Mke aliomba talaka tugawane Mali, nilichomfanyia hajawahi kurudia tena

Huwa napenda Sana kusoma comments zako, zimejawa na Maneno ya ukweli bill unafiki.

Huwa ufichi Wala kujivunga dada angu.

Mungu akupe maisha marefu Sana jf,hasa mmu. Nikisomaga comments zako huwa kuna namna flan mwili want lazima usisimke maana Maneno unayaondika yanagusa Moja kwa moja.

Pa kujitafakari, najikuta nmejitafakari
Pa kueimisha,najikuta nmeelimika.

Wee Ni mfano Bora wa wanawake wanaojitambua Sana hapa jf.

Kongole Sana mkuu Juandeglo
 
Da! Huu UZI Nauita UziHalisi wa Nyakati na Mapito ya Ndoa katika Maisha. Uzi unaelimisha, unaburudisha, unakumbusha. Ila Mwamba ulikomaa kinoma. Wewe ni jabali ujue. Ulitia hishma. Mpongeze sana Baba yako Mzazi na Baba Mkwe. Wana busara sana. Nawatakia kila lenye heri katika Nyumba yenu.
 

Maneno mazur Sana haya[emoji3516],
Unafaa kua mshaur mzur wa ndoa[emoji106]
 
Shukran Sana mkuu,
Namshkuru mungu nmepata mzee Safi na baab mkwe Safi. Tunaelewana Sana[emoji4]
 
Nianze kucomment hapa..nimejisikia vibaya sana kama mwanamke. Kuna muda tunaaminika af kumbe tunakuwa wase*** tu. Pia nimejifunza mwanamke ili uwe productive unatakiwa uwe na akili mingi sana. Na wisdom pia.

Hapa umeongea kitu muhimu Sana wanawake wengi wanapuuza.

Ujue mnapoolewa Kuna Watu nyuma hutukutumia Kama daraja kufanikisha mipango Yao binafs bila kuja usalama was ndoa yako.

Wanakuingiza unaanza kiburi na kuihujumu ndoa yako afu ukiingia matatizoni wanajiweka pembeni.

Wanawake mnapaswa kutumia akili Sana, na wisdom iwepo kubalance uku na huku.
 
Ha ha ha...
Kwa akili ya MKE alijua jamaa ndo kwisha habar yake atakuja anatambaa ukweni kuomba kurudishiwa vitu vya ndani[emoji1787]
 
Dah! Inaumiza Sana

Mi nilichojifunza wanamke ASILIMIA Kubwa wanajisahau sn kwny maswala ya pesa, Ni Kama wtot kila kukicha wakumbushwe. Lazima usimamie bampa-bampa

Kwanza Akiwa na pesa atataka shoga zake wajue.Afu wakishua hapo ndo wataanza kummwagia upupu na kumshaur UPUUZI.

Usiposimma imara kuvunja ile connection,
Matokeo Yake anakuja kutia huruma tayar keshakurudisha nyuma mno.

Story yako imenigusa mno,pole sn mkuu[emoji26]
 
Hiki tukio liliniheshimisha sana kule ukweni
Nowdays Hata nikikutana nao wale shangazi au kuja kwangu adabu ipo,

Wanajua lazima wakitaka kutamka neno, itabd wajitafakari maana wanajua sitolaza damu, wakizingua tunazinguana bila kupepesa.
 
Aisee
 
Ha ha ha....wee jamaa ulimfanyia vituko vya ajabu lazima Kama alikua na wazo la ulozi ajitafakari upya[emoji1787]
Wanatibuaga akili hawa watu sijui hua wanakuaje! Kwa experience yangu hawa watu hua wanapotezana kwenye ushauri na wakisha yakanyagaga wale washauri hua wanapotea kabisa machoni pake na kumuachia msala yeye mwenyewe
 
Wanatibuaga akili hawa watu sijui hua wanakuaje! Kwa experience yangu hawa watu hua wanapotezana kwenye ushauri na wakisha yakanyagaga wale washauri hua wanapotea kabisa machoni pake na kumuachia msala yeye mwenyewe
Sahii kabisa,
Wapambe nuks hawafai
Lengo lao mwenzao aharibikiwe roho zao zifurahi. Sijui kwann wanawake hawapendagi mema.
 
Kabisa mkuu,
Wanatia huruma washakuingiza hasara sana, fikiria mwanamke anatoa pesa anampa Kaka ake na anajua Kuna rejesho benki na Hana wasiwasi kabisa.[emoji26]
Mm imefika pahala sasa hivi nikiwa na mwanamke hata awe bibi kizee hua namchukulia kama mtoto wangu wa kwanza wakike, kinacho tuponza ni kuwachukulia ni watu wazima wenzetu wenye akili sawa na sisi kua ukimuelekeza jambo ataelewa kumbe wao hua wanasikia ila kwenye kuelewa ndio ishu na bahati mbaya badala akuulize wewe ulie mueleza yeye anaenda kuuliza kwingine na hapo ndipo ma file yanapo gongana! Hao shangazi ndio walio mshauri kumfungulia duka kaka mtu kama kukulipa kisasi kwa kitendo cha kumuweka ndani
 
Marafiki,ndugu wasiojielewa na mashosti Ni sumu ya ndoa kabisa, hasa ndoa changa.
Na walivyo wapumbavu! Mf huyo nilie muelezea alikua analima mahindi, mihogo, bustani za mbogamboga, alikua anafuga kuku wa kutosha, hamna alipo kua analipia ama kulipa kodi na walio kuja kumvunjia nyumba yake hamna mwenye muelekeo na mmoja nilisha wahi msaidia kumpangia chumba mwaka mzima na nikampa na kazi flani kwny ofisi niliyokua nimemfungulia dada ake ili wasaidiane
 
Asante mzee baba

Ndo hivyo aisee tuishi nao hivyo hivyo kwa kupuuza Mambo maana tukisema tuwe serious nao

Mbona mwanamke hata mwaka huwezi kuishi nae unafukuza
 
Walikua wapuuzi Sana,
Wife kwnyw maswala ya duka tangu hapo sijawai kumuamini tena,kabaki mama wa nyumbani.

Yule kijana wa Oda ninae mpk Leo tukakimbiza faranga Hapa Hapa mjini,
Keshaoa na Anafanya vzur sn kibiashara na Yale Maduka yote mawili anayasimamia vizur sn. Na amekua mwanafamilia wetu na sio mfanyakaz Tena Kama zamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