Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo kwenye VICOBA na UpatuMsimbe mweupe huyo
Mama yake hakim nae wakimuuliza pesa ziko wapi atasema pesa zipi
Mi nlimpa babu yake hachim[emoji1787][emoji1787
]
Achraf hakim [emoji116][emoji116][emoji116]
Maza Huna buku mbili hapo nikanunue nyanya kwa mangi [emoji1787][emoji1787]View attachment 2587419
Inaitwa "message sent& delivered"[emoji38]Huyu Jamaa mahusiano yake yajayo yatakua na ugumu sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Wapo kimaslahi wanawake wa sasaKwanza mwanamke mwnyw Alikua lishangazi TU, miaka 36 wakati ashraf Yuko na 24[emoji4]
Sema kawaalert waje na mbinu mpyaInaitwa "message sent& delivered"[emoji38]
Hapana atakaye mpata atakuwa ameenda kuolewa kweli nasio kufuata mali za mjuba.Huyu Jamaa mahusiano yake yajayo yatakua na ugumu sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Ashraf kacheza kama pele, Eboue alicheza kama ditram nchimbiSio yule Emmanuel Eboue aliekuwa akipata mshahara wote anatuma kwa mkewe ndo aweke uwekezaji.Mwisho wa siku Emmanuel akapigwa talaka na kuambulia zero.Ashraf kweli Mungu alimuongoza,hawa warembo wengi wanakimbilia wacheza mpira sababu ya pesa. Ndo maana C.Ronaldo hataki kufunga ndoa na Georgina.
Hii imekaa vizur 🤗🤗
Mke wa Ashraf Hakimi amempeleka mahakamani ili kupata talaka na alitaka Mahakama iwagawanyishe mali.
Baada ya Talaka kufanikiwa na kukubaliana kugawana mali, ikagundulika kuwa Ashraf Hakimi hakuwa na mali yoyote na hata akaunti zake benki hazikuwa na pesa yoyote.
Inaelezwa kuwa mahakama imebaini Ashraf Hakimi alishaweka mali zake zote kwa jina la mama yake muda mrefu uliopita.
Wamegeuza mahusiano uwekezaji,Wapo kimaslahi wanawake wa sasa
Wanaume tungekua Kama ashraf hakimi,Sema kawaalert waje na mbinu mpya
Halafu mwanamitindo,ni dhahiri yeye ndo alimtongoza Hakimi.Kwanza mwanamke mwnyw Alikua lishangazi TU, miaka 36 wakati ashraf Yuko na 24[emoji4]
Jimbo liko waz hili kamtemee madin huyo manzi awe demu wakoSafi sanaaaa
Dah Emmanuel Eboue kilimkuta kitu kibaya sana!!😀😀😀Huyu mwanamke alitaka kumpukutisha kama alivyofanywa Ebue