu wenye chuki binafsi na UKRISTO ndiyo maana huwa wanakurupuka bila kufanya utafiti na kuanza kuzua kashfa ili kuwatia waislam hasira ili waonekane wanaonewa. Hao wachambuzi wenu UCHWARA wa redio iman, akina FILAMBI nk huwa wanatumwa na chuki na siyo uhalisia.

Wametumia muda mwingi kumtukana Nyerere eti amewakandamiza waislam, kumbe Nyerere lengo lake ilikuwa ni kutaifisha mashule ili waislam nao wapate elimu, hivyo aliwapunguza wakristu kasi ya maendeleo. chuki Sasa MOU hiyo hapo someni, aibu kwenu, tafuta staili nyingine ya kueneza za kidini Tanzania

Kama waislam hamjasoma hilo ni tatizo la desturi yenu, mpaka sasa bado mpo kwenye debate kama elimu dunia ni sawa au la, Parkstan kuna binti alipigwa risasi kisa anaamasisha wasichana waende shule. Ukienda Mombasa Kenya utaona jinsi waislam wasivyotaka shule. Nenda Asia uangalie kiwango cha elimu na sayansi kati ya nchi za kiislam na zisizo za kiislam kama JAPAN, KOREA, CHINA nk.

Nenda pwani mwa Tanzania uone jinsi watu wanavyocheza bao siku nzima na kunywa kahawa. WAISLAM TAFUTENI UKWELI NDIPO MJIKWAMUE HAPO MLIPO, ACHENI PROPAGANDA ZA KISHETANI ZA AKINA REDIO IMAAN NA AKINA PONDA
 
Hotuba ya JK baraza la Idd inaendelea:

Mheshimiwa Mufti;
Waheshimiwa Masheikh;
Katika mkutano wangu wa tarehe 22 Julai, 2011 na Jukwaa la Wakristo suala hili lilijitokeza na nililitolea ufafanuzi ambao napenda nirudie kuueleza hapa leo. Baba wa Taifa na Rais wa Kwanza wa nchi yetu, Mwalimu Julius Nyerere aliamua kutaifisha shule zote za mashirika ya dini na jumuiya za kijamii hasa za Wahindi na Wazungu kwa lengo la kutoa fursa sawa ya kupata elimu kwa watoto wa dini zote, wasiokuwa na dini na wa rangi zote bila kubaguliwa.

Kutokana na uamuzi ule hakuna mtoto aliyebaguliwa kupata elimu kwa sababu ya rangi yake au dini yake. Hata wale waliotoka kwenye jamii ambazo kwa dini zao au rangi zao hawakuwa na shule kabisa au walikuwa nazo kidogo waliweza kupata nafasi, bora tu wawe na sifa stahiki hasa za kufaulu mitihani na nyinginezo. Lakini si hivyo tu, ili kujenga usawa kwa upande wa sekondari Mwalimu alikwenda mbali zaidi. Serikali iligawa sawia nafasi za kwenda sekondari kwa mikoa na wilaya nchini na siyo tu kufuata kigezo cha mtu kufaulu mitihani.
Mheshimiwa Mufti;
Baada ya kutaifisha shule hizo, ukiacha shule za msingi zilizojengwa karibu kila kijiji, Serikali haikuwekeza sana katika ujenzi wa shule mpya za sekondari. Matokeo yake wakati ule katika mikoa yetu, ukizungumzia shule za sekondari za Serikali, kwa kweli nyingi, kama siyo zote, ni hizi zilizotaifishwa kwani Wakoloni hawakuacha shule nyingi na Serikali haikujenga nyingi mpya. Kwa kweli uwekezaji uliongezeka kwa wingi sana kwa shule za sekondari za Serikali katika Awamu ya Nne kwa ujenzi wa Sekondari za Kata.

