Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Please don't generalize...Hizo pipo zenye mkia mbele akili zao ni km za dog
Na dog anapenda tumbuaNdo akili yako ilivyo mkia mbele ila akili za 🐕
Ndo ivo mkuu ni maisha hayoHivi vitu vinaumiza sana kwenye mahusiano aisee acha tuu
Haha tena nahama na mkoa asije akanichomea ndaniBaada ya keki lazma ukimbie nyumba tu.😁
nakusubiri mkivunja uhusiano utanitafuta!!!Niko nae wangu nasubiri nimtengenezee keki yenye video kabisa
Sina mpango huo mkuunakusubiri mkivunja uhusiano utanitafuta!!!
Kwa msisitizo mkubwa sanaSina mpango huo mkuu
Khaaa🥺🥺🥺Hizo pipo zenye mkia mbele akili zao ni km za dog
Hebu nitolee uchuroKwa msisitizo mkubwa sana
nipo nakusubiri mkivunja uhusiano utanitafuta
SIO kweli HIO ni Photoshop Adobe imefanya yake hakuna KEKI inaandikwa HIVYO au hilo ni COVER?Hivi vitu vinaumiza sana kwenye mahusiano aisee acha tuu
huu sio uanaume yaani unatumia mkeo ili umpate mchepuko mpka utoe ahadi za kumuacha mara umemchoka kwani mchepuko ukiupanga kwamba nina mke mbona mambo yanakua rahisi kabisa........ dunia ya sasa wanaume tumekua dhaifu sana kwa wanawake....Ungekuwa wewe ungefanya nini kama mwanaume, chhkulia ni mbele za watu.
View attachment 2998735
View attachment 2998736
Tena mkeo unamuita stupid mbele kwa mchepuko.
Mkuu kwani hapo kama ni karatasi imewekwa....SIO kweli HIO ni Photoshop Adobe imefanya yake hakuna KEKI inaandikwa HIVYO au hilo ni COVER?
Mkia HUO wa mbele lakini unakutimizia haja zako za kukojoa vizuriHizo pipo zenye mkia mbele akili zao ni km za dog
mkuu simama sehemu moja mara sio kweli mara photoshop mara hakuna keki inaandikwa marani cover unajua kweli unachokipinga au basi jf unabwabwaja tu...SIO kweli HIO ni Photoshop Adobe imefanya yake hakuna KEKI inaandikwa HIVYO au hilo ni COVER?
Hapo naona Photoshop Adobe imefanya yake hakuna KEKI halisi ni drama TU za mtandaoni kuwachota watu AkiliMkuu kwani hapo kama ni karatasi imewekwa....
HIO ni Photoshop hakuna KEKI HAPO Kaza Fuvumkuu simama sehemu moja mara sio kweli mara photoshop mara hakuna keki inaandikwa marani cover unajua kweli unachokipinga au basi jf unabwabwaja tu...
keki sio ugali wa kijijini kwenu utaalamu upo mwingi
duh mbona umepiga kwenye mshonoSawa mwanamke mwenzangu unayajua maumivu yake