Mkataba wa Bandari: Anayekiri makosa na kuomba msamaha asamehewe kisha twende pamoja

Wakiristo wana chuki sana dhidi ya waislam, waraka wa maaskofu na wapingaji wa Mkataba wanaendeshwa na udini tu hamna jengine.
Kuna watu mnafanya jumuia nzima ya kiislamu ionekane ina kasoro ya ufahamu kumbe ni nyie binafsi.
Huu mkataba wa bandari kwani ni wa kiislamu? Au unataka kusema hii serikali ya sasa ni ya kiislamu?
Kwani kuwa na Rais na waziri wa ujenzi waislamu ndio kusema serikali na mkataba ni uislamu?
Mbona kuna Spika Tulia yumo humo ni mkristo? Waziri Kitila wa uwekezaji ni mkristo na msemaji wa serikali Msigwa ni wapiga chapuo?
Wasira na Mwigulu mbona ni wakristo na ndio wapo humo na ni wakristo? Sasa haya mambo ya kusema sijui mkataba ni wa waislamu mnayatoa wapi? Hiyo ni inferiority complex mnayojijengea wenyewe.
Ila sasa ndio nimeelewa ule usemi mnaoupenda sana, "NDUGU YANGU KATIKA IMANI" kwamba unaweza kuisaliti nchi ili kutetea mtu kwa ujinga wake kwa sababu mko katika imani moja ya dini yenu.
Hilo ni tatizo kubwa
 
Bahati mbaya wabunge wengi pamoja na kubebwa 2020 bado wanaamini ukondoo wao ndio tiketi ya kubebwa tena 2025. Hawajui wanatumika alafu uchaguzi unaokuja watatoswa vilevile ili kutengeneza safu zao mpya.

Bunge limepoteza kabisa uelekeo na kuaminika, huu ndio ukweli unaopaswa kuangaliwa kwa makini sana. Bahati mbaya idara zetu za usalama zinaelekea kushindwa kulinda kikamilifu hizi taasisi au mihimili kubakia na nguvu yake ya kikatiba.

Lazima turudi nyuma tujipange upya kama Taifa.
 
Huu mchezo hautaji hasira.
Kunitusi hakutafanya nibadili mtazamo wangu, ni uhuru wa kutoa maoni tu.
Mimi kwa maoni yangu ni udini tu
Wapi nimekutusi nimeuliza swali kwamba wehu nini? Jibu ni ndio au hapana,kama unashindwa kuelewa tofauti ya swali na tusi utaweza kujibu hoja za mkataba mbovu kweli?
 
Samahani una umri gani swali personal kidogo limtokana na Jibu lako la elimu Dunia...maan ulichokisoma chote chuoni (Elimu dunia) hizo bachelor zote inatakiwa ukae darasani si chini ya miaka 18 na kibongo bongo hapo huenda ulianza kusma ukiwa una miaka 25 so kwa makadirio huenda una miaka kuanzia 50 na kuendelea (MAWAZO YANGU TU KAMA NI KWELI LAKINI)
Eniwei na mimi ni Muslim kiwango changu ya elimu madrasa ni Mustalahul Hadith (Sayansi ya hadithi) au chuo kikuu kwa elimu yakawaida
 
Uchelewe ili muendelee kuiba bandarini?
 
Wakiristo wana chuki sana dhidi ya waislam, waraka wa maaskofu na wapingaji wa Mkataba wanaendeshwa na udini tu hamna jengine.
Ukiachana Na jicho la udini mkataba wenyewe upo vizuri kwa mtazamo wako?
 
Umewataja wakristo hawa vizuri sana ambao wamejibu hoja za kimkataba vizuri kabisa!

Kwa nini hutaki kusikiliza hoja zao unasikiliza hoja za hao wahuni TEC?
 
Vyama pia!
 
Basi itakuwa ni zile degree za pichu au imani ya kidini umeitumia vibaya hadi imekuharibu.
Elewa hata katika makundi ya extremist wanaofanya vitendo vya ajabu visivyo vya kiutu wamo wasomi wakubwa pia.
 
