Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
Unachosema ni sahihi kabisa na nilishawahi kuthibitisha. Ila hizi Verified [emoji2960][emoji2960][emoji2960]inawezekana kabisa kama una mtu ndani ya mtandao husika
kuna namba yangu ilifungwa, na ilikua site mbali na nilipo
nikamtaarif rafiki, yeye akawasiliana na rafiki yake
nikapewa PDF ya bounds zote zilizoingia na kutoka, mpaka waliosajili ile namba kabla yangu
nikashangaa
bado sio rahisi mkuu hata kama kuna mtu unamfahamu..... ni ngumu kuliko tunavowaza...Ni rahisi kama mtu anayefanya huko unafahamiana nae ila ni kosa kisheria
Ongea nae vizuri kama mume na kuwa makini na maamuzi yako maana usipoangalia hili swala linaweza kuleta athari kubwa tofauti na unavyoweza kuimagine.Ni kweli. Alitaka kujiridhisha kama kweli nilijuwa safari na kupitia hizo printout amethibitisha nilisafiri. Sasa mm ameshanitia hofu sijuzoea kuchunguzwa hivi. Hapa nakusanya nondo iki nimchemshe kidoggo asirudie tena. Nina uwezo wa kumbana mpka kunitajia walimomsaidia.
Inawezekana, mimi nikiwa second year simu yangu ilidukuliwa na demu wangu wa 3rd year tena akaniambia kabisa hata ubadilishe line ntakudukua labda uhame mtandao wa tigo. Ilibidi tuachane tuAnawezekana ana mtu kwenye kampuni...
Trust me. Watu wanafanya mambo unayoyaona hayawezekani
Ndio amepata sasa. Na nimeifuma hata yeue hakutegemea japo na aliogopa sana. Anataka tuichane ila mm nimeihifadhi sehemu salama mpk nipate taarifa za kutosha toka kwake. Na atanipaTatizo watu wanachukulia hii mitandao poa.
Ila experts wakutosha kuzuia vitu kama hivyo.
Ili upewe printouts lazima mahakama ihusike, polisi, dci
Ni ngumu sana kuna urasimu mkubwa sana hadi kupata details za mteja, pamoja na mlolongo wote hawezi kufanya mtu mmoja kwenye taasisi lazima ipite mikononi mwa staffs wengi na hapo ndiyo ugumu unakuja siyo wote watakaotaka kuhatarisha kibarua labda kwa donge nono sana.bado sio rahisi mkuu hata kama kuna mtu unamfahamu..... ni ngumu kuliko tunavowaza...
Tatizo watu wanachukulia hii mitandao poa.
Ila experts wakutosha kuzuia vitu kama hivyo.
Ili upewe printouts lazima mahakama ihusike, polisi, dci
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Utoto mwingine huo, mtu umeamua kuolewa bado unamuwinda mume kama mwanafunzi.Wahenga walisema usimuwekee mtego wa kumfumania kama huna uwezo wa kumuacha.
Kuchunguzana mambo ya simu kwa wapenzi au wanandoa ni ucccchinga na ushamba, kama mtu unaona humuamini si umuache kuliko kuforce maugomvi yasiyo na masingi.
hahahahahaha, nida tu ukifata prosija, ni miaka 7Nimeona watu wanapata passport ya kusafiria siku hiyo hiyo, akapata kitambulisho cha NIDA siku hiyo hiyo, akapata TIN siku hiyo hiyo,akapata leseni ya biashara siku hiyo hiyo na kampuni ikasajiliwa siku hiyo hiyo
Sio rahs , kampuni za simu zinaweza fanya hvyo Kwa command ya vyombo vya dola kuhusu masuala ya kiusalama , kama unabisha print hyo document yako ukawashtaki ndo utajua amekuingiza cha kike .. labda kama ana mtu wake huko lakn bado sio rahsKivipi chifu?
Yaani inachekesha sana.🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Utoto mwingine huo, mtu umeamua kuolewa bado unamuwinda mume kama mwanafunzi.
Bro ni zaidi ya rahisi, ila basi tu huna watu, haya mambo watu wanafanya kila siku, wabongo wengi hawafati Ethics za kazi zaobado sio rahisi mkuu hata kama kuna mtu unamfahamu..... ni ngumu kuliko tunavowaza...
Una uhakika gani kua huyo mkeo hayumo humu JF na hakusomi hapa?Ok. Ila nimemsamehe wife ila nataka niwe na full information za kisheria ili nimtishe tishe kidogo
Ndio hapo sasa mkuu, me nilijiona mjanja niliposaidiwa kupata namba siku hiyo hiyohahahahahaha, nida tu ukifata prosija, ni miaka 7
Hana kazi huyo mwanamke. Tukishaona huo ni mkataba hamna tena kuwindana maana tayari tushafunga pingu. Ndoa na ziheshimiweYaani inachekesha sana.
Ila apewe tu elimu, aache hizo tabia awe busy kuboresha ndoa yake