Mke wa Ne-Yo amletea mume wake Wanawake waku Sex nae nyumbani


1. Takwimu huwa ni estimation (population estimation programme) huwa hazitoi accurate number ya watu maana kuna gaps nyingi sana huwa haziguswi mfano vipi kuhusu uncontacted tribes?

2. Tukiangalia kihistoria majority ya wanaopigana vita huwa ni wanaume na wanaokufa huko vitani ni wanaume pia wanawake huwa wanakuwa assimilated kwenye jamii mpya iliyoshinda vita hii ya kusema wanawake ni wachache kushinda wanaume bado haijaniingia akilini.

3. Unampangiaje Mungu kuumba idadi ya watu unaowataka wewe? Yeye ni Mungu anaumba kwa atakavyotaka na idadi atakayoitaka yeye hana wa kumpangia , tukianza kuweka kwanini kwanini kwenye kila swali linalousu maamuzi ya Muumba utajikutaunakosa majibu UNAYOYATAKA .
 
Sasa Kama takwimu hazitoi idadi ya watu husika wewe una uhakika gani kuwa jinsia fulani niwengi na utatumia kigezo gani? Takwimu Ni Taaluma mkuu Kama imekupita kushoto hautaweza kuelewa.
2. Umesema wanaume wanakufa vitani nikweli , hizo hizo takwimu unazozikataa zinaonesha wanaume wanakufa haraka kuliko wanawake lakini wakati huo huo watoto wakiume wanazaliwa wengi kuliko wakike.
3. Mimi simpangii Mungu ninayemuamini ambaye ameumba watu wanaokaribiana kwa idadi jinsia zote mbili , huyo mungu wenu anayesema uwino wa 4:1 ndio inatia mashaka kulingana na idadi ya watu
 

Yawezekana mkuu kutokana na tamaduni za zamani ambazo wanawake waliolewa wakiwa bikra tofauti na sasa ambapo sex ni game kama game nyingine. Hivyo mwanamke wa kuridhishwa na mwanaume mmoja ilihali nae anaweza kuwadadavua wanaume kimuonekano, kimaumbile na kivitendo. Sio rahisi kutulizwa unless ajitulize mwenyewe

Kingine dunia imetengenezwa kwa kumuona mwanamke ndiye anapoteza asipoolewa kwa sababu maamuzi ya ndoa yapo kwa mwanaume lakini pia, mwanamke ana menopause lakini pia kipindi cha kutamanika hivyo kuwafanya kuwa na expiry date

Lakini ukirudi kiuhalisia, kama kuna wanaume wasiooa huoni kama soko pengine lina ziada ya wanaume pia na kama unasema, hata kama nchi zenye kutukuza mitala kuwa excess ya wanawake haikosekani. Huoni kama uzinzi haupekiki kama kuna binadamu wengi wanakosa kusitirika
 
Kuhusu kusema kwamba labda zamani wanawake walikuwa wanaolewa mabikra ndio maana walikuwa hawatamani sidhani kama ni kweli,tamaa ya mwanadamu iko pale pale ila useme tu siku hizi hofu ya Mungu watu hawana,binafsi naamini kabisa binadamu wote tuna tamaa ila kinachotusaidia ni hofu ya Mungu kwa baadhi yetu

Uislamu una jawabu na solution ya kila kitu,umempa mwanamke nafasi ya kujivua katika ndoa kama hapati haki yake ya ndoa kutoka kwa mume wake,au hata kwasababu nyingine ambazo ni serious sana

Tendo la ndoa ni haki muhimu sana katika ndoa kwahiyo kama mume imedhibitika,hilo tatizo ni la kudumu kwa maana tiba zimeshindikana,basi ili kuepuka zinaa mke huyu anaweza vunja ndoa yake kwa kurudisha mahari kwa mume na yeye kuolewa na mume mwingine,yote ni kuhakikisha mwanadamu haruki mipaka ya Allah

