Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
πΉπΉπΉBro we haulagi wake za wenzio, au wenyewe hawatunzi wake zao.Sema huyo/hao muhuni/wahuni nikimpata/nikiwapata,nahakikisha ubongo hana/hawana. Watu tunatumia gharama sana kutunza hizi familia.
Mkuu kama ulimuoa ulikuta sio bikra ujue ulioa malaya na ukweli ni kwamba your dick inside her wasn't the first one, and it won't be the lastSema huyo/hao muhuni/wahuni nikimpata/nikiwapata,nahakikisha ubongo hana/hawana. Watu tunatumia gharama sana kutunza hizi familia.
Na ndio kakujaza upepo saiv hata bao1 hupigiYaani kibaruani nimetoka tangu saa tisa lakin mpaka saiv sijarudi akilk imejaa hofu sana yaani kwamba siku zote hizo alikuwa ananicheki tu
Yani utabaki unawaza kila wakati...ni very embrassing kwakweli..utajiona kama kiberitiKwa mwanaume kuambiwa na mkeo humkojozi, wanawake huwa hawaelewi hili suala ni kama umempiga mtu na kitu kizito kichwani kama tani 7 hivi.
Unadhalilika kwa hali ya juu sana, please msitumie haya maneno kwenye ugomvi.
Piga chini! au uwe mvumilivu kuchapiwa.Habarini?
Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"
"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.
Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.
Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.
Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?
Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.
Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.
Ahsanteni
Bro kwa ufupi tu huyo hana hisia na weweHabarini?
Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"
"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.
Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.
Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.
Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?
Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.
Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.
Ahsanteni
Aisee hzi nguvu zakusema hivyo ametoa wapi?Habarini?
Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"
"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.
Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.
Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.
Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?
Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.
Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.
Ahsanteni
Fikra zako zipo sahihi.Mkuu mambo ni mengi sana unajikuta umechoka na kuhisi umemaliza kila kitu lakini cha kushangaza miaka mitatu yote ndyo aje aniambie leo na ndyo nahisi kuna muhuni tayari
π€£π€£π€£ muumiani mnyonya damu a.k.a dracula πMpaka kagundua humridhishi inamaanisha kapata wa kukulinganisha na wewe.
Shukuru Mungu kakakwambia kweli. Kuna options mbili, kufanya jitihada umridhishe, hii si lazma kwa phyisical kitombo maana hapo ulipofikia ndio majaaliwa yako huna maajabu zaidi, nogesha na vi foreplay nakshi nakshi za kumfyonza na kumnyonya kimahaba sio kama muumiani mnyonya damu.
Option ya pili ni kumruhusu aende kiroho safi ukae ukijua mmeachana, maana huyo kama hafanyi tayari ni swala la muda atafanywa ili aridhike.
Kuna wakati ni heshima zaidi kukubali kushindwa kuliko kung'ang'ania usiyoyaweza kuishia kudhalilishwa.
π π π πWe zombies haujuwi
Basi jitahd umridhishe. Madhali kakwambia ndio anakutaka bado huyo na anataka kuridhishwa na wewe na sio mtu mwengine.Mkuu mambo ni mengi sana unajikuta umechoka na kuhisi umemaliza kila kitu lakini cha kushangaza miaka mitatu yote ndyo aje aniambie leo na ndyo nahisi kuna muhuni tayari
Kama anaona humridhishi mpe ruhusa aende nje akadinywe ila akumbuke kurudi nyumbani mkuuKwa mwanaume kuambiwa na mkeo humkojozi, wanawake huwa hawaelewi hili suala ni kama umempiga mtu na kitu kizito kichwani kama tani 7 hivi.
Unadhalilika kwa hali ya juu sana, please msitumie haya maneno kwenye ugomvi.
Hoja sio kumkojoza kilasiku lalamiko linaonesha ni mwendelezo mwamba hagongeshi nyaya ya umeme kwenye ubongo washemu kila filimbi ipigwapoHii inategemea na yeye analichukuliaje tendo.
Na siamini kama utamkojoza mara zote mtakazokutana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hilo ni dongo la billion 1 na laki 8 tu tajiriii[emoji1787]