Mke wa x wangu

Mke wa x wangu

hivi kufyokonyoa simu ya mpenzi wako mume wako iliiweje ... mimi weka hapo utajijua tu elimradi matumizi yangu yawepo na kumsisitiza kutumia kinga huko anaporuka ruka inatosha siwezi kufa kisa kidudu loh

loh married men hawatumii kinga kwa michepuko
 
eti anajidanganya yupo pekee .. hajui kuwa katika kumi yeye ndo kaonekana bora na ndo anaweza mfia that all,,, na haina maana eti ndo achepuki ni kufanya ya msingi kama mama basi inatosha fyoko fyoko za nini na simu ya mueo kalala unayo kaenda kuoga unayo alafu iweje ujinga huo mimi sipendi... ukishajua anachepuka alafu ufanyaje? mpe makavu kuwa nakuamini asilimia 20 kwa hiyo ila baada ya miezi mitatu tucheki afya that all

Lol mie siwolewi nitaoa tu akizingua namwambia baba am sory npe nafasi
 
Mwambie Nokia8 aje ajibu tuhuma kwanza ili tupate maelezo ya pande zote mbili kabla hatujaanza kutoa ushauri nasaha.
 
Ts true coz nlishafanya research hawana uzoefu na hayo mavitu kabsa wao n kav kav tu aaaagggh inakera mamaaaaa

wee ulishazoea kupata utamu orijino alafu mtu akupe nusu utmu sii u.jinga huo huku na gharamikia loh
 
wee ulishazoea kupata utamu orijino alafu mtu akupe nusu utmu sii u.jinga huo huku na gharamikia loh

Hapo ndo shida pipi yakoumenunua gharama waja kula na ganda aaah
 
Hapo ndo shida pipi yakoumenunua gharama waja kula na ganda aaah

na kweli pipi zenyewe gharama kweli siku hizi alafu eti nile na ganda mwee....hilo halipo kabisaaaa. kama kufa tufe tuu.
 
hivi kufyokonyoa simu ya mpenzi wako mume wako iliiweje ... mimi weka hapo utajijua tu elimradi matumizi yangu yawepo na kumsisitiza kutumia kinga huko anaporuka ruka inatosha siwezi kufa kisa kidudu loh

miss chagga hope wewe bado hujaolewa ndo maana unaujasiri wa kusema hivyo,siku ukiolewa au ukiwa kwenye strong relationship ndo utajua kama kuna umuhimu wa kufyokonyoa sim au hamna.
 
Last edited by a moderator:
Hivyo ndivyo inavyoonekana kuwa wanaume hawawezi kuishi bila michepuko(japokuwa wapo ambao ni waaminifu)
lakini inakuwaje sasa mwanamke akichepuka jamii inamchukulia tofauti? sihalalishi uchepukaji wa wanaume ila nasema wanaume wanajisahau na kusahau majukumu yao ya msingi.
Mwanamke ambaye anafika mahali anaanza kupekua simu ya mumewe sio chizi jamani!!!! anakuwa ametaabika sana na anataka kujua tatizo ni nini mumewe kubadilika hizi ndoa zina mambo ambayo ni ngumu kuelezea ila mtu akiwa yupo ndani ya ndoa anaelewa zaidi,wapo wanaume wanachepuka lakini inapokuja issu ya mke na wtt wake yupo mstari wa mbele wkt wengine wanajisahau kabisaaaa!!!!!yani mke na watoto wanapewa nafasi ya mwisho huku mchepuko ukipewa kipaumbele hichi ndicho kinachoumiza wanawake.
 
Bwana nokia8 ebu acha hizo bwana.
 
Back
Top Bottom