Mke wake anaweza kuhojiwa kama shahidi tu kama hao wajinga walioliwa kimasihara walivyohojiwa kama mashahidi ila ukimkamata hakuna offence yoyote unayoweza kumshitaki nayo .Akamatwe kwani anawasiliana nae kila mara kwa Simu kujua yanayoendelea huku Mkewe sasa akihangika kuhamisha Fedha zake kutoka katika Benki moja Kubwa na Maarufu ya Tanzania.
Poleni sanaKuna jirani aliwahi kunisimulia habari za huyo kiboko ya wachawi ila sikumwanini na sikuchukulia maanani. Kumbe kweli watu wanapigwa kwa kumwamini. Bado tuna safari ndefu sana kifikra.
Na Upumbavu pia.Wamezidisha ushamba
Wafanye hivyo haraka sana kwani Mkewe huyo anazihamisha sasa kwa msaada wa Wakubwa kadhaa.serikali ifreeze pesa zake haraka. kama kuna wahusika humu ndani washughulikie haraka. freeze hizo account.
Siyo Wapumbavu wengi Mkuu?Tz imejaa wajing wengi sana
Ova
kwa kawaida, urgent transfers inatakiwa kutrigger FIU kuona kuna suspecion kwenye hizo hela.Wafanye hivyo haraka sana kwani Mkewe huyo anazihamisha sasa kwa msaada wa Wakubwa kadhaa.
Umenikumbusha hii ya Mashainakuwaje mchawi anakuja kupiga pesa hapa halafu anaondoka nazo wakati tunaona? huko congo wanasema alikimbia baada ya kufanya maajabu, akaona Tanzania ni chaka la bibi. na kweli kapiga na kadanganya watu hadi waliokuwa viongozi.
Mimi nimeshamaliza yangu hivyo Kazi Kwao sasa.kwa kawaida, urgent transfers inatakiwa kutrigger FIU kuona kuna suspecion kwenye hizo hela.
kwanini tusimaddress wakati tumemwajiri? sisi ndio tumemweka pale atufanyie kazi?Hii Nchi Elimu ya Uraia ninatakiwa sana,yaan kila kitu tunadress kwa rais.
Sawa Golgota Magabe kutoka GGM Geita!Nawe unalishuka jukwaa la habari kutoka mjini bon
Muda wa kumjibu huyo damn Fool umeutoa wapi Genius kama Wewe Mkuu?kwanini tusimaddress wakati tumemwajiri? sisi ndio tumemweka pale atufanyie kazi?
Sikiaaa wajingaaa wanavyoopiga keleleee hukonyumaaaUmenikumbusha hii ya Masha
View attachment 3056882
MKUUUUUmenikumbusha hii ya Masha
View attachment 3056882