Mke hataki ndugu zako, utafanyaje?

Mke hataki ndugu zako, utafanyaje?

Kama mzazi wake yupo hai ni vyema amsaidie akiwa kwa wazazi wake, hapo hawezi kuwa na amani, kumbuka mke ndie ushinda nyumbani mda mwingi na kwa bifu ndogo ndo wanapenda.
 
Kama mzazi wake yupo hai ni vyema amsaidie akiwa kwa wazazi wake, hapo hawezi kuwa na amani, kumbuka mke ndie ushinda nyumbani mda mwingi na kwa bifu ndogo ndo wanapenda.
Hii nayo point lakini mwanamke anataka kusepa kama dogo hataondolewa
 
nakataa sababu yoyote zaidi ya chuki na roho mbaya kwa sababu kama kuna changamoto yoyote angeongea na mume wake,
ok leo anakataa mtoto mmoja wa form two je akija kuuguliwa na mzazi kwake itakuaje?maybe kama mke ndo anatunza familia hapo ni sawa kulalamika lakini kama ni wewe basi mwanamke wa hivyo hakufai
N.B
hapa jirani kuna mwanamke yaani yeye ndugu wa mme huwa hawakai akijitahidi ni wiki mbili awe wa kike ama wa kiume sijui huwa anawafanya nini
 
Sad story ambayo sikupenda kuiweka kwenye uzi huu; Huyo mwanamke wazazi wake walifariki kwenye ajali ya gari akachukuliwa na mjomba wake kasomeshwa hadi anaolewa ametokea kwa kaka yake mkubwa 😢
Tena hao sijui yatima au wasio lelewa na wazazi wao au waliokulia mateso kwa ndugu usijaribu kabisa kuoa.Huwa na visasi Sana na watesaji wakubwa Sana wa ndugu,dada wa Kazi nk.
Awafai kabisa sababu Wanakuwa hawana saikolojiko balance pia wanakuwa wamebeba uchungu,mmoja kwenye mia labda ambae amekuwa shaped na elimu na dini ikamsaidia kuuondoa uchungu moyoni kwake, lakini wengi wao ni vimeo kama unataka ndoa bora.
Oa mtu aliyelelewa na baba na mama yake mzazi nje ya hapo ni SAwa na kupanda gari tairi kipara. Awafai wanasahau kabisa kwamba nao walisaidiwa.
 
nakataa sababu yoyote zaidi ya chuki na roho mbaya kwa sababu kama kuna changamoto yoyote angeongea na mume wake,
ok leo anakataa mtoto mmoja wa form two je akija kuuguliwa na mzazi kwake itakuaje?maybe kama mke ndo anatunza familia hapo ni sawa kulalamika lakini kama ni wewe basi mwanamke wa hivyo hakufai
N.B
hapa jirani kuna mwanamke yaani yeye ndugu wa mme huwa hawakai akijitahidi ni wiki mbili awe wa kike ama wa kiume sijui huwa anawafanya nini
Uko sahihi kabisa mkuu
 
Je, kitu hiki kimeshatokea walipokuja ndugu wengine?

Kama jibu ni hapana

1. Akae na mke wake sehemu tulivu ikibidi nje ya nyumbani apige nae story, kujua changamoto ni nini kuishi na huyo mtoto

Huyo mtoto anaingia foolish age, umri ambao majority wanakuwa watukutu sana, viburi, dharau. Na kwa vile si mtoto wake na wazazi wake wapo hawezi kupata uhuru wa kumuadhibu anapokosea

Kama itaonekana mtoto ndo changamoto
Arudishwe kwao then baba yake mdogo sijui mkubwa awe anatuma hela za kusapoti

Kwenye ndoa kunahitajika hekima sana
There is no one answer fit all

Lakini kama ni tabia ya mkewe, inahitajika uvumilivu na maamuzi ya busara
Vinginevyo ajipange kwa ugomvi, mabishano, kununiwa, kukosa amani, kukosa hamu ya kurudi nyumbani
na kama mtoto anashida kwa nini usimwambie baba fulani kuna hiki na hiki kwa huyu mtoto?kama anatabia hatarishi ataondolewa kwa makubaliano ya familia
 
