Hukumbuki kama ulimwambia au laa?Ila najua anajua sema hakuwai kuwaona,sijui picha kaibamba wapi,natumefana mno
Sina hiyo kumbukumbuHukumbuki kama ulimwambia au laa?
nikweli sikitaka,nawala sikutaka kuwasiliana nao mara kwa mara kwa vile wako kwa mama zaoHukumbuki kama ulimwambia au laa?
Kwangu mimi hili ni kosa kubwa kuliko kutomwambia kabisa.
Kutomwambia inawezekana ukaacha kumwambia kwa kuona hili ni jambo muhimu sana. Ulikuwa unalinda ndoa.
Usipokumbuka kama ulimwambia ama la, maana yake umeliona hili suala si muhimu kabisa.
Mpe tu hiyo talaka kama atasisitiza maana ni haki yake. Jitahidi kuwa muwazi kwa mwenzako, inatisha sana kuishi na mtu ambaye hujui kesho atakuja na suprice gani.Habari waungwana.
Nilioa 2015, ila kabla ya kuoa nilisha zaa na mabinti wawili, na mke siku mbuki kama nilimwambia au laa.
Iissue kuazia juzi naona namtumia msg, hajibu na piga hapokei, nikasema labda yuko busy nakazi, maana si ishi nae karibu.
Bi mkubwa leo kanipigia cm,kaniambia mkeo katuma picha kwa wifi zake anauliza mbona huyu mtoto kafanana na baba nani ,waka mjibu ni wa kwakwe .
Kwani kipindi anakuoa hakuwai kukueleza ana watoto wa nje? Ninacho omba ushauri watoto ni wakubwa nilizaa njee kabla sijamuowa na sijawahi kuzaa nje ya ndoa.
Naona anawambia dada zangu anataka kudai talaka, sasa hapo kosa langu nini?
Mpe muda. Hata akitaka kuondoka mruhusu. Acha muda umtulize. Kulazimisha msamaha ni hatari.Ila mimi mpaka sasa hajaniambia chochote,kakaa kimya,simu hapokei wala msg,sasa najiuliza kwavile ameamua kuwa mbia wifi zake,nikae kimya nione mwisho wa picha au numuulize.
Hajaniambia mimi ana wasiliana na wifi zake tu.mi nimeambiwa tuMpe tu hiyo talaka kama atasisitiza maana ni haki yake. Jitahidi kuwa muwazi kwa mwenzako, inatisha sana kuishi na mtu ambaye hujui kesho atakuja na suprice gani.
Imagine uje usikie mkeo kabla hujamuoa alishazaa watoto wa2 mmoja akafariki mwingine yupo kwa baba yake na hajawahi kukuambia na pengine ulimkuta bikra.
Habari waungwana.
Nilioa 2015, ila kabla ya kuoa nilisha zaa na mabinti wawili, na mke siku mbuki kama nilimwambia au laa.
Iissue kuazia juzi naona namtumia msg, hajibu na piga hapokei, nikasema labda yuko busy nakazi, maana si ishi nae karibu.
Bi mkubwa leo kanipigia cm,kaniambia mkeo katuma picha kwa wifi zake anauliza mbona huyu mtoto kafanana na baba nani ,waka mjibu ni wa kwakwe .
Kwani kipindi anakuoa hakuwai kukueleza ana watoto wa nje? Ninacho omba ushauri watoto ni wakubwa nilizaa njee kabla sijamuowa na sijawahi kuzaa nje ya ndoa.
Naona anawambia dada zangu anataka kudai talaka, sasa hapo kosa langu nini?
Kwa hiyo ulidhani asingegundua?Habari waungwana.
Nilioa 2015, ila kabla ya kuoa nilisha zaa na mabinti wawili, na mke siku mbuki kama nilimwambia au laa.
Iissue kuazia juzi naona namtumia msg, hajibu na piga hapokei, nikasema labda yuko busy nakazi, maana si ishi nae karibu.
Bi mkubwa leo kanipigia cm,kaniambia mkeo katuma picha kwa wifi zake anauliza mbona huyu mtoto kafanana na baba nani ,waka mjibu ni wa kwakwe .
