Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Penina yupi unamzungumzia HAPO? Menina au Penina?Haya igeni na Tanzania lakini mumkumbuke Penina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Penina yupi unamzungumzia HAPO? Menina au Penina?Haya igeni na Tanzania lakini mumkumbuke Penina.
Daaah adobe Photoshop imefanyika vipi hapo mkuu...Hapo naona Photoshop Adobe imefanya yake hakuna KEKI halisi ni drama TU za mtandaoni kuwachota watu Akili
Angalia tena AIDaaah adobe Photoshop imefanyika vipi hapo mkuu...
eh ndio upo serious hivyo hadi unaandika herufi kubwa uskute jf kuna tuzo😂😂😂😂HIO ni Photoshop hakuna KEKI HAPO Kaza Fuvu
Kama Umeoa jiandae kuwa zaidi ya huyo jamaaa🤣🤣🤣🤣Nichepuke ila nisifikie hatua hiyo ya huyo mwamba.
Nmeghairi sitachepuka.
Mkuu yaani ni kitu gani pale cha kusema ni adobe ile...Angalia tena AI
Wanawake tambueni kuwa 𝕄𝕖𝕟 𝕒𝕣𝕖 𝕡𝕠𝕝𝕪𝕘𝕒𝕞𝕠𝕦𝕤 𝕚𝕟 𝕟𝕒𝕥𝕦𝕣𝕖,Mwanaume kuwa na wake ni asili yake tangu kuumbwa ulimwengu,shughulikeni na yanayowahusuHizo pipo zenye mkia mbele akili zao ni km za dog
Ungekuwa wewe ungefanya nini kama mwanaume, chhkulia ni mbele za watu.
View attachment 2998735
View attachment 2998736
Tena mkeo unamuita stupid mbele kwa mchepuko.
Hizo pipo zenye mkia mbele akili zao ni km za dog
Hatimaye mwanamke "stupid" kafanikiwa kupata talaka mapema kabla ya muda uliopangwa...
Pole sana dada angu. Embu tupe mkasa ulikukutaHizo pipo zenye mkia mbele akili zao ni km za dog
Akiwemo na baba yakoHizo pipo zenye mkia mbele akili zao ni km za dog
Bora ungewekwa nyuma walau mngekuwa na akili kiduchuMkia HUO wa mbele lakini unakutimizia haja zako za kukojoa vizuri
Hata wanawake ni hivyo hivyo shughulikeni na yanayowahusuWanawake tambueni kuwa 𝕄𝕖𝕟 𝕒𝕣𝕖 𝕡𝕠𝕝𝕪𝕘𝕒𝕞𝕠𝕦𝕤 𝕚𝕟 𝕟𝕒𝕥𝕦𝕣𝕖,Mwanaume kuwa na wake ni asili yake tangu kuumbwa ulimwengu,shughulikeni na yanayowahusu
Nani sasa awaombeeNdio mtuombee Sasa na sio kutuita dog ndio maana matukio hayaishi.
Kama Uleule uliokukuta wewe shogaanguPole sana dada angu. Embu tupe mkasa ulikukuta
Hayumo njoo uniueAkiwemo na baba yako
Kweli umevulugwa, ngoja nikuacheKama Uleule uliokukuta wewe shogaangu