Masheikh wako wamekujaza takataka kichwani na wewe unabeba tu.

Nyinyi wafuasi wa Mudi mnashida sana vichwani mwenu
Na fikiri tuchangie bila kuwakosea heshima Viongozi hadhim mitume na Manabii waliotumwa na Mungu itakuwa vyema sana
 
Sio siri tena!
Sasa hivi makanisani ibada imekuwa ni bandari tu.....
Hata huku vijiweni kwetu ni hilo tu, Fikiria wanachukua bandari zote, hadi za maziwa victoria, Tanganyika na Nyasa. Ni bora waondoe za Ziwani ya Mtwara pamoja na ya Tanga. Yeye DP World apewe ya Dar es Salaam na Bagamoyo. Ili Ikiwa kwa makusudi akipunguza ufanisi ili mizigo iende Kenya ama Msumbiji ama kwingeneko atakakoshinda tena, sisi pia tuna Bandari za kujinasulia.

Unajifungaje kijinga hivo

Wakati unaumia kwa sabotage ya kiuchumi Dini haitakuwepo kukuokoa. Ikumbukwe kwamba hawa wanadamu ambao Dini zinatokea kwao wameanza kuelewa Japan na Korea na China hawakuwa na Dini za Asia ya Kati lakini bado Mungu amewapa mafanikio ya kutosha.

Hivyo affiliations za dini haziwezi kutupatia uahueni wowote.

Tuzingatie mapungufu na ikiwezekana mkataba urudi bungeni urekebishwe na sheria za nchi kuhusu ardhi na State Sovereignty izingatiwe ksiha wapewe Bandari maisha yaendelee.


Lakini kuwapa bandari zote HAPANA
 
Nakaribia miaka 46, mwezi wa kumi naingia akipenda mola.
Ni kweli miaka mingi kidogo nilikuwa mwanawazuoni, nilifanya O level, 1992-1995, A level, 1996-1998. BA business and finance De Monfort University , 2000-2003(UK), MSc Oil and gas management Coventry University, 2004-2006 (UK), kisha Barchelor of medical science University of Leicester, 2009-2013 (UK) na BSc Diagnostic radiography Derby University, 2017-2020 (UK)
 
Basi itakuwa ni zile degree za pichu au imani ya kidini umeitumia vibaya hadi imekuharibu.
Elewa hata katika makundi ya extremist wanaofanya vitendo vya ajabu visivyo vya kiutu wamo wasomi wakubwa pia.
Hayo ni maoni yako, na nayaheshimu.
Lakini kwa mtazamo wangu baada ya uchambuzi wa makini sana, shida kubwa ya wapinga mkataba ni chuki tu na udini hamna jengine
 
Ukiachana Na jicho la udini mkataba wenyewe upo vizuri kwa mtazamo wako?
Mkataba hauna tofauti sana na mikataba yetu karibu yote na wakoloni na mabepari kutoka ulaya, ama mikataba yetu na wageni wengine, na hii ni kutokana na uzoefu nilinao wa mikataba ya mafuta na gesi na madini duniani ambayo ni moja ya taaluma zangu
 
Wakiristo wana chuki sana dhidi ya waislam, waraka wa maaskofu na wapingaji wa Mkataba wanaendeshwa na udini tu hamna jengine.
Sijui nilini Islam mmeanza kutumia dini kama kigezo cha ugawaji urithi wa Taifa letu ila siku tukiwa tumegeuzwa watumwa namijeredi migongoni ndomtashituka tuligawa vyathamani sana Suala la Bandali sio lakuangalia kwajicho la propaganda zakidini Bandari nimilango ya Taifa letu acheni kutumia nyama zakondoo wamisaada kufikili
 
Mkataba hauna tofauti sana na mikataba yetu karibu yote na wakoloni na mabepari kutoka ulaya, ama mikataba yetu na wageni wengine, na hii ni kutokana na uzoefu nilinao wa mikataba ya mafuta na gesi na madini duniani ambayo ni moja ya taaluma zangu
Tuwekee hiyo unayoijua tufananishe kifungu kwa kifungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…