Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Unataka atoe taarifa kwenda nyumbani kwake ?Unakujaje usiku wa saa nane kwanza na bila kutoa taarifa?
Halafu mchepuko huwa haupelekwi nyumbani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka atoe taarifa kwenda nyumbani kwake ?Unakujaje usiku wa saa nane kwanza na bila kutoa taarifa?
Halafu mchepuko huwa haupelekwi nyumbani.
Unataka akamwagiwe vilainishi ?Mfuate kwake na kama ni mchepuko wa kudumu top ya rent yake. Kama huwezi fharama nunua sabuni ya dove.
Wanawake hawaeleweki utakuja kumwagiwa vilainishi.Mwanaume mwenye akili hawezi kukubali kulala kwa demu, labda awe anamjua sana na zaidi ya sana
Kabisa.....[emoji23][emoji23][emoji23] Oooh hallelujah
Mi sioni kosa la kuomba talaka hapo kwakweli, hilo mbona linaongeleka tu.
Yani akijumlisha na hilo kosa, anakua na manguvu na manyege yani anaweza katika siku nzima....uchovu utafata kesho yake.Kabisa.....
Linaongeleka aisee
Mie ndio nishajisemea hakuna asiyetaka hekaheka na raha ya penzi jipya...mikato mipyaaaa.....
Yaani unarudi dar chwaaaaaap.......
Unajivutia mtu wako mmoja unapiga show zenu za kibabe.....hapa hata msamaha unautoa kiurahisiiiìiiìii
Maisha mafupi haya
safi sana angalau kuna wanawake wanawaelewa wanaumeHuyo mwanamke nae awe serious....
hivo tu ndio aombe talaka? Labda kama alikua anatafuta sababu ya kuachana.
Tunaelewana mzabzab 😁safi sana angalau kuna wanawake wanawaelewa wanaume
Point kabsaaMwanaume mwenye akili pale ambapo amemkosea mkewe na haswa kwenye suala la usaliti, anapaswa kumkana na kumpotezea mchepuko na kutumia ujuzi, uelewa na ufala wake wote ili kumuweka sawa wife, sio kuwa mbabe tena, ukifumwa au kushtukiwa na kama kweli huwa tunakua wapole kwa wake zetu na kuwatii ili tusiharibu ndoa/familia
Kuomba msamaha maana yake ni kuwa unajutia kosa ulilolifanya na hutorudia kulifanya tena,ko ni sahihi kabsa mwanaume kuomba msamaha,cha msingi ulichofanya kiwe cha kweli,Kwenye vikao huwa wanadanganyana mwanaume kuomba msamaha ni uboya eti, wanatakiwa kujimwambafai.....
Mi kwakweli nikiombwa msamaha nalainika nalegea yanaisha moyo unakua mweupe, ili mtu akijimwambafai teh kaharibu....
basi muache kulalama pale ambapo vidume tunatumia hela zetu kula mbususu za michepuko pisi kaliTunaelewana mzabzab 😁
Muache kulalama pia tukiwa tunatunuku watu mbususu zetu....kwa wasimamia kuchabasi muache kulalama pale ambapo vidume tunatumia hela zetu kula mbususu za michepuko pisi kali
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umeleweka. ila tambua kuwa wanao lalama hao sio wanaume ni vijanaMuache kulalama pia tukiwa tunatunuku watu mbususu zetu....kwa wasimamia kucha
Ee bhana hii issue mmoja yupo dsm mwingine yupo dom imeleta migogoro sana kwenye ndoa. Juzi msela kakutwa na demu baada ya mke kusafiri usiku kuja dodoma alifika saa nane usiku na kumkuta mshkaji kavuta mwanamke mwingine. Mpaka sasa hawaelewani na mke anaomba taraka.....
Hii nimeona nishare hapa ili watu wengine wajifunze. Me nimemshauri akaombe msamaha kwa mwanamke yaishe. Jamaa hataki...hii imekaaje kwa ndoa za namna hii na kuhama inakuwa ngumu maana mmoja yupo serikalini mwingine yupo private.
Huyu mwanaume nae, kuuleta mchepuko kwenye matrimonial bed ni kitu kibaya sana. Angekwenda kugegeda huko huko, take away zinaliwa hukohuko nyumbani ukirudi ni kuoga na kulala.
Mnalalamika mikosi inawaandama laana nyingine ni za kujitafutia wenyewe.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Huyo mwanamke nae awe serious....
hivo tu ndio aombe talaka? Labda kama alikua anatafuta sababu ya kuachana.
Huyo ni mchepuko au mke mwenza...Sema jamaa naye hataki kuomba msamaha mpaka nimeona niirushe huku. Jamaa mtata kinoma
🙄🙄🙄 Espy ntakurudisha kwa bibi kabla huu mwaka haujaisha.....yani asali wa moyo, mume, darling husband umuache kila kamfanya mtu?!! No way una lako haki a mama.[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Are you serious? Nani kakuharibu akili namna hii[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji849][emoji849][emoji849] Espy ntakurudisha kwa bibi kabla huu mwaka haujaisha.....yani asali wa moyo, mume, darling husband umuache kila kamfanya mtu?!! No way una lako haki a mama.
Nna wasiwasi hata Heaven Sent kakushindwa pia...we ni wa kurudishwa kwa bibi uanze mafunzo upya.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwe mwe mweeeh!![emoji2297][emoji2297]