Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Huu ndo USHAUR wa kiume Sasa,
Hawa vijana barobaro Ni janga Sana kwny mahusiano ya Watu.

Hii ishakua tabia Sasa,
Vijana wanaona sifa kutembea na work za Watu.

Na wakishatembea na mkeo wakikaa uko wanasanifu kwelikweli
wanajikuta wenyewe wanajua kupeleka mbupu kuliko wenye mali zao shenz kabisa.yani ukibahatika kunasa mmoja inabidi akahadithie na wenzie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkewangu kanitumia sms nying sana za kuomba msamaha nimepiga kmya,sauti ya kumtaja alex niliisikia kwa umakini mno ,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee pole faza mimi nilikwambia lazima katiwa siku za karibuni tu...!! Ila ndo uwanaume ila USIRUDIANE NAE KAMWE.
 
Me nadhani ni watu wazima kumbe bado makinda kabisa😃😃😃maisha yaendelee
 
Nasemaje...Mimi ndo Alex na hakuna kitu utafanya ...baada ya kuja tuelewane unauleta uzi wako huku ili kunichoresha endelea[emoji3064]
Kwaiyo Alex unajikuta kidume kutembea na wake za watu eeeh?

Siku zako zinahesabika[emoji4]
 
mkewangu kanitumia sms nying sana za kuomba msamaha nimepiga kmya,sauti ya kumtaja alex niliisikia kwa umakini mno ,
pole sana bro,pigs moyo konde okoa ndoa,mtazame tofauti now mkeo,nn anakosa from u.
 
Ah kkmak Alex Luambano wa Clouds Fm kashamchakata mkeo. Yaan wakati unamtia yeye kamtumia Alex kufika kileleni. Wanawake wanatufanyia sana izi fantasy. Wengne wanawaza kufany orgy anakuw raped au anafny na mwanamke mwenzie. Fantasies znatumika na wanawake kufika mshindo. Kasome "My garden of Roses" ndo utajua.

Hapo itakuw anampend Alex au Alex kashamkuna haswa mkeo
 
Huu ndo USHAUR wa kiume Sasa,
Hawa vijana barobaro Ni janga Sana kwny mahusiano ya Watu.

Hii ishakua tabia Sasa,
Vijana wanaona sifa kutembea na work za Watu.

Na wakishatembea na mkeo wakikaa uko wanasanifu kwelikweli
Sasa ukute , mwanamke ni empty; hapo ndio anatoa hadi siri za ndani.
 
UPDATE

huyu mwanamke leo jion nimeongea nae kwa kina sana ,kwa aibu kubwa amekiri na ametubu kuwa hatorudia .

(nimembananisha maswali ya mitego hadi amekiri kutembea na alex siku 4 kabla ya mimi kurudi)nadhan amekiri kwa kuhofia kuachana

nimekaa kwa muda wa takribani dk 15 nikitafakari juu ya kumsamehe ila nafsi imegoma,

nimemshukuru kwa kuwa mkweli,alex sina shida nae kwakuw hakumbaka,ni makubaliano ya wao wawili,

nimemsamehe ila nimemwambia kesho kutwa aende nyumban kwao au kwa rafik yake mkubwa ntamfuata hapo badae ,amelia sana ila ndo hivyo siwez kuish na msaliti,roho yangu haiwez kukubali

wakuu nimeamua kumpiga chini ila sijamwambia kama ndo tunaachana.

NB,Hajui kama ndo tunaachana

KUCHAPIWA MKE KUNAUMA MNO,alex sitomfanya kitu kwa sbb mke angeweka ngum jamaa angenyoosha mikono kuashiria kushindwa.

siwezi kufos hisia.

nina miaka 24, yeye ana 23.

SIDHANI KAMA NITAOA HIVI KARIBUNI
Umefanya vyema kabisa...

Sasa tulia pambana kujiimarisha uwe bora zaidi ya jana katika nyanja zote..kiuchumi, afya na akili ya mahusiano..

Tafuta pisi kali .. hapa uwe na optiond hata tatu... pisi utakayoizidi atlist 5 + years , anza naye mahusiano naye maybe after 2 yrs ndio ugikilie ndoa baada ya kuona anakidhi
 
Back
Top Bottom