Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Huko usabatoni au nawewe ni kichawi kidogoNmepikwa nikapikika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko usabatoni au nawewe ni kichawi kidogoNmepikwa nikapikika
Umeandika na Umeandika tena,Moja ya Komenti Bora sana!Kwa pande zote ukimfumania mmeo dili na mmeo,ukimfumania mkeo dili na mkeo,hiyo ndo akili otherwise ni upumbavu.
Unakuta mwanamke anadanganya hana mme,unakuta mme anadanganya hajawahi kuoa,mtu ambaye ana akili atadili na mtu wake,tofauti na hapo ni ujinga mtupu.
Mtu kama mmeshindwana si unaachana naye?
heh kumbe mitishamba ni uchawiHuko usabatoni au nawewe ni kichawi kidogo
Mitishamba haitibu vitu vya kutupiwa, kachawii akooheh kumbe mitishamba ni uchawi
Ww ndo huna akili unaleta mada ambazo hazina ushahidi! Leta ushahid hatutak maneno matupu ww kiazi.Sidhani kama una akili timamu wewe!
We umejuajeMitishamba haitibu vitu vya kutupiwa, kachawii akoo
Kiazi ww siku nyingine leta ushahidi.Hii nchi Ina Vijana WAJINGA sana na bila shaka wewe inaweza ukawa ndiye kiongozi wao!
😂😂😂😂😂 Naona umenisanukia nimejifanya sielew ili-nipate hiyo video😏Ushahidi hupati na hakuna Video utaona nyambilisi wewe,🤣
Eti video,video uipeleke wapi?😂
Kusema hiko kitendo kifanywa na (kwa kuzan) walio tenda ni askari polic au jeshi naweza kupnga kwa hilo.Mume wa mtu kipolo/ro cha wali maharage ile asubuh na chai ya rangi afu ue na njaa uuuuweeeeh
Naomba video hyo mkuuHamna askari pale wale ni chokoraaa wanaonekana tu!
Wakamatwe wapigwe kama wezi haijalishi ni naniKusema hiko kitendo kifanywa na (kwa kuzan) walio tenda ni askari polic au jeshi naweza kupnga kwa hilo.