Kwa kutambua ukweli kwamba shule za Serikali ni kidogo hata baada ya Serikali kutiliana saini Itifaki ya Makubaliano (MoU) na TEC na CCT mwaka 1992, kasi ya kurejesha shule ilikuwa ndogo sana na baadae ikasimama kabisa. Kilichosimamisha ni ule ukweli kwamba zingerudishwa zote Serikali ingejikuta kama vile haina shule za sekondari na badala yake shule zingekuwa mikononi mwa makanisa. Kitendo hicho kingezua manung'uniko na mgogoro katika jamii hasa baada ya zaidi ya miaka mingi shule hizo kuwa mali ya Serikali. Kwa ajili hiyo, pamoja na nia njema iliyokuwepo ya kuziboresha na kuziendeleza uamuzi huo ulikuwa mgumu kutekelezeka. Serikali ikajipa dhima ya kuziboresha na kuziendeleza.
cc Freshthinking
 
Padri slaa hebu tueleze kwa mwaka mnapewa mabilion mangap na pia tungefurah kama ungefafanua ushiri wako wa ktk mkutano uliofanyika ikulu kipind ukiwa mtumish wa mungu kuhusu malalamiko mliyopeleka ikulu kutaka nyama ya nguruwe iuzwe ktk mabucha

huu upumbavu umerithishwa.!
 
Mimi nilichogundua ni kuwa CDM na CCT/TEC ni faces of the same coin! Hushangai wapambanaji wa CHADEMA ndio hawa wanaopigania MOU!

Kwa nini iwe cdm na asiwe Lowassa aliyesaini MOU Yenyewe? au una Upungufu wa kinga mwilini ya kukabiliana na wapambanaji wa cdm?
 
Kama mwananchi anayefahamu kinachojadiliwa. Unamuita babu ndo aliyemzaa nani kati ya baba au mama ako!?
Watu kama hawa ndiyo huni sababisha nipigwe ban mara kwa mara kwa kukosa uvumilivu kwasababu kejeri nazijua na matusi nayajua hivyo ninapoona kiongozi wangu akitukanwa au anakejeriwa lazima ni jibu.....
 
Ipo haja kwa wengine wenye ufafanuzi kuhusu MOU kutoa kauli zao ili jamii ipate ukweli wa jambo hili. Kukaa kimya ni kufarakanisha jamii hasa ya Waislamu na wakristo. MOU imesemwa sana hasa na upande wa walalamikaji. It is high time now suala hili likafikia tamati kwa kulipatia majibu.

Hii kauli ya Dk. Slaa inaonyesha Bakwata ina taarifa ya kina kuhusu suala hili lakini nimesikia kauli za maaskofu na sasa SLAA. Bwakwata ina kipande chake cha kutoa ufafanuzi. Anna Makinda ana kipande chake, Lowassa ana kipande chake, Prof Mahalu ana kipande chake na serikali ina kipande chake.

Muhimu ni kulimaliza suala hili kwa amani

Mungu si Athman! Propaganda za ukanda mnazozieneza dhidi ya CHADEMA hatimae na za udini zimeanza kuwagawa Pro-CCM humu jamvini. MAMA POROJO ile kazi ya ukanda unayoifanya dhidi ya CHADEMA madhara yake ni kama haya unayoyasema.

TUMBIRI (PhD, University of HULL - UK),
tumbiri@jamiiforums.com
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na kwamba mjadala huu unahusu MOU ya kati ya serikali na taasisi za dini za kikiristo wachangiaji wengi wanakwepa kujadili ukweli na badala yake wamejikita kwenye dini zao ili uwe balance ni vizuri ikaletwa MOU kati ya serikali na Aghakhani pia tuijadili tuone kama kweli inamnufaisha mwananchi wa kawaida bila kujali dini yake lakini mjadala huu ungekuwa ni wa afya zaidi kama ungejikita kuangalia namna gani mwananchi wa kawaida ananufaika bila kujalio dini yake
 
Kuweni makini, mishahara, oc na deve funds serikali inatoa kwa kanisa kila mwezi. Bugando, kcmc, peramio, ifakara, bwagala nk. Lakini bado tunalipia huduma. Mbona haitoi kwa bakwata? Ushaidi ni mimi na vitabu vya bajeti

Usiwe mlemavu wa akili wewe! Hospitali za Serikali huwa hamlipii matibabu? Serikali inachangia sehemu ya gharama za uendeshaji tu kwa ajili ya kuhakikisha wananchi wanapata huduma. Km serikali imeshindwa kutoa huduma bure kwy vituo vyake ndo waweze vya binafsi? Je serikali inabagua chuo cha binafsi yoyote au wanachuo wa dini yeyote? Unajua ukijikita ktk MAJUNGU hata uwezo wa kufiri unadumaza mwenyewe.
 
hapo kwenye red kuna mjadala ama fedha zote zinatoka kwa wahisani au serikali pia inatoa. Sina jibu ni swali tu. Kama serikali inatoa basi pia tunahitaji kuwa na taarifa za kina kwa kiasi gani na kama haitoi tunahitaji kujua.

