The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Yani mume aingie mbinguni kwa kusapoti zinaa? amletee mkewe x wake ili wazini? ni dini gani hiyo au ni Mungu gani huyo ambaye hatotaka huyo mume kuingia mbinguni kisa amekataa kusapoti hiyo dhambi ya zinaa?Huyo mume amjali mgonjwa.Wagonjwa huwa wana madai ya ajabuajabu sana.Mume asikubali kutoingia mbinguni kwa kutaa ''ombi valuvalu" la mgonjwa Psychosis effections!
Bado watabishaQMMMMMMQ
KATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
NDOA NI UPUMBAVU
NDOA NI UTAPELI
wacha wapigwe tuBado watabisha
Hata ingekuwa wewe kuwezaaa?? (In jeshi’s voice)Mwenyeweeee💃(jokes)
Usiwe unasoma kwa pupa na kuanza kuskuti sana.Mara nyingine chukulia kama changamsha genge tu ili usipate vidonda vya tumbo.Huwa napenda kuandika kwa ku-relax!Yani mume aingie mbinguni kwa kusapoti zinaa? amletee mkewe x wake ili wazini? ni dini gani hiyo au ni Mungu gani huyo ambaye hatotaka huyo mume kuingia mbinguni kisa amekataa kusapoti hiyo dhambi ya zinaa?
Jibu nilichokuuliza,kama umeandika upumbavu lazima uambiwe.Usiwe unasoma kwa pupa na kuanza kuskuti sana.Mara nyingine chukulia kama changamsha genge tu ili usipate vidonda vya tumbo.Huwa napenda kuandika kwa ku-relax!
Tuna Siri mnoooHakuna kiumbe kina siri kama wanawake
Apige risasi akafie mbaliiAisee itakushangaza ila jua tu kwamba hapa duniani kuna mambo mengi sana ya kushangaza na kukuacha mdomo wazi hili likiwa mojawapo la huko Marekani ambapo unaambiwa mwanamke mmoja amemuomba mumewe amletee ex wake angalau afurahie tena mapenzi kwa mara ya mwisho kabla hajafariki.
Mwanamke huyo amegundulika na ugonjwa wa kansa na madaktari wamemwambia kwamba amebaki na miezi 9 ya kuishi hapa duniani.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke huyo ambaye ameishi kwenye ndoa kwa muda wa miaka 10 amemwambia mumewe kwamba alikuwa anafurahia tendo la ndoa kutoka kwa ex wake tu na tangu waoane hajawahi kabisa kufurahia tendo hilo. Mwanaume huyo ameomba ushauri kwa watu mbalimbali kwenye mtandao wa Reddit kama atimize matakwa ya mkewe ama aachane nayo.
Vipi wewe unamshauri nini huyu mwanaume mdau?
#MsasaKisasaZaidi
View attachment 2718053
Kuona jambo ni la kipumbavu au linalokonga moyo wako ni jambo la kutulia na kujiuliza:Je,umekula vizuri kwa viwango na ukashiba au unasumbuliwa na njaa kichwani.Ni kukubali kutokukubali au uache abebe godoro na aende zake.Rahisi sana.Jibu nilichokuuliza,kama umeandika upumbavu lazima uambiwe.
Aisee,ni kweli!Mnazitoa kidogokidogo mnoo utadhani series za Kikorea!🤔Tu
Tuna Siri mnooo
Hapa nimechekaaa kwa sautii😄😄😄😄Aisee tusiojua kutomber tutatombewa sana wake zetu. Mtu afungue shule ya kugegeda maan wenginw inabidi tufundishwe
Tukiamuaa kufake sisi tunafake kuliko kufake kwenyewe...Mungu aliwaambia muishi na sisi kwa akili...Na kweli tumieni akiliAisee,ni kweli!Mnazitoa kidogokidogo mnoo utadhani series za Kikorea!🤔
Nakazia.QMMMMMMQ
KATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
NDOA NI UPUMBAVU
NDOA NI UTAPELI
Mwanamama kamis kuchoshwa choshwa..kuvurugwa vurugwa...binua binua...🤢Hata ingekuwa wewe kuwezaaa?? (In jeshi’s voice)
Ah wapi.Apige risasi akafie mbalii