Hii nayo point lakini mwanamke anataka kusepa kama dogo hataondolewa
Amtest amwache asepe najua hizo ni swaaga tu kutikisa kiberiti na dogo akisepa lazima ampande jamaa kichwani.
Ila kwa ushauri mwambie jamaa amsaidie akiwa kwa mzazi wake japo italeta chuki ya milele pia huwa ni laana mtendwa huwa na hasira sana ya kufanikiwa na huwa wanafanikiwa Sana maisha wakati mtenda akiwa na uhitaji.Mwanamke mpumbavu utazama leo,ajui mzunguko wa maisha ulivyo.
 
Mama ndie katibu wa nyumbani baba ni ATM ya familia Ili ATM isikauke pesa kina baba awashindi nyumbani. So anaweza akapata mateso. Wapo wanawake wengi uchukua mda kuelewa somo kama ana mmudu mkewe asichoke kumpa somo atumie hata watu ambao mke anawaogopa na kuwaheshimu Ili somo limuingie mke ajue umuhimu wa kusaidia watu, ajue hata yeye kafikishwa hapo. KILA mwanadamu alipo kafikishwa na mtu au watu. Usipowasaidia wengine watafikaje SAsa.
 
Sad story ambayo sikupenda kuiweka kwenye uzi huu; Huyo mwanamke wazazi wake walifariki kwenye ajali ya gari akachukuliwa na mjomba wake kasomeshwa hadi anaolewa ametokea kwa kaka yake mkubwa [emoji22]
kuna shemeji yangu yeye tangu mdogo baba na mama walifariki akalelewa na ndugu lakini alivyo na roho mbaya hawezi kukaa na mtu mwingine unajiuliza hivi huyu hakumbuki alivyokua ama ni nini hichi yaani huwezi kudhania kama ni yatima aliyelelewa kwa watu
 
Tena hao sijui yatima au wasio lelewa na wazazi wao au waliokulia mateso kwa ndugu usijaribu kabisa kuoa.Huwa na visasi Sana na watesaji wakubwa Sana wa ndugu,dada wa Kazi nk.
Awafai kabisa,mmoja kwenye mia labda.
Oa mtu aliyelelewa na baba na mama yake mzazi nje ya hapo ni SAwa na kupanda gari tairi kipara. Awafai wanasahau kabisa kwamba nao walisaidiwa.
hii huwa nawambia watu ila wanadharau kwa sababu ya kuongozwa na hisia watu wa hivi wanashida sana mfano hai ninao
 
Ni vizuri ulipoamua kuoa siulimuoa yeye Sasa ndugu wakazi gani??
Huo ni usumbufu wazungu lini baada ya ndoa wanaishi na ndugu zao Tena .

Halafu kazi kuja kuleta ushirikina , ulaghai, uchonganishi .

Usumbufu
Afrika sio wazungu. Lifestyle yetu Africans imebase sana kwenye extended families.

Vipi kama ndugu wa mwanamke wakitaka kuja kuishi hapo, nao atawakataa?

Alaf kama hakukubaliana na ilo swala, ilifaa alikatae mara ya kwanza alivyoambiwa, hapo ingemfanya jamaa afikirie namna nyingine yakufanya. Ila kitendo cha kukubali,alaf dogo kaja anageuka, hata jamaa anapewa wakati mgumu kufanya maamuzi, maana ataonekana hana msimamo.
 
Kama ingekua ni mimi huyo mwanamke angeondoka asubuhi saa 11 namuamsha tena akikataa kipigo kinahusika, mwanamke gani hana aibu na roho mbaya kiasi hiko?, mtoto kafiwa ni mipango ya Mungu hakupenda mzazi wake afariki. Tena jamaa awe makini huyo mwanamke atampa sumu oneday... yani mie wanawake wenye tabia za kipumbavu hata awe mzuri kama malaika sitaki ushenzi akafie mbele, unanyenyekea mke! mke! , hata nyau ina mke.
 
Back
Top Bottom