Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

Mkuu
Unatafuta sababu.
Nikwambie MWAMBIE TU MUACHANE
ni kama unaokoteza tu sababu.
Humpendi tena huyo mwanamke.
Ila fikiria watoto wenu wote kwa pamoja.tafuta soln kabla hujavunja ndoa.
Maana nakuona ur more than ready
Duuu sawa Mkuu ,nashukuru kwa mchango wako.
 
Siandiki umemaliza.
1.mlee huyo mtoto AU
2..akalelewe kwa baba yake.
Hakuna mwanamke atakaemuacha mwanae kwa sababu wewe tu umesema.bayupo...
Na

Mkuuu.
Kama ni wako wite wa3 na uchumi umeyumba UNGEFANYAJE?
Uoni hapo wewe ndo umelitengeneza tatizo
La bibie awasiliane na baba mtu in the first place?
Baada ya yeye kukataa kumtafuta mzazi mwenzake niliendelea kumhudumia kwa kidogo kinachopatikana mkuu,nadhani nimejibu swali lako.
 
Baada ya yeye kukataa kumtafuta mzazi mwenzake niliendelea kumhudumia kwa kidogo kinachopatikana mkuu,nadhani nimejibu swali lako.
Usikimbilie kuachana..wala hayo mambo ya condoms sijui nini...
Jamani kuna ndoa zina matatizo kaka
Unaweza muona mkeo malaika.
Yaani ni taabu..
Usimkusanyie ushahidi binadamu hawajakamilika.
Plz ..kuna watu wanaoa mbao si single maza na wanachapiwa sana tu.
Unajua soln nyingi ni baada ya kukaa pamoja.
Ila kama unaona upendo umekufa.Achaneni mtatafutiana sababu mwishoe muuane
 
Na baada ya kujua ulichukua hatua gani mkuu, yani mwanamke akudanganye hana mtoto kumbe ana mtoto alafu unakuja kugudua na hauchukui hatua ??? Ebo !! Kwanza huyo mwanamke kishakudharau sanaa na ndio maana mpaka sasa anakudanganya na kufanya maujinga nyuma ya pazia akijua hata ukijua huchukui hatua yoyote.

Eti unaamua kutumia condom wewe jamaa ni mjinga sana sana. Yani hapo unaalalisha kwamba hata akisaliti huwezi kumuacha wewe jamaa ni mjinga.

Kwa hiyo mimi nikimtomba mke wako hatua ktakayochukua ni kutumia condom kwake ?! Samahani kukutukana ila mkuu wewe ni goigoi, mshamba, zoba na mjinga sana sana na utaumizwa sana,

ushauri hata huyo mtoto wa pili unaesema ni wako kapime DNA nakuhakikishia utakuja na uzi mwingine hapa
unataka apime DNA afe na presure? mkuu humtakii mema
 
Mkuu
Unatafuta sababu.
Nikwambie MWAMBIE TU MUACHANE
ni kama unaokoteza tu sababu.
Humpendi tena huyo mwanamke.
Ila fikiria watoto wenu wote kwa pamoja.tafuta soln kabla hujavunja ndoa.
Maana nakuona ur more than ready
He is more than ready na hayuko tayari kusikia tofauti , yeye posts za kusema usioe single maza ndio anazipenda 🤣🤣🤣🤣, hajui wanaomshauri hivyo ni watu toxic , wana Ishu zao mbona hatusemi usiolewe na single fazas? Au na wao huwa hawakumbushii viporo na watu waliozaa nap??? Watu wamepinda ukisikiliza mengine unapotea hivi hivi
 
Tulioana miaka kadhaa iliyopita na tumejaaliwa watoto wawili. tTulioana mke wangu akiwa na mtoto mmoja aliyezaa akiwa kwao. Miaka ya mwanzoni uchumi uliruhusu kutoa huduma hata kwa mtoto wake ambaye anaishi na mjomba wake, baada ya uchumi kuyumba nikamwambia mwenzangu ongea na shangazi yake mtoto amwambie kaka yake aanze kumhudumia mtoto wake.

Nilifanya hivyo kwasababu sikutaka mke wangu awasiliane moja kwa moja na mzazi mwenzake, mke wangu akakataa akasema hawezi kufanya hivyo. Miezi kadhaa akaja akaniambia alishamtafuta mzazi mwenzake ila alimjibu vibaya, hivyo hana mpango wa kumtafuta tena na namba zake amefuta.

Nikamuuliza mbona nilikwambia umtafute dada yake ukakataa, ilikuwaje ukaanza kuwasiliana na mhusika moja kwa moja? Akajitetea yakaisha, lakini moyoni nikawa na mashaka. Ikabidi nianze kufanya uchunguzi kimya kimya nijue kinachoendelea,

Mungu sio mwanasiasa, kuna siku alikuwa ameenda shamba halafu akasahau simu nyumbani. Nikaanza kuipekua ndipo nikakuta simu ambazo yeye alikuwa akimtafuta mzazi mwenzake, pia nilikuta jumbe alizomtumia wifi yake akilalamika kwamba mzazi mwenzake hapokei simu, na baadaye jumbe ambazo zinaonyesha kwamba tayari wamewasiliana na jamaa na kakubali kwamba atakuwa anatoa hela za ada pamoja na mahitaji mengine.

