Mke wangu amepewa taarifa zangu na mtandao wa simu. Kisheria imekaaje?

Kama unajiamini kua wewe ni msafi,sasa wasiwasi wako ni nini?
 
Huyo kaenda kwa Hackers sio mtandao wa simu mzee
 
Yaani mawasiliano yake yamedukuliwa halafu unataka ajinyenyekeze kuongea kiurafiki kama vile yeye ndiye mkosaji?

What if aliyempatia hayo mawasiliano mke wake ni mchepuko wa mke wake? Kwa hiyo ajinyenyekeze ili kumlinda mchepuko wa mke wake?
Hapo swala ni moja tu, kutafuta mwanasheria ampatie hiyo document kwa nia ya kufungua kesi ya kudai fidia.

Wakili wake ndiye ata follow up na mengine yatajulikana mbele ya safari.
 
Akitaka kufanya hivyo basi awe tayari kumpoteza Mkewe coz nae ataunganishwa kwenye hiyo kesi.
 
Hii ni hatari Sana mkuu.

Ushauri wangu, japo najua unampenda Sana mkeo ila shika mkononi hiyo document Kisha mwambie ili usalama uwepo humu ndani akutajie aliem printia zaidi ya hapo asikusemeshe na asikujue kwa chochote hadi amtaje. Baada ya hapo stop kula ndani na usimfanye. Baada ya wiki kama hajamtaja beba begi lako hamia hata kwa mshkaji mwambie utarudi akimtaja

Sometimes onesha uanaume kidogo mkuu. Simama kama baba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…