Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una chuki kali ya kikabilaHuyu atakuwa mchaga. Ndivyo wengi walivyo. Wanatiana kama mbuzi na kuku hawa. Ni laana kiasi gani. Ningekuwa wewe ningemtokea uso kwa uso na akizidi namtia adabu.
Linasumbuliwa na umaskini mkuuWe bwana una chuki na kila kabila na mataifa. Unachukia waarabu, wasomali, waethiopia, watusi, warundi, bado makabila ya weusi wenzako wa hapa nyumbani nayo huyapendi.
🤣🤣🤣🤣🤣Sasa mkuu si ungesoma kwanza uzi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sema baadhi ya watu sio useme Kabila Juha weweHapana, sichukii kabila lolote bali naeleza ukweli niujuao kuhusiana na wahusika. Kama ukweli ni chuki, basi ninawachukia. Ila kama ukweli ni ukweli, basi sina chuki na yeyote. Wote ni watoto wangu.
Sure,inaumiza mno.Yaani ni brain tearser and damager
Aisee watakupofoa na mawe.Huyu atakuwa mchaga. Ndivyo wengi walivyo. Wanatiana kama mbuzi na kuku hawa. Ni laana kiasi gani. Ningekuwa wewe ningemtokea uso kwa uso na akizidi namtia adabu.
Mzeee unakula kubakwaMke wangu alifiwa na wazazi wake wote wawili kwa ukimwi mkali ule wa zamani, hivyo akalelewa na baba yake mdogo tangu akiwa na miaka 8, darasa la pili.
Wife alipofika darasa la saba alibakwa na baba yake mdogo huyo aliyekuwa anamlea na kumtishia kuwa akisema atamuua.
Uzuri wife akawa amefaulu na kuchaguliwa shule ya bweni. Mkoa aliochaguliwa kulikuwa na shangazi yake ambaye ni aliajiriwa kama mwalimu wa shule ya msingi, hivyo likizo zote zilimalizokia kwa shangazi hadi anamaliza kidato cha nne.
Kipindi cha kusubiri majibu shangazi akawa anamsisitiza kwamba aende kusalimia kwa baba mdogo, ndipo wife akamweleza yote aliyofanyiwa na baba mdogo. Shañazi akaelewa.
Majibu yakatoka wife akachaguliwa kujiunga na shule ya bweni mkoa mwingine ambapo hakuwa na ndugu. Alisoma kwenye mazingira magumu sana.
Kwa kufupisha habari, huyu baba mdogo amefiwa na mkewe na tumezika leo. Jinsi huyo baba mdogo alivyo mchawi, akawa amemwita wife chumbani kwake mida ya saa nne. Wife alipoenda akawa anamlazimisha amlale, kwenye purukushani wife akapiga kelele.
Kwa kweli baba mdogo katia aibu sana.
Kesho tunarudi zetu Dar
Nakula kukabwaMzeee unakula kubakwa
Oh yeSHuyu atakuwa mchaga. Ndivyo wengi walivyo. Wanatiana kama mbuzi na kuku hawa. Ni laana kiasi gani. Ningekuwa wewe ningemtokea uso kwa uso na akizidi namtia adabu.
Hivi hizo bangi mnazovuta huwa mnachanganya na nini?Nenda katoπbe hata hiyo maiti
Acha uzito bado haijapowa
Acha chukiHuyu atakuwa mchaga. Ndivyo wengi walivyo. Wanatiana kama mbuzi na kuku hawa. Ni laana kiasi gani. Ningekuwa wewe ningemtokea uso kwa uso na akizidi namtia adabu.
Habari ya kweli hii?Haya mambo ya kubaka watoto wachagga wanayo sana. Kuna rafiki yangu anaitwa Mercy alibikiriwa na baba yake mzazi, akamfanya kama mke mdogo. Mama yake Mercy alipo wafumania, alizimia, hakuongea tena hadi mauti
Habari ya kweli hii?
Hujasoma storyAu na wewe lipiza kwa mke wake
Umaskini na chuki vinakusumbuaMwenge kuna BAR opposite na Kebbys Hall inaitwa Lukani na mtaa unaitwa Lukani Street nenda ksulizie. Sio nyumba hiyo tu, ila wachagga wa Mwenge ni tishio.
MzeevJulius Shirima wa Mikocheni kuzaa na wanawe unasemaje? Watoto wanazaliwa wa ajabu kabisa ili adumishe mali
Umaskini na chuki vinakusumbua
Maneno ya uongo