Kuwepo kwa wanaume wengi ambao hawajaoa na wanawake ambao hawajaolewa sio sababu ya zinaa kutamalaki,kwahiyo ishu hapa ni watu kumrudia mungu na kuoa na kuolewa ili waepuke dhambi hii,ni pale tu tutakapo mrudia mungu na kuogopa kwamba siku ya mwisho tutakuja kuhojiwa kwa hili basi tutaogopa na kufunga ndoa

Na cha ajabu zaidi kuna watu wanaishi wanapika na kupakua lkn cha kushangaza hawafungi ndoa,sasa unajiuliza kwanini wasihalalishe tu na kumpendeza mungu

Kuna hofu ambayo imeingia siku hizi ya wanandoa kuogopa wakiachana watagawana mali ndio maana vijana wanaogopa kuoa,lkn hawaogopi kwamba maisha ya uzinifu yatakuja kuwa gharimu siku ya mwisho pale watakapo kutana na Allah,kipi bora uogope kugawana mali hapa duniani au uogope adhabu ya milele huko akhera kwa wale tunao amini Mungu yupo
 
Nzuri sana kwa sababu hili tendo linahitaji mtu uwe umetulia kiakili
 
Okay tufanye kwamba wanawake ni wengi kwakuwa sisi tunakufa mapema si ndio, je swali linakuja je wanaume wote wanaofikia umri wa kuoa huwa wanaoa?

Kwahiyo vyovyote itakavyokuwa bado wanawake wa ziada watakuwepo tu hata kama wanaume wote tutaoa wake wawili wawili

Hapo bado hujatoa mashoga ambao wao kuoa ni muhali,bado hujatoa wanaume ambao sio marijali,kwahiyo bado wanawake wa ziada watakuwepo tu.

Nimesahau tu kuna nchi moja huko mbele imeonekana wanawake ni wengi mno kuliko wanaume kiasi kwamba,nchi hiyo wanaume hawakidhi idadi ya wanawake,kwahiyo hakujawi kutokea upungufu wa wanawake wa kuolewa na haitakuja kutokea mpaka dunia iishe,kwani Allah anajua zaidi ndio maana akaruhusu wanaume waoe wake zaidi ya mmoja
 
Huu ni msisimamo mzuri sanaaa na laiti wanawake wengine wangefanya hivi hii Dunia ingekuwa safi sana tunengeepuka magonjwa kwenye ndoa

Kubwa tunachotakiwa kujua nii Wanawake wana nafasi kubwa ya sisi wanaumen kuishi maisha marefu
[emoji57][emoji57][emoji57]
 
Ndiyo maana uislamu ikawa solution kwenye mambo yote mi nikiwa na wake zangu watatu au wanne unadhani nitaanza saangapi kutafutiwa sex workers ambao asilimia 40 ya mwili wao ni silicon plus magonjwa ?
Ila mtume yeye alibeba hadi 11. ..Na Sisi tudai ongezeko mkuu
 
Tutafanyaje wanawake niwengi wakati takwimu zinaonesha wanaume niwengi kuliko wanawake? wanaume birth date nikubwa pia death rate nikubwa Nadhani hapo utakuwa unaelewa. Nikiwa na maana wanaume tunazaliwa wengi kuliko wanawake lakini tunakufa Bellow 60 kuliko wanawake ikianza kuhesabu watu wenye miaka 60+ wanawake niwengi kuliko wanaume , na ikianza kuhesabu watu wenye 60 kushuka chini utakuta idadi kubwa Ni wanaume kuliko wanawake ,, kwa mujibu wa takwimu. Hayo makundi uliyoyatoa mashoga hawahesabiki Kama wanaume na Wala wao hawajitambulishi Kama wanaume. Pia je wanawake hawapo wenye changamoto Kama ulivyo bainisha kwa wanaume? Usijubu kukurupuka jibu kulingana na tawimu maana naona dini imekuchota akili zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…