hivi kufyokonyoa simu ya mpenzi wako mume wako iliiweje ... mimi weka hapo utajijua tu elimradi matumizi yangu yawepo na kumsisitiza kutumia kinga huko anaporuka ruka inatosha siwezi kufa kisa kidudu loh
loh married men hawatumii kinga kwa michepuko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi kufyokonyoa simu ya mpenzi wako mume wako iliiweje ... mimi weka hapo utajijua tu elimradi matumizi yangu yawepo na kumsisitiza kutumia kinga huko anaporuka ruka inatosha siwezi kufa kisa kidudu loh
eti anajidanganya yupo pekee .. hajui kuwa katika kumi yeye ndo kaonekana bora na ndo anaweza mfia that all,,, na haina maana eti ndo achepuki ni kufanya ya msingi kama mama basi inatosha fyoko fyoko za nini na simu ya mueo kalala unayo kaenda kuoga unayo alafu iweje ujinga huo mimi sipendi... ukishajua anachepuka alafu ufanyaje? mpe makavu kuwa nakuamini asilimia 20 kwa hiyo ila baada ya miezi mitatu tucheki afya that all
loh married men hawatumii kinga kwa michepuko
Lol mie siwolewi nitaoa tu akizingua namwambia baba am sory npe nafasi
Ts true coz nlishafanya research hawana uzoefu na hayo mavitu kabsa wao n kav kav tu aaaagggh inakera mamaaaaa
wanaume kuacha michepuko ni kazi sana sisemi hawapo ila dah ni wachache saaaaaaaaaaaana,
Amekufanyaje?
ulikula/unakula raha za umukagame...hongera
Kuumizana vichwa ya nin lyf ynyew fupi
Hapo ndo shida pipi yakoumenunua gharama waja kula na ganda aaah
hivi kufyokonyoa simu ya mpenzi wako mume wako iliiweje ... mimi weka hapo utajijua tu elimradi matumizi yangu yawepo na kumsisitiza kutumia kinga huko anaporuka ruka inatosha siwezi kufa kisa kidudu loh
Mbona ww unaliwa.