Mkataba wa Bandari: Anayekiri makosa na kuomba msamaha asamehewe kisha twende pamoja

Duh hata kama
Elimu uliyo nayo ukiacha kupelekwa nahisia waweza kua msaada kwa Taifa
 
Safi sana Unabiograph nzuri snaa I think umenivutia na mimi Nitafute TCU hapa nichakate Bsc ya Sheria na Nianze kuzichakata zingine pia...

Ila hapo kwenye kutoka Bachelor ya medicine na kwenda kusoma Bsc in Diagnostic Derby huenda Leicester inapishana na Vyama Ushirika Vingi vya Elimu ya Afya maana ukitoka MD/MBBS Mara nyingi kinchofata kma kitakuwa ni cha afya huwa hakisomwi bachelor kinasomwa Msc (Nimesema kwa lugha nyepesi ili wengi wanielew)
Yaani nikisoma MD/MBBS baadae nikaenda kusoma Radiography nitasoma Msc ya Radio na mara nyingi nitaitwa Specialist wa Radio au mionzi...So i think wako tofauti na Nchi nyingi kwenye mfumo wa kitaaluma...

Ila Hongera Sana sana Ni wachache sana wenye elimu kubwa namna hiyo
 
Kwa utafiti wangu yakinifu kutoka kwenye jamvi hili jamii forum tu 90% ya wanaopinga mkataba ukifaatilia kwa makini utakuta wanaingiza uzanzibari na utanganyika, kuponda waarabu, na mwisho huwa wanaangukia kwenye uislam na waislam ndio tatizo.
Hivyo kwa muktadha huo, nimefikia hitimisho hilo kuwa wapingaji wa mkataba wanaendeshwa na mihemko ya chuki dhidi ya waislam.
 
Wakiristo wana chuki sana dhidi ya waislam, waraka wa maaskofu na wapingaji wa Mkataba wanaendeshwa na udini tu hamna jengine.
Kwenye lile tamko la Maaskofu kuna kipengele chochote kilichogusia Uislamu ndugu? Mkataba tata wa bandari unahusianaje na Uislamu?
 
sio kweli unaendeshwa nahisia Sister
 
Hii Elimu usiiweke kwenye kopo, itumie vizuri kwa mustakabali wa nchi yetu, nchi hii mpaka sasa hivi haijawahi kuwa na mikataba yenye kunufaisha, na siku zote siasa na rushwa vinatangulia.
 
Tena haitakiwi kuwa makanisani tu, inastahili kuwa misikitini, mahekaluni, kwenye mabaa, mabarabani, na kila mahali, mjadala uwe ni bandari. Hili ni jambo kubwa sana. Nchi kuporwa rasilimali zake kwa ulaghai, siyo jambo dogo
.
Musikitini haiwezekani.
Hilo ni jambo lenu wagalatia
 
Mdau hapo naona chuki kidogo imekuziba macho hujaona vizuri maelezo yangu, ukitulia ukasoma vizuri utaona kuwa degree yangu ya University of Leicester haikuwa in medicine bali BSc in Medical science. Sio udaktari mdau. Pia kuna tofauti kubwa ya Radiology na radiography.
Ni kweli kama ningetaka kuwa radiologist au mtabibu wa kutumia mionzi maswali yako na tashwishi yangekuwa na mantiki.
Nilifanya BSc in Medical science and yes baadae nikafanya BSc in Diagnostic Radiography pale Derby University.
Diagnostic radiography na Theurapatic Radiography ni kozi mbili tofauti , ya kwanza ni maalumu kwa uchunguzi lakini ya pili hiyo ni kutibu kwa kutumia mionzi
 
Wakiristo sisi pia ni ndugu zetu wa damu licha ya kuwa wao wanatuchukia ila sisi tunawapenda.
Kuhusu chuki nimefanya utafiti mdogo hapa kwenye jamvi na huko kwenye mitandao ya kijamii, wanaopinga wengi sio wote ila asilimia kubwa wanasukumwa na udini na chuki dhidi ya DP kwa kuwa ni waislam, hiyo ni fact
 
Hivi nani kakuambia DP ni waislamu? Au kwa vile mmiliki ni muislamu basi unaifanya DP kuwa ni taasisi ya kiislamu?
 
Wewe ni kati ya wale wajinga.
Ujinga sio tusi ni kutokujua jambo, na kuna mambo mengi siyajui hivyo ni mjinga kwenye hayo mambo.
Lakini kwenye hili suala la mkataba wa bandari mimi ni mjuzi na mwenye uzoefu wa takriban miaka 20 sasa , na mkataba huu hauna tofauti kubwa sana na mikataba yetu mingi ya rasilimali zetu tunayoingia na mabepari kutoka ulaya.
Nilichokiona tofauti ni wapingaji wengi kuendeshwa na udini na chuki dhidi ya waislam tuu hamna jengine
 
Sio kweli kwa mbona waonoupinga mkataba huu kunavipengele wamevisimamia nasijawahi ona hata thread moja ikikataa mkataba huu kwakipengele cha Dini ila Hii habari ya Dini niliisikia kwa wana ccm majukwaani na waliitumia kete hii ili kuleta taharuki kuleta mgongano kwamaana wanajua kabisa Islam wanaendeshwaga nahisia ila uhalisia nikwamba usikubali kugawa Bandari kwa mikataba yahovyo
Kwani wakirekebisha vipengele vinavyo lalamikiwa watakua wamepoteza nini?
 

Mkuu Mimi sio layman naelewa nini maana ya hizo course zote na Ukinisoma vizuri nilichoandika sina chuki Hata kidgo na wewe ila Najiskia proud sana kwa ajili yako na nchi yetu kuwa na wasomi...
Naijua vizuri "BMedSci" au BMedsc...
Tatizo lilianza uliposema Kuwa umesoma kwa miaka mitano...Uingereza course hiyo inatolewa kwa miaka 3 mpaka minne ila inayotolewa kwaa miaka mitano ni MBBS na MD nilikuwa shelfied uingereza kwa muda mrefu sana n mimi Ni mutu ya Medical pia......

Na kuna kitu unachanganya Mwanazuoni wangu naomba kwa heshima yako nikurekebishe kuhusu Radiography na Radiology ngoj nikueleweshe Radiology mara nyingi Sana Wanaosomea ni madaktari kwa ajili ya kusma na kuchambua picha mbalimbali za mionzi ili kureach diagnosis na hiyo Radiograph ni wale wanopiga ili kupata picha kwa ajili ya matibabu....Na ndo maana Muhimbili kuna course ya DDR (Diploma in Diagnostic Radiography) na hawa ndo tunawaona mahospitalini wengi wakifanya vipimo vya xray MRi na Ct scan....Ila Madaktari wengi baada ya kusoma Bacholor ya radio kwa ajili ya kupata ujuzi wa kuchunguza Hivyo vipimo kwa ufanisi na ndo huiitwa Radiologists mkuu
..Asante sana
 
Umeeleza na kutoa mifano mizuri sana. Kama hawa wa hoja ya udini bado hawaelewi mpaka hapo, ni kwa sababu wana mkataba wa kudumu na ujinga.
 
Wakiristo wana chuki sana dhidi ya waislam, waraka wa maaskofu na wapingaji wa Mkataba wanaendeshwa na udini tu hamna jengine.
Ataka weka like hapa nakula nae sahani Moja......kwani wewe umeandika ukiwa siriaz au unatujaribu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…