Mke wangu alibakwa na baba yake mdogo aliyekuwa anamlea akiwa na miaka 13, leo ukweni akataka arudie tena!

Mke wangu alibakwa na baba yake mdogo aliyekuwa anamlea akiwa na miaka 13, leo ukweni akataka arudie tena!

Huyu atakuwa mchaga. Ndivyo wengi walivyo. Wanatiana kama mbuzi na kuku hawa. Ni laana kiasi gani. Ningekuwa wewe ningemtokea uso kwa uso na akizidi namtia adabu.
Una chuki kali ya kikabila
Uhalifu na Kabila vina husiana VIP?
MBNA kesi kama Hizo zipo iringa sana je tuseme wahehe ndio tabia yao? Hapana hiyo ni tábia ya MTu specific sio kabila
 
We bwana una chuki na kila kabila na mataifa. Unachukia waarabu, wasomali, waethiopia, watusi, warundi, bado makabila ya weusi wenzako wa hapa nyumbani nayo huyapendi.
Linasumbuliwa na umaskini mkuu
 
Mke wangu alifiwa na wazazi wake wote wawili kwa ukimwi mkali ule wa zamani, hivyo akalelewa na baba yake mdogo tangu akiwa na miaka 8, darasa la pili.

Wife alipofika darasa la saba alibakwa na baba yake mdogo huyo aliyekuwa anamlea na kumtishia kuwa akisema atamuua.

Uzuri wife akawa amefaulu na kuchaguliwa shule ya bweni. Mkoa aliochaguliwa kulikuwa na shangazi yake ambaye ni aliajiriwa kama mwalimu wa shule ya msingi, hivyo likizo zote zilimalizokia kwa shangazi hadi anamaliza kidato cha nne.

Kipindi cha kusubiri majibu shangazi akawa anamsisitiza kwamba aende kusalimia kwa baba mdogo, ndipo wife akamweleza yote aliyofanyiwa na baba mdogo. Shañazi akaelewa.

Majibu yakatoka wife akachaguliwa kujiunga na shule ya bweni mkoa mwingine ambapo hakuwa na ndugu. Alisoma kwenye mazingira magumu sana.

Kwa kufupisha habari, huyu baba mdogo amefiwa na mkewe na tumezika leo. Jinsi huyo baba mdogo alivyo mchawi, akawa amemwita wife chumbani kwake mida ya saa nne. Wife alipoenda akawa anamlazimisha amlale, kwenye purukushani wife akapiga kelele.

Kwa kweli baba mdogo katia aibu sana.

Kesho tunarudi zetu Dar
Mzeee unakula kubakwa
 
Huyu atakuwa mchaga. Ndivyo wengi walivyo. Wanatiana kama mbuzi na kuku hawa. Ni laana kiasi gani. Ningekuwa wewe ningemtokea uso kwa uso na akizidi namtia adabu.
Acha chuki
Tabia ya MTu sio kabila
Mkoa WA kwanza kwa ukatili WA kijinsia kwa mujibu WA takwimu za Sasa ni IRINGA
 
Uyo mzee kabila gani mkuu ? Muombe Mungu sana kuna laana hapo.

Mwanamke nyota yake inategemea na aliyemtoa bikra🤣🤣🤣
 
Mwenge kuna BAR opposite na Kebbys Hall inaitwa Lukani na mtaa unaitwa Lukani Street nenda ksulizie. Sio nyumba hiyo tu, ila wachagga wa Mwenge ni tishio.

MzeevJulius Shirima wa Mikocheni kuzaa na wanawe unasemaje? Watoto wanazaliwa wa ajabu kabisa ili adumishe mali
Habari ya kweli hii?
 
Mwenge kuna BAR opposite na Kebbys Hall inaitwa Lukani na mtaa unaitwa Lukani Street nenda ksulizie. Sio nyumba hiyo tu, ila wachagga wa Mwenge ni tishio.

MzeevJulius Shirima wa Mikocheni kuzaa na wanawe unasemaje? Watoto wanazaliwa wa ajabu kabisa ili adumishe mali
Umaskini na chuki vinakusumbua
Maneno ya uongo
 
Stuka ww acha uboya kwa hiyo aliingia chumbani kwa bamdogo ambae amewahi kumbaka bila kukuambia .mkuu mzee bado anamla
 
Back
Top Bottom