Mke anatoa mashuzi usiku kucha; Kuna madhara ninayoweza kuyapata?

Hahaaa, madhara unayoyapata kwenye mashuzi unayoyapata kwa mwenza wako, kwanza umeshayavuta sana kupitia pua zako kama hewa chafu, kulingana maelezo yako bado unampenda sana, siamini kama unaweza ukamkabidhi mwingine gizani akahakikisha na kuusikia huo ushuzi, nawasilisha
 
BICHWA KOMWE - comment yako muhimu huku mkuu
 
Dawa ya moto ni moto mkuu
 
Itakua nati zimeachia.
 
Atakuwa anakula sana huyo, bana bajeti.

Ukute shuzi sasa linanuka, utajuta.

mmmmh
 
Ushuzi ni afya usiogope, hata mtu akifanyiwa operation kubwa akitoka salama anaulizwa ushajamba? Akisema Yes ndio daktari anasema operation was successfully na anaondoa mashaka ya complications
 
Ajaribu kupunguza ulaji wa vyakula vya gesi kuondoa tatizo..

Kuhusu madhara sifahamu maana kutoa ushuzi ni tabia ya mwanadamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