Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Kama ulimtolea mahari laki mbili toroka asubui.Ikiwa unataka kuachana na mtu kwa amani, mfano umemchoma, hujisikii kuwa nae, ukamwambia ki roho safi kua achukue anachotaka aondoke au aseme anataka nini halafu akagoma, unamfanya nini mtu kama huyu? Au unamuachia mji unanda kuanzisha mji wako? Kwanini mtu usikubali kuachika kama hupendwi
Wenzako wanawaachiaga mji/nyumba.Ikiwa unataka kuachana na mtu kwa amani, mfano umemchoma, hujisikii kuwa nae, ukamwambia ki roho safi kua achukue anachotaka aondoke au aseme anataka nini halafu akagoma, unamfanya nini mtu kama huyu? Au unamuachia mji unanda kuanzisha mji wako? Kwanini mtu usikubali kuachika kama hupendwi
Hii nzuri maana huko aendako siku mambo yakiwa hovyo ataweze tena kurudi nyumbani kwa mke wake wa kwanza
Embu ngoja kwanza..Ikiwa unataka kuachana na mtu kwa amani, mfano umemchoma, hujisikii kuwa nae, ukamwambia ki roho safi kua achukue anachotaka aondoke au aseme anataka nini halafu akagoma, unamfanya nini mtu kama huyu? Au unamuachia mji unanda kuanzisha mji wako? Kwanini mtu usikubali kuachika kama hupendwi
Nashangaa,MTU anadalili zote hakutaki bado umeganda tu....ni ngumu ila ni rahisi ukishatambua thaman yakoKwanini mtu usikubali kuachika kama hupendwi
Yeah,hapa utakuwa umemaliza mkuuAu unamuachia mji unanda kuanzisha mji
Ndoa bwana,yani hapo ukete ni issue ya mmoja tu kujishusha ili yaishe lkn kila mtu unakuta kakomaa...Ikiwa unataka kuachana na mtu kwa amani, mfano umemchoma, hujisikii kuwa nae, ukamwambia ki roho safi kua achukue anachotaka aondoke au aseme anataka nini halafu akagoma, unamfanya nini mtu kama huyu? Au unamuachia mji unanda kuanzisha mji wako? Kwanini mtu usikubali kuachika kama hupendwi