Mke wa mtu ni Sumu ila Mume wa mtu ni Asali?
Kwa pande zote ukimfumania mmeo dili na mmeo,ukimfumania mkeo dili na mkeo,hiyo ndo akili otherwise ni upumbavu.
Unakuta mwanamke anadanganya hana mme,unakuta mme anadanganya hajawahi kuoa,mtu ambaye ana akili atadili na mtu wake,tofauti na hapo ni ujinga mtupu.
Mtu kama mmeshindwana si unaachana naye?
Umeandika na Umeandika tena,Moja ya Komenti Bora sana!
 
Ww ndo huna akili unaleta mada ambazo hazina ushahidi! Leta ushahid hatutak maneno matupu ww kiazi.
Hii nchi Ina Vijana WAJINGA sana na bila shaka wewe inaweza ukawa ndiye kiongozi wao!
 
Moja ya ujinga mkubwa sana unafanywa na mume/mke ambaye anamkamata mgoni wake ni kumfanyia umafia wowote.

Mfano; unauza duka na usiku unaondoka ufungi milango usiku wanaiba na kuna siku unamkamata mmoja wa wezi wako, (note, mmoja wa wezi) baada ya kumkamata ukampiga kisha akatoweka.

Baada ya kipigo kwa mwizi wako na akahama mtaa au ukamuua, ukajua tayari nimemaliza, bado ukawa unaendelea kuuza bidhaa lakini usiku haufungi milango!!.

Nani anatakiwa kupewa adhabu kwanza hapo?.

"Tuache ujinga wote mnaofanya ujinga wa kuwatesa wagoni wenu"

'bladfkn'
 
Ww ndo huna akili unaleta mada ambazo hazina ushahidi! Leta ushahid hatutak maneno matupu ww kiazi.
Hii nchi Ina Vijana WAJINGA sana na bila shaka wewe inaweza ukawa ndiye kiongozi wao!
 
Ushahidi hupati na hakuna Video utaona nyambilisi wewe,🤣

Eti video,video uipeleke wapi?😂
😂😂😂😂😂 Naona umenisanukia nimejifanya sielew ili-nipate hiyo video😏
Ni mikwara tu kamanda!
 
Mume wa mtu kipolo/ro cha wali maharage ile asubuh na chai ya rangi afu ue na njaa uuuuweeeeh
Kusema hiko kitendo kifanywa na (kwa kuzan) walio tenda ni askari polic au jeshi naweza kupnga kwa hilo.
 
Kusema hiko kitendo kifanywa na (kwa kuzan) walio tenda ni askari polic au jeshi naweza kupnga kwa hilo.
Wakamatwe wapigwe kama wezi haijalishi ni nani
 
Back
Top Bottom