ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,451
- 2,348
Hizi ndio akili zenu utopolo..hii timu kushabikia lazma Kuna fuse ziwe zimekatika kwanza..unadhan Simba walipenda kuvaa visit Tanzania mwaka janaKuna Mambo Ni Ya Kijinga Sana Mkuu.. Mashindano Yale Yanadhaminiwa Na 1x Bet, Wewe Jezi Zenye Logo Yako Hazitakiwi….Sasa Hapo Ubaya Uko Wapi?, Yani Sisi Tusiingize Pesa Kisa Nyie Na Kutulazimisha Kuvaa Visit Tanzania…Wanataka Kutupangia Yaani, Wasepe Tu GSM Atalipa Hiyo Fidia [emoji23]
KWa maslahi mapana yataifaNimeona hayo maelezo nikabaki kujiuliza maswali. Yanga ikivaa visit Tanzania je sport pesa watafaidika na kipi hapo?
GSM ni partner wa Haier na ndiye muuzaji wa hizo bidhaa hivyo akatumia hiyo mbinu kujitangazaImagine mnaingia mgogoro wa kijinga na mdhamini mkuu sababu ya $600k kweli? Yanga hawa viongozi wenu sijui wamewapa nini!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Ndo Mkataba unavosema? Au wewe tu umeleta fikra zako?Mdhamini mkuu wa young African ni sportpesa kwa miaka 5 na ndie mwenye haki yakukaa front kifuani kwenye jezi kwa miaka yote hiyo..Kama Kuna lolote yeye ndie atamua Nini kifanyike,,
Sasa sportpesa anakuambia uweke visit Tanzania kifuani wewe unasaini mkataba mwingine .
Unahisi sport pesa wemekurupuka!?Ndo Mkataba unavosema? Au wewe tu umeleta fikra zako?
Ni kawaida ya utopolo kutoheshimu mikataba.(kama ni kweli) Hii itatia doa klabu yetu kwani itaonekana haiheshimu mikataba
Na wewe unahisi Yanga wamekurupuka?Unahisi sport pesa wemekurupuka!?
Makolo muda mwingine uoga wao na umbumbumbu unawasaidiaNi kawaida ya utopolo kutoheshimu mikataba.
Kawaida ya Yanga huwa wanakurupuka.Na wewe unahisi Yanga wamekurupuka?
Basi mi naona sportpesa kakurupukaKawaida ya Yanga huwa wanakurupuka.
Endeles kuita mbumbumbu wakati wenzenu wanatuliza akili na sio kukurupuka.Makolo muda mwingine uoga wao na umbumbumbu unawasaidia
Mulibwanji? 🤣🤣Endeles kuita mbumbumbu wakati wenzenu wanatuliza akili na sio kukurupuka.