Mke wangu amepewa taarifa zangu na mtandao wa simu. Kisheria imekaaje?

Unachosema ni sahihi kabisa na nilishawahi kuthibitisha. Ila hizi Verified [emoji2960][emoji2960][emoji2960]
 
Kampuni za simu hazihusiki ..anakutishia tu
Kivipi mkuu? Ukiangalie ile print out na simu zinamatch kabisa. Kwa sababu hii printout ni ya kuanzia tarehe 17 mwezi huu so hizo taarifa bado ninazo kwenye simu.
 
Mchunguze mwenendo wake pengine umeoa JINI.
Hahaaa hapana sio jini ni binadamu mkamilifu kbs maana hata akijikata na wembe anatoka damu. Na hata juzi kati tulipata ajaki ya gari kidogo anapiopio mguuni.
 
Ongea nae vizuri kama mume na kuwa makini na maamuzi yako maana usipoangalia hili swala linaweza kuleta athari kubwa tofauti na unavyoweza kuimagine.

Alichokifanya sio kizuri kwa afya ya ndoa yenu, ongea naye kwa kumuelimisha zaidi na kumkanya aachane na huo utoto.
 
Anawezekana ana mtu kwenye kampuni...
Trust me. Watu wanafanya mambo unayoyaona hayawezekani
Inawezekana, mimi nikiwa second year simu yangu ilidukuliwa na demu wangu wa 3rd year tena akaniambia kabisa hata ubadilishe line ntakudukua labda uhame mtandao wa tigo. Ilibidi tuachane tu
 
Tatizo watu wanachukulia hii mitandao poa.

Ila experts wakutosha kuzuia vitu kama hivyo.

Ili upewe printouts lazima mahakama ihusike, polisi, dci
Ndio amepata sasa. Na nimeifuma hata yeue hakutegemea japo na aliogopa sana. Anataka tuichane ila mm nimeihifadhi sehemu salama mpk nipate taarifa za kutosha toka kwake. Na atanipa
 
bado sio rahisi mkuu hata kama kuna mtu unamfahamu..... ni ngumu kuliko tunavowaza...
Ni ngumu sana kuna urasimu mkubwa sana hadi kupata details za mteja, pamoja na mlolongo wote hawezi kufanya mtu mmoja kwenye taasisi lazima ipite mikononi mwa staffs wengi na hapo ndiyo ugumu unakuja siyo wote watakaotaka kuhatarisha kibarua labda kwa donge nono sana.
 
Tatizo watu wanachukulia hii mitandao poa.

Ila experts wakutosha kuzuia vitu kama hivyo.

Ili upewe printouts lazima mahakama ihusike, polisi, dci

Mkuu kibongo bongo vitu ambavyo kisheria au kiutaratibu unafanikisha kuvipata Kwa mwezi mzima kupata basi trust me kuna watu ukiwa nao vizuri unafanikiwa kuvipata ndani ya masaa 24 tu kikubwa ni usiri tu ili usichome vibarua vya watu

Kwahiyo hayo Mambo sijui ya Kuhusisha mahakama,mara polisi, mara DCI huo ni utaratibu tu umewekwa ila haina maana lazima ufuatwe, watafata wale wasio na watu

Nimeona watu wanapata passport ya kusafiria siku hiyo hiyo, akapata kitambulisho cha NIDA siku hiyo hiyo, akapata TIN siku hiyo hiyo,akapata leseni ya biashara siku hiyo hiyo na kampuni ikasajiliwa siku hiyo hiyo
 
Wahenga walisema usimuwekee mtego wa kumfumania kama huna uwezo wa kumuacha.

Kuchunguzana mambo ya simu kwa wapenzi au wanandoa ni ucccchinga na ushamba, kama mtu unaona humuamini si umuache kuliko kuforce maugomvi yasiyo na masingi.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Utoto mwingine huo, mtu umeamua kuolewa bado unamuwinda mume kama mwanafunzi.
 
Nimeona watu wanapata passport ya kusafiria siku hiyo hiyo, akapata kitambulisho cha NIDA siku hiyo hiyo, akapata TIN siku hiyo hiyo,akapata leseni ya biashara siku hiyo hiyo na kampuni ikasajiliwa siku hiyo hiyo
hahahahahaha, nida tu ukifata prosija, ni miaka 7
 
Kivipi chifu?
Sio rahs , kampuni za simu zinaweza fanya hvyo Kwa command ya vyombo vya dola kuhusu masuala ya kiusalama , kama unabisha print hyo document yako ukawashtaki ndo utajua amekuingiza cha kike .. labda kama ana mtu wake huko lakn bado sio rahs
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Utoto mwingine huo, mtu umeamua kuolewa bado unamuwinda mume kama mwanafunzi.
Yaani inachekesha sana.
Ila apewe tu elimu, aache hizo tabia awe busy kuboresha ndoa yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…