Mkeo akijamba unakuja kusimulia kwenye Jamii forums? Kwanini huwa mnaoa wakati bado hamjabalehe lakini? Unaoa ili iweje?Kwahiyo unaongea lipi haswa? Chai au sio chai?!! Hujaeleweka msimamo wako ni upi.
Mkuu, akili Yako inatuambiaje; Kuna madhara au hakuna ya kuvuta hewa yenye mashuzi?
Hahahahahaa!Mkeo anafululiza kula vyakula vya maharage, kunde, mbaazi n.k Wajibika awe anakula nyama, kuku au samaki halafu utuletee mrejesho.
Kama huwezi kuhudumia mkeo rafiki zako tupo tayari kukusaidia weka namba yake.
π€£π€£π€£π€£Na wewe yaachie mkuu, muwe kwenye mishuzi festival
Acha kabisa!Vijimambo
Sisi tulikuwa wa kwanza kabisa!lakini tayari mmekjiandikisha kwenye daftari la mpiga kura
Sasa wewe si dokta au ??Naombeni ushauri wadau, si kwa lengo la kumdharirisha mke Bali kusema ukweli ya kinachojiri.
Aisee mke anayaachia mashuzi, kha!!!
Yaani kazi inaanza dakika hiyo hiyo anayofumba macho na inaisha tu pale anapofumbua, yaani asubuhi anapoamka!
Ajabu ni kuwa Kuna wakati unaweza kudhani anayatoa makusudi maana unahisi kabisa anajikama. Utasikia 'pfuuuuuuuuu.....' halafu kama mtu anayezivuta pumzi apate nguvu na balance tena utasikia anamalizia kwa mkupuo, 'pfuu!'. Na Hali ipo hivyo muda wote. Inanishangaza sana. Salama yangu ipo kwenye kulala tu ndo nakuwa sisikii lolote ingawa sipati picha ni kiwango gani Cha hewa chafu nabugia.......maana dah!
Naomba kujua madhara ya kiafya ninayoweza kuyapata katika Hali kama hii wadau. Muwe na asubuhi njema!
jambo jemaSisi tulikuwa wa kwanza kabisa!
Ni mateso aiseeDu mliooa mna kazi si kidogo
Nimeipenda hiiTulivokwambia kataa ndoa ulituona wajinga vumilia mijambo mzee baba na mpaka kifo kiwa tenganishe
πππJibu lako mleta mada la huyo mke wako mjambaji hili hapa kwenye wimbo
View: https://youtu.be/xxtvznpjMK0?si=Iy4xgvc5H6LXIE2Z
Ukioa ni vema mke awe na chumba chake na mume huwe na chumba chako ...hizo ni dalili za kuchokana kama ilivyo kwenye ndoa karibu zote kutokana na kuish nyumba moja na kulala siku zote chumba kimoja..Naombeni ushauri wadau, si kwa lengo la kumdharirisha mke Bali kusema ukweli ya kinachojiri.
Aisee mke anayaachia mashuzi, kha!!!
Yaani kazi inaanza dakika hiyo hiyo anayofumba macho na inaisha tu pale anapofumbua, yaani asubuhi anapoamka!
Ajabu ni kuwa Kuna wakati unaweza kudhani anayatoa makusudi maana unahisi kabisa anajikama. Utasikia 'pfuuuuuuuuu.....' halafu kama mtu anayezivuta pumzi apate nguvu na balance tena utasikia anamalizia kwa mkupuo, 'pfuu!'. Na Hali ipo hivyo muda wote. Inanishangaza sana. Salama yangu ipo kwenye kulala tu ndo nakuwa sisikii lolote ingawa sipati picha ni kiwango gani Cha hewa chafu nabugia.......maana dah!
Naomba kujua madhara ya kiafya ninayoweza kuyapata katika Hali kama hii wadau. Muwe na asubuhi njema!
Huyo p diddy na S diddy nani zaidi USA VS TANZANIASasa wewe umeleta U P didy kwenye Uzi wa mtu aliye siriaz.
Yeah, madhara yapo.Naombeni ushauri wadau, si kwa lengo la kumdharirisha mke Bali kusema ukweli ya kinachojiri.
Aisee mke anayaachia mashuzi, kha!!!
Yaani kazi inaanza dakika hiyo hiyo anayofumba macho na inaisha tu pale anapofumbua, yaani asubuhi anapoamka!
Ajabu ni kuwa Kuna wakati unaweza kudhani anayatoa makusudi maana unahisi kabisa anajikama. Utasikia 'pfuuuuuuuuu.....' halafu kama mtu anayezivuta pumzi apate nguvu na balance tena utasikia anamalizia kwa mkupuo, 'pfuu!'. Na Hali ipo hivyo muda wote. Inanishangaza sana. Salama yangu ipo kwenye kulala tu ndo nakuwa sisikii lolote ingawa sipati picha ni kiwango gani Cha hewa chafu nabugia.......maana dah!
Naomba kujua madhara ya kiafya ninayoweza kuyapata katika Hali kama hii wadau. Muwe na asubuhi njema!
Dah.πhizo ngurumo labda ndio kidogo zina athari kwasababu ni noise pollution gentleman