Ni kitu gani kimezuia taasisi zingine za dini kupata?

je kuna mkono wa kanisa kuzuia hilo?

Je, kuna mkono wa waislamu kujizuia kupata?

je kuna haja ya kuwepo MOU katika mazingira ya malalamiko ya sasa hasa kama serikali inahusika?

Haya ndo Maswali ya Msingi Waislamu wangepaswa kuhoji kupata ufafanuzi kuliko kukimbilia habari za mfumo Kristo hata mimi sina jibu la moja kwa Moja lakini kwenye kipengele cha finacial assistance kwenye Mou kinazungumzia habari ya Bilateral negotiations na Ujerumani ambao hisani yao ndo msingi wa hii Moi so kunauwezekano Moi inataka wakati serikali inapokea misaada toka ujerumani mengine ije kusaidia hizo taasisi sina uhakika hapa tunahitaji ufafanuzi wa Serikali au Kanisa
 
Dr Slaa kitaaluma ni Padre ni vizuri angefunguka zaidi kuhusu ili suala la MoU.

Ujinga ni kusema fulani ni Mwenyekiti kitaaluma, Fulani ni Rais by profession, Fulani ni Mbunge by Profession!
Lini mtapata akili nyie?
 
Kuweni makini, mishahara, oc na deve funds serikali inatoa kwa kanisa kila mwezi. Bugando, kcmc, peramio, ifakara, bwagala nk. Lakini bado tunalipia huduma. Mbona haitoi kwa bakwata? Ushaidi ni mimi na vitabu vya bajeti

bakwata wao wanatoa huduma gani kwa jamii yetu...think twice bro...
 
At times when politicians seem to have failed to deliver, they will turn to the most primitive of human instinct - RELIGION!
 
Wenye akili ndogo watakubali kwamba MOU iko safi lakini,ukweli utasimama,kuna dini nyingine wamezoea propaganda na uongo mana dini zao na imani zao zinawafundisha hivyo.unaweza kumdanganya mtu kwa muda flani ila huwezi kumfanya mjinga muda wote.eti wanadai MOU iko kisheria,Kanisa ndio waasisi wa Ufisadi Tanzania,ndio mana adui yao mkubwa ni ujamaa na uislamu,ukisoma kitabu cha prof Huntington na john Sivalon utajua mfumo kiristo wa nchi yetu.ha ha ha inachekesha sana mtu anavyofagilia MOU na kansa inayolitafuna taifa
Well, kama MOU inawakera basi ishawishini serikali iivunje, makanisa yarudishiwe huduma zote za kijamii yalizokuwa yanazitoa kabla ya utaifishaji, yakiwemo mashule, hospitali na hata visima vya maji vilivyojengwa na kanisa virudishwe kama ambavyo ninyi mnajimilikisha visima vya maji Dar kwa kuvifunga na makufuli kabisa.
 
Mtaongea vibaya kuhusu huduma za makanisa, lakini kesho mtapeleka wagonjwa huko, mna watoto mnaowapeleka kusoma katika shule hizo, sawa na kukata tawi ulilolikalia. Viongozi wengi waandamizi serikalini kutoka dini mbalimbali na wakana dini wengi wamepitia shule hizo. Basi waungwana na wastaarabu wanaona bora kunyamaza kwa ajili ya kutunza amani maana ukimnyanyulia jambia kichaa utaonekana we ndo mwenye tatizo.

Tusiende huko ( Hospital, Mashuleni ) kwanini Wakati kodi zetu zina enda huko? Tumieni michango yenu ya kanisani kuudumia shule, hospital zenu alafu muone kama kuna muislam atakae kanyaga
 
Back
Top Bottom