Aliporudi nikamuuliza kwanini unarudia kosa lile lile mara ya pili, mimi ndiye niliyekupa ushauri halafu hutaki kunishirikisha kwanini? Je, nikisema unamtafuta kwa ajili ya usaliti nitakuwa nakosea? Kama kawaida yake akaanza kujitetea, lakini utetezi wake haukuiniingia moyoni, ikabidi nifanye maamuzi haya;

Nikamwambia hivi, "Sitolala na wewe bila kutumia condom usije ukaniletea maradhi, hawa watoto wawili wanatosha ukitaka mtoto kazae na huyohuyo mzazi mwenzako, na mimi nikitaka nitamfuta wa kuzaa naye".

Sasa yeye anadai namnyanyasa, namuonea kwasababu ana mtoto aliyezaa na mwanaume mwingine, na hataki kukubaliana na maamuzi yangu. Ila mpaka sasa wanaendelea kuwasiliana na mzazi mwenzake kuhusiana na masuala ya mtoto wao.

Je, nani mwenye kosa hapo, mimi au yeye?
Hapo mwenye kosa ni wewe kwa sababu huja sibitisha kama huyo mkeo anatembea na mzazi mwenzake
 
Wewe ndio mwenye matatizo na una wivu wa kishamba na unauchoyo pia,pia unajiona sana kuwa wewe ndo kila kitu,pia inaonekana huyo mtoto humpendi

Kama uchumi umeporomoka kamchukueni mtoto mkae nae

Sema tu kwasasa umemchoka mkeo

Sio kila kitu lazima mwanamke akuambie,hata wewe kuna mengine humuambii mkeo

Inshu ya jamaa kukubal kutoa matumiz na mkeo kukuficha hiyo sio inshu sana,huenda mkeo anataka kuhifadhi hyo hela utakayokuwa unampa na kuifanyia makubwa zaid yatakayowasaidia wote
 
Usikimbilie kuachana..wala hayo mambo ya condoms sijui nini...
Jamani kuna ndoa zina matatizo kaka
Unaweza muona mkeo malaika.
Yaani ni taabu..
Usimkusanyie ushahidi binadamu hawajakamilika.
Plz ..kuna watu wanaoa mbao si single maza na wanachapiwa sana tu.
Unajua soln nyingi ni baada ya kukaa pamoja.
Ila kama unaona upendo umekufa.Achaneni mtatafutiana sababu mwishoe muuane
Nakubaliana na wewe hata waliooa bikra wanachapiwa vizuri sana.Sasa je hata kama mtu na mzazi mwenzake hawafanyi uzinzi ni sahihi wawe wanawasiliana?
 
Bila shaka kakutuma umtetee,muulize hivi,kilichomfanya aanze kumtafuta mzazi mwenzake ninini hali ya kuwa alishakataa? Na kama alishabadili maamuzi yake,kwanini alimtafuta kwa kificho pasipo kunishirikisha?
Acha kuuliza maswali yenye majawabu. Alimtafuta kwa kificho ili kuhakikisha hitaji lake la mtoto kuhudumiwa linapata utatuzi wa uhakika kwa gharama yoyote hata ikibidi kutoa mchezo na ndio maana hakukwambia.
 
Na wewe endelea kugongewa nje umewakilisha wanaume wengi wavumilivu [emoji4][emoji4][emoji4]
Kawakilisha wanaume wajinga. Ati anamtishia mkewe kutumia condom kanda ya ziwa mwanamke akichepuka ni talaka jioni ya siku hiyo hiyo boya eti anatumia condom.

Kisio langu madhubuti ni kua hata huyo mtoto wa pili sio wake anabisha akapime DNA
 
Acha kuuliza maswali yenye majawabu. Alimtafuta kwa kificho ili kuhakikisha hitaji lake la mtoto kuhudumiwa linapata utatuzi wa uhakika kwa gharama yoyote hata ikibidi kutoa mchezo na ndio maana hakukwambia.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kawakilisha wanaume wajinga. Ati anamtishia mkewe kutumia condom kanda ya ziwa mwanamke akichepuka ni talaka jioni ya siku hiyo hiyo boya eti anatumia condom.

Kisio langu madhubuti ni kua hata huyo mtoto wa pili sio wake anabisha akapime DNA
Bahati mbaya sana mimi sio wa kanda ya ziwa Mkuu, hatuwezi tukafanana
 
Kwahyo hakukwambia kwamba ana mtoto lakini alikua na mtoto !? Hiyo inabadili nini kwamba yeye sio mlaghai ?!!

Na kuhusu condom haikupaswa kumwambia ati mtumie condom yampasa kujua akisaliti ni mwisho you need to keep her in that frame of thinking sio ati awe na utashi kua akisaliti utatumia condom, dude What the Fuc.k is that
Rudia kusoma usipoelewa basi.
 
Back
Top Bottom