Hampend! angeolewa nae?π π π Kisirani na mke ni vitu vinavyoenda pamoja kama chupi na kiunoHakuendiiiiiiiii
Na experience hicho kitu kwa mkewangu watu wengine anaongea nao vzr tu kwa bashasha lkn kwangu anakua na majibu ya mkato.
Me sipendi wanaochekacheka na ma waooh waooh (hugs) na kila mtuSipendi manawake yenye tabia ya kununanuna na kukasilika.
Mazingira yalilazimisha mzeeπHampend! angeolewa nae?π π π
Kwahio hio ndio unaona ni dawa?Mkuu ndivyo walivyo hawa viumbe...ukirudi home salimia, kula, oga, lala kesho amka mapema nenda zako kazini.
Kwa haraka haraka, huyu jamaa anamkera mke, ila mke akiona watu inabidi avunge tu acheke...
Una wivu kinomazzzπππ ila hatujapishana sana mie mke ambaye anajifanya charming zile shobo shobo za kusalimiana na kila mjuba anafeli πMe sipendi wanaochekacheka na ma waooh waooh (hugs) na kila mtu
Kwahio atekenywe au
Me sipendi wanaochekacheka na ma waooh waooh (hugs) na kila mtu
Ina maana kuna jambo halipo sawaKwa haraka haraka, huyu jamaa anamkera mke, ila mke akiona watu inabidi avunge tu acheke...
Wanawake wa kitanzania hatari mnoo. Ni heri nikaowe white
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] eti solution tit for tat.Aisee!...nilikuwa natafuta comment yako uzi wote huu nifurahi [emoji1]. Huwa unanyoosha, Solution zako zinakuwaga tit- for-tat
Fanya hivyo mwanetu naunga mkono hoja
YesKumbe na hii ni tiba?
Hili ndo jibuhuyo ana kisirani, mtafutie mchepuko
Na ni mnafiki badala amfuraishe mumewe anafuraisha wapita njia, in short mtu mnunaji wa Mambo ya ajabu ajabu dawa ni kumkomesha tu.Mnafiki huyo
Kuna na wanaume wenye hii tabia in short wanachefuaSipendi manawake yenye tabia ya kununanuna na kukasilika.