Mke wa Jirani yangu ananipa chakula kila apikapo

Wanaume mliooa hakikisheni mnawafikisha wake zenu kileleni...

Hapo huyo mwanamke anaonekana mumewe hamkuni ipasavyo....

Sasa mwanamke wa watu anatafuta mahali pa kupunguza naniliu[emoji23]
Hiyo sio hoja.. ukiona hufikishwi dai talaka hakuna atakae kulaumu ila kufanya uzinzi ndani ya ndoa malipo yake huwa majuto[emoji56][emoji56]
 
NAKAZIA,
Kuna ex wangu alikuwa akija gheto atapika machakula mengi sana halafu anawapa majirani wote aisee yaan alikuwa ananikera kwa kwel[emoji35]..nilikuja kuelewa baadae kumbe ni jamii aliyotoka ndo imemshape hvyo..so wazee tusiwaze sana ngono[emoji23]
 
Kwahiyo na mwanamme anapochepuka anakuwa haridhishwi na mke wake?
Hakuna mahali imeendikwa mwanamke ataolewa na wanaume wawili au wa 3.. ila maandiko yanamruhusu mwanaume kuoa idadi hiyo ya wanawake kama ana mudu ipasavyo... hivyo mwanamke kuwa na mwanaume mwingine wakati yupo ktk ndoa ni ubatili na malipo yake ni mauti...
 
Mbali na mke wangu kukufanyia ukarimu anaoujua yeye na kichwa chake, nisije nikajua matumizi ya nyumbani kwangu yanaongezeka kwa sababu ya mtu nisie mfahamu, tena dume lenzangu! Aloooh! Pata fukuka kama sio kuchimbika
 

Shida yako mkuu ipo hapo, kwenye uhalisia unaingiza hisia! Wewe akijisikia vibaya kisa umekataa misosi yake itakuumiza kwenye maisha yako ya kawaida? Itakupunguzia kipato? Itakuzidishia kodi na mbanga nyingine??

Muulize huyo mwanamke je mume wake anajua kwamba anakupaga chakula? Kama mume hajui usipokee chakula cha mwanamme mwenzako mtafutaji maana wote si mmepanga? Basi wote mnajitafuta kwaiyo budget ni muhimu, usicatch feelings mzee ni Hatari!
 
Kwanini ukatae...nikiwa chuo mwaka 1997 hapo kinondoni msufini nilipangiwa chumba na mshua badala ya kukaa kwa ndugu...ukijumlisha na vislope wa uani,hiyo nyumba ilikuwa ina wapangaji kama 7 hivi,tulikuwa tunaishi wenyewe bila wenye nyumba...kuna mama mmoja alitokea kunionea imani tu akawa ananihesabu menyu ya mchana maana nilikuwa nafika home saa kumi...alinisevu hivyo kwa muda kama wiki moja hivi mpaka mshua allipokuja kunitembelea na wakasalimiana na akanikabidhi kwao wawe kama waangalizi wangu maana mshua alikuwa anaishi Dom...na hata Mr wake hakuwa na neno na alitokea kuwa bro-rafiki sana...


Baba Mussa na Mama Mussa Mungu awape maisha marefu huko mlipo...nawakumbuka sana sana
 
KUNA NYIMBO MPYA YA ALIKIBA NA MARIOOO EBU KAISIKILIZE HALAFU UTAJUA CHA KUFANYA.
 
Siku utakapojiona mjinga na kichaa ni ile
Ambapo upo gerezani kwasababu umemdhuru, kumuua mkeo, jamaa au umemlawiti jamaa na hukumu yake ni kifungo cha miaka 30. Unamuacha mkeo yupo mtaani halafu wewe upo gerezani, na washikaji wanaendelea kumla. Sijui utakuwa umelinda nini.
Huyo mzee ni mjinga sana, ajitafakari. Mwanamke halindwi, akiamua kuliwa ataliwa hata kama upo naye kitanda kimoja. Atakuacha usiku umelala, anenda kuliwa na houseboy kisha anarudi anaendelea kulala na wewe.
Mimi siwezi kugombana na mwanaume mwenzangu kwasababu ya mwanamke. Wameelewana na wamewasiliana wakagongane.
 
Andaa vaseline yakutosha. Unakula jasho la mshkaji bure??
 
Muulize huyo mwanamke je mume wake anajua kwamba anakupaga chakula? Kama mume hajui usipokee chakula cha mwanamme mwenzako mtafutaji maana wote si mmepanga? Basi wote mnajitafuta kwaiyo budget ni muhimu, usicatch feelings mzee ni Hatari!
ushauri mzuri
 
Mara moja moja mfinyie hata ten mkuu huku ukiendelea kuweka mazingira mazuri ya kuizagamua hiyo mafuta bila mweny Mali kujua...zingatia mwenye Mali asijue..
 
Endelea kula tu chakula cha mwanaume ila kunasiku jamaa atachokonoa kwa chini kukitoa kama mbolea..
 
Jiandae mzee siku na wewe utageuka chakula kwa mumewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…