Kwani kipindi anakuoa hakuwai kukueleza ana watoto wa nje? Ninacho omba ushauri watoto ni wakubwa nilizaa njee kabla sijamuowa na sijawahi kuzaa nje ya ndoa.
Naona anawambia dada zangu anataka kudai talaka, sasa hapo kosa langu nini?
ππ Mkuu hii mbona inatisha sanaMpe tu hiyo talaka kama atasisitiza maana ni haki yake. Jitahidi kuwa muwazi kwa mwenzako, inatisha sana kuishi na mtu ambaye hujui kesho atakuja na suprice gani.
Imagine uje usikie mkeo kabla hujamuoa alishazaa watoto wa2 mmoja akafariki mwingine yupo kwa baba yake na hajawahi kukuambia na pengine ulimkuta bikra.
Mke huambiwa hali zote ili kama anakubaliana na mazingira yote maisha yasonge. Naweza sema wewe hujielewi kama kweli hukumbi kama ulishawahi kumwambia ama vipi, sasa unawaleaje watoto wako bila yeye kugundua hata unapoongea na wazazi wenzio?Habari waungwana.
Nilioa 2015, ila kabla ya kuoa nilisha zaa na mabinti wawili, na mke siku mbuki kama nilimwambia au laa.
Iissue kuazia juzi naona namtumia msg, hajibu na piga hapokei, nikasema labda yuko busy nakazi, maana si ishi nae karibu.
Bi mkubwa leo kanipigia cm,kaniambia mkeo katuma picha kwa wifi zake anauliza mbona huyu mtoto kafanana na baba nani ,waka mjibu ni wa kwakwe .
Kwani kipindi anakuoa hakuwai kukueleza ana watoto wa nje? Ninacho omba ushauri watoto ni wakubwa nilizaa njee kabla sijamuowa na sijawahi kuzaa nje ya ndoa.
Naona anawambia dada zangu anataka kudai talaka, sasa hapo kosa langu nini?
Basi kaa kimya mpaka aje kukuhoji, akija kiri. Hakuna kosa kwenye kuwa na watoto esp uliowapata kabla ya ndoa. Hakuna watoto wa nje katika hayo mazingira, kuna watoto wako ambao ndoa imewakuta. Muweke wazi kuwa ulikosea kutomueleza mapema kuhusu uwepo wa hao watoto.Hajaniambia mimi ana wasiliana na wifi zake tu.mi nimeambiwa tu
Mkuu, hata mwanamke anatishika hivyo hivyo. Wanatishika kuishi na mtu wasiyemfahamu. Unakuta mwanamke anakuwa comfortable kuishi na malaya kuliko kuishi na mwanaume asiyemjua.ππ Mkuu hii mbona inatisha sana
Ulitakiwa umuweke wazi kabla.Habari waungwana.
Nilioa 2015, ila kabla ya kuoa nilisha zaa na mabinti wawili, na mke siku mbuki kama nilimwambia au laa.
Iissue kuazia juzi naona namtumia msg, hajibu na piga hapokei, nikasema labda yuko busy nakazi, maana si ishi nae karibu.
Bi mkubwa leo kanipigia cm,kaniambia mkeo katuma picha kwa wifi zake anauliza mbona huyu mtoto kafanana na baba nani ,waka mjibu ni wa kwakwe .
Kwani kipindi anakuoa hakuwai kukueleza ana watoto wa nje? Ninacho omba ushauri watoto ni wakubwa nilizaa njee kabla sijamuowa na sijawahi kuzaa nje ya ndoa.
Naona anawambia dada zangu anataka kudai talaka, sasa hapo kosa langu nini?
Hapa nakiri kuna makosa ya kiufundi nilifanya,ila kabla ya hapo huyo mwanamke mmoja anamjua maana nilikuwa niko nae kabla hata yeye kuamua kuwa mke wangu,nanilimchakua yeye kwa vile nilimpenda kweliMke huambiwa hali zote ili kama anakubaliana na mazingira yote maisha yasonge. Naweza sema wewe hujielewi kama kweli hukumbi kama ulishawahi kumwambia ama vipi, sasa unawaleaje watoto wako bila yeye kugundua hata unapoongea na wazazi wenzio?