Zipo kwenye VICOBA na Upatu
 
Ashraf kacheza kama pele, Eboue alicheza kama ditram nchimbi
 
Hii imekaa vizur 🤗🤗
 
Mchumba haamini macho yake,

Mgao wake ulipaswa kua Euro mil. 70

Kitu Kama Dolla mil 100,
Sawa na almost billion 230 za kibongo

Kwa haraka haraka ,
Binti kuchanua mapaja miaka 5 tayar keshakua bilionea

Wakati kuna watu wanasoma udaktari miaka 5, ongezea wa 6 intern, bado miaka 2 ya adavance, miaka 4 olevel, miaka 7 primary na bado kwa mwezi wanalipwa mil 1.4[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…