Mkataba wa SportPesa: Hans Pope wa Simba SC abwaga manyanga

Hivi hata kama wewe ndio main sponsor wakija sponsors wengine wanataka kudhamini kitu kilekile utasusa eti kwasababu hukushirikishwa...!!?
Pathetic
 
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara mdhamini mkuu ni Vodacom lakini vilevile wadhamini wadogo ni Benki ya DTB pamoja na NHIF Je wakati TFF wanaingia makubaliano ya DTB na NHIF kuwa wadhamini wenza wa Ligi Kuu Vodacom walishirikishwa......!!??
 
Una uhakika Man u wanavyoingia mikataba na hizo kampuni zingine wadhaminj wenza hawashirikishwi? Achen upenzi wa upofu
 
Acha kupotosha watu, kipindi cha uongozi wa Aden Rage alifuta mikataba yote ya pango pale msimbazi na kuingia mikataba mipya tena minono haswa.
Jifunze kuwa mfatiliaji usiishi kwa ndoto
 
Lufunga
 
Acha kupotosha watu, kipindi cha uongozi wa Aden Rage alifuta mikataba yote ya pango pale msimbazi na kuingia mikataba mipya tena minono haswa.
Jifunze kuwa mfatiliaji usiishi kwa ndoto
Wewe sasa ndio unaetaka kupotosha hapa.. Rage alifuta mikataba kwa uwezo upi..? Nani alilipwa pale fidia..?
 
Mo na huyo Pope ni wakupuuzwa kabisa
Maana yake walitaka timu iwe inaenda kuwaomba kila wakitaka mishahara yaani watu waache dili la. 4.5 bilioni kisa Mo na Pope
Si wangeidhamini wao ili makampuni yao yawe hapo kifuani

Mpira Tanzania kuendelea yahitaji miujiza
 
Mnyamaaaaaaaaaaaaaaa ameanza kunguruma
 
Dah! His ni hatari simba imekuwaje tena mbona mkanyagano tu!
Nalog off
 
Hivi hata kama wewe ndio main sponsor wakija sponsors wengine wanataka kudhamini kitu kilekile utasusa eti kwasababu hukushirikishwa...!!?
Pathetic
MO Dewji hakuwa sponsor ,bali alikuwa kwenye mchakato wa kuwa mmiliki wa timu na tayari yeye ndio alikuwa anatoa fedha za kuihudumia timu tangu mchakato uanze.So kama kuna jambo lolote linaloihusu klabu alipaswa kushirikishwa
 
Mkataba wa Simba na Sports Pesa haumzuii yeye MO kuendelea na mazungumzo yake kama kweli yalikuwa na manufaa kwa wana Simba. Kilichofanyika ni kuiongezea thamani club. Sasa kama alitegekea kuipata Simba kwa sh 50 sasa anaweza kuipata kwa sh 1000. Sioni kosa walikofanya viongozi, ashirikishwe kama nani? Kutoa mishahara ama pesa kidogo kwa club haikupi ticket ya kushirikishwa maamuzi ya club. Hongera Aveva kwa mkataba huu sasa naiona simba mpya. Mtu anayeitaka Simba ipo tu na aje na dau zuri, what we did is just adding Simba value. Wanaoona Mo kaonewa bmilango ipo wazi.
 
Tarimba ameajiriwa na SportPesa ,hawa jamaa wameingia kuwekeza soka la bongo so huwezi kuja wekeza soka la bongo ukawaacha Simba na Yanga
 
Punguza povu ndugu ujue hakuna mwekezaji anayetaka kuwekeza fedha zake kwenye timu yenye migogoro ref kwa stand united
 
Kila sekta nchi hii ni dili na usanii kwisha kazi.. Na hawa wa kwenye vilabu vya simba na yanga wangekuwapo toka miaka hiyo wala hivi vilabu visingekuwa na hata majengo yao wenyewe..
Nashukuru mkuu umeliona hilo, kungekuwa na watu hawa nyakati hizo, timu hizi zingebaki historia tu
 
Yeye na Mo hawatakiwi karibishwa tena Simba waende zao wao wanataka simba iwe na shida ili wao wafaidi baadae, ili waonekane miungu
Hata kuifunga mbao ndio msahau sasa muanze kushikana uchawi
 
Nakukumbusha tu sababu za simba kukataliwa rufani yake ni kutuiwasilisha kwa muda na kulipia gharama zake. Kadi 3 zilidhibitika. Asante
Kwahiyo hata huko FIFA wanajisumbua tu maana sheria zipo wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…