Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Mnakumbuka Yale ma picha picha ya Dr Mwaka na wake zake watatu ,mpaka sisi wengine tukaonekana sio wanaume ??.
Kumbe Ndani ya Ndoa ni patashika
Kumbe Ndani ya Ndoa ni patashika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Connection Huhitaji Kuwa Ni Go And See, Come And Tellconnection au number naenda huko jumatanoo niandaliwe
Eeee Umeweka Nini Mkuu, Oops!!!![emoji846]View attachment 2493507
Mpaka Ikalala DoroInawezekana anauza zote bila mwenyewe kujibakizia
Fuata maneno yake usifuate matendo yake mkuu hata kwenye vitabu imeandikw hivyo.Kwahiyo mafundisho yake tufuate au tutemane nayo?
Mwaka ni afisa spenkon nae 🤣🤣🤣Mlango taka? Mwamba anachimba mitaro?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hahaha tackle mbili mbuyu chiniNaskia Dokta tackle Mbili back to the net😂😂
Si mwenyewe unaona hapo alishasahaulika kabisa na mume, kimsingi hamna mwanamke wa kibongo anafurahia ndoa ya wake wenza ni basi njaa tu na huduma zinawafanya kuvumilia ila wakikatiwa huduma tu mbio Bakwata 😀😀😀!Kwahy mke mkubw alikua hapewi 100% Ndoige😅
hamtoshelezi mkewe huyo, kila siku anatutibia sisi nguvu za kiume kumbe yeye hana hata moja.Mganga hajigangi mkuu, unaweza ukawa muuza super ilulu na bado ukawa na kibamia
Anahema Kama mgonjwa wa Covid🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hahaha tackle mbili mbuyu chini
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Noma na nusu[emoji846]View attachment 2493507
NDOA YA MITAALA YAMSHINDA DR.MWAKA, AWABWAGA WAKE ZAKE WAWILI ABAKI NA MMOJA.
Baada ya kurindima kwa miaka kadhaa huku akijitapa kuwa yeye ni Mwanaume wa shoka anayejua kuwahudumia, kuwalea vyema na kuwapa dozi ipasavyo wake zake watatu bila wao kugombana wala kuchukiana, huku akionyesha kwa vitendo namna anavyowamudu wake zake hao kwa kuwanunulia Magari ya kifahari, simu za gharama na matashititi mengine.
Hatimae mwisho wa siku yamemshinda, hadi sasa Dr. Mwaka amewatimua wake zake hao wawili amebaki na mwanamke mmoja ambaye anatambulika kwa jina la 'Shimmy', Mwaka ameachana na Mke wake wa kwanza ambaye ndiye alikuwa mke mkubwa na inadaiwa ndiye mwanamke aliyetoka naye mbali na baadhi ya mafanikio yake ya sasa wamechuma wote, ameachana na Mke wake wa pili amebaki na wa tatu kumuoa ambaye ndiye Shimmy.
Sababu hasa za kuachana kwao bado hazijafahamika, kutokana na wao kutokuweka mambo yao kwenye mitandao, lakini kumekuwa na majibizano ya chinichini kati ya mke wa pili ambaye ameachwa, na huyu wa tatu ambaye amebaki, ambapo majibizano yao yamekuja baada ya Dr. Mwaka kumtaka mke wake wa pili aondoke kwenye nyumba yake aliyomjengea yeye na watoto wake wawili kwa madai kwamba kama wameamua kuachana basi kila kitu alichopewa mwanamke huyo kirudishwe, jambo ambalo Shimmy ameonekana kuliunga mkono kwa asilimia zote ili yeye aichukue hiyo nyumba.
Kwa sasa Mwaka na mke wake Shimmy wameenda kupumnzika nchini Marekani na hadi sasa wanakaribia kumaliza mwezi.
Kesi zitaanza rindima tungoje yajayoZuga tuu asomeshe watoto anaendaje kupumzika marekani wakati ada za watoto wake hajalipa?