Hahahahaa mjomba wanaume wanarud nyumban na wale kenge wote wanatakiwa kuondoka kusini na jeshi la Lebanon ndio linachukua utawala eneo hilo hutaki jinyonge. Biden katangaza makubaliano jana na amesema tena Israel ikishambuliwa tena ina haki kujibu. Raia wa pande mbili wanaruhusiwa kurud maeneo yao na miundo mbinu kujengwa upya pande zote. Israel itaondoa jeshi lake kwa makundi kwa siku 60. Sasa hiv kichapo alichopata hezbollah hata sahau. Hataki kusikia Gaza wala mama yake Gaza.Wanarudi kakwambia nani hujasikia hotuba ya paka jana
Hakuna anae rudi kaskaziniHahahahaa mjomba wanaume wanarud nyumban na wale kenge wote wanatakiwa kuondoka kusini na jeshi la Lebanon ndio linachukua utawala eneo hilo hutaki jinyonge. Biden katangaza makubaliano jana na amesema tena Israel ikishambuliwa tena ina haki kujibu. Raia wa pande mbili wanaruhusiwa kurud maeneo yao na miundo mbinu kujengwa upya pande zote. Israel itaondoa jeshi lake kwa makundi kwa siku 60. Sasa hiv kichapo alichopata hezbollah hata sahau. Hataki kusikia Gaza wala mama yake Gaza.
Wanaukumbi.
Yerusalemu
CNN
-
Mkataba wa kusitisha mapigano kati ya Israel na kundi la wanamgambo wa Lebanon Hezbollah "uko karibu sana," chanzo cha kikanda kiliiambia CNN siku ya Jumapili, hata kama ongezeko la mashambulizi ya Israel lilishuhudia vifo vya Lebanon tangu katikati ya Septemba kupita hatua mbaya.
===============
Jerusalem
CNN
—
A ceasefire deal between Israel and the Lebanese militant group Hezbollah is “very close,” a regional source told CNN on Sunday, even as an uptick in Israeli attacks saw the death toll in Lebanon since mid-September pass a grim milestone
👇🏽
Source: CNN Ceasefire deal between Israel and Hezbollah is ‘very close,’ regional source says, as Lebanon death toll climbs | CNN
========================
UP DATE……
View: https://x.com/suppressednws/status/1861515475827486848?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Ngoja tuone kama Hezbollah ataFAFO tena.Hakuna anae rudi kaskazini
Ngoja tuone kama wakaazi watarejelea kaskaziniNgoja tuone kama Hezbollah ataFAFO tena.
Hiyo ni Gerentiii.Ngoja tuone kama wakaazi watarejelea kaskazini
Kwa makubaliano yapiHiyo ni Gerentiii.
Hebu yasome makubaliano yako mitandaoni.Kwa makubaliano yapi
Hezbollah kakubali kuolewa😆😆 kwahiyo kuanzia leo atakuwa analala bila nguo za ndani.😁😂Hahahahaa mjomba wanaume wanarud nyumban na wale kenge wote wanatakiwa kuondoka kusini na jeshi la Lebanon ndio linachukua utawala eneo hilo hutaki jinyonge. Biden katangaza makubaliano jana na amesema tena Israel ikishambuliwa tena ina haki kujibu. Raia wa pande mbili wanaruhusiwa kurud maeneo yao na miundo mbinu kujengwa upya pande zote. Israel itaondoa jeshi lake kwa makundi kwa siku 60. Sasa hiv kichapo alichopata hezbollah hata sahau. Hataki kusikia Gaza wala mama yake Gaza.
Sharti ni Asiguse Lebanon sip kwa kuspy, kwa njia ya anga, njia ya bahari au njia ya ardhi kama kuna zaidi ya hapo leta.Mmesikia lakini masharti ya Netanyahu,nendeni mkagoogle.
Mbona unapotosha.Sharti ni Asiguse Lebanon sip kwa kuspy, kwa njia ya anga, njia ya bahari au njia ya ardhi kama kuna zaidi ya hapo leta.
Toka awali nilisema hamas ni vidume zaidi ya hawa hezbolaBaby FaizaFoxy haya Masharti waliyokubali Hezbollah angekuwepo Nasrallah asingekubali… siku zote nilikuwa na Mashaka na Huyu kiongozi wao Mpya haiwezekani asiwepo kwenye kila mikutano iliyokuwa inaua viongozi wakuu wa Hezbollah yeye anakuwa haendi, bila Shaka yeye ni asset ya Israel.
Kwenye haya Masharti, Israel itabaki Lebanon kwa siku 60
Jeshi la Lebanon kwa kusaidiana na Marekani na Ufaransa litatakiwa kupita Nyumba kwa nyumba na kila kichaka kuharibu miundombinu ya Hezbollah chini ya Uangalizi wa hizo nchi pamoja na Israel.
Ikitokea Hezbollah wameleta fyoko fyoko Israel inaruhusiwa kufanya operation ya Kijeshi, hii ni Kama ku Surrender.
Mwisho ni Kama Marekani na Ufaransa wanataka kupika Kamgogoro ndani ya Lebanon, Walebanon walikubaliana jeshi lisiwe na nguvu Ila haya makubaliano yako kwa ajili ya kuimarisha jeshi la nchi. now Washia wanachukuliwa nguvu zao za kujilinda… nawatakia amani wanachi wa kawaida wasio magaidi
Kumbe hujaona masharti ya hayo makubalianoSharti ni Asiguse Lebanon sip kwa kuspy, kwa njia ya anga, njia ya bahari au njia ya ardhi kama kuna zaidi ya hapo leta.
Dogo unajifariji sana!Viongozi wengine wa nchi za kiarabu ni wanafiki sana. Mapenzi ya dunia na mali vimewajaa wanaangalia wenzao hapo Palestine wanauliwa, wao kimya.
Hizbollah tu imemtia adabu Israel ndani ya miezi 2 ka surrender. Wangeungana hapo nchi kama 3 hiyo Israel ingefutwa kwenye ramani.
Unafiki ni mbaya sana. Hawa Viongozi wa hizi nchi za waarabu wanatakiwa waondolewe wapatikane watu kama Nasrallah
Ukweli ni huo mimi nimeona wachana na propoganda za Western media ukweli hupo kwenye Gazeti la India ni hu hapa kasome times of India. Au katazame nchi inayo ongea ukweli. Israel hatasubutu kugusa Lebanon tena.Mbona unapotosha.
Angalia Aljazeera muda huu raia kusin mwa Lebanon na kaskazin mwa Israel wanarud unabisha nini. Hezbollah kumbe alibakwa mbaya kabisa. Na Israel kasema anga lao analimilikiHakuna anae rudi kaskazini
Nadhani utakuwa msahaulifu sana sababu za Israel kuivamia Lebanon kwanza zilikuwa ni kuwasogeza Hezbola nyuma ya Mto Litani kama UN Resolution ilivyokuwa ikitaka pili ni kuyavunja makundi yote ya Wanamgambo wenye silaha.Sababu za israel kuivamia lebanon kuwadisarm hezbollah