Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

Status
Not open for further replies.
Kama mkeo anajamba:
1. Ni aina mpya ya limbwata kua makini.
 
yani me nitoe offer ya kupigwa pasi rafiki bye:crying::crying::crying::crying: bye siwezi vumilia haya
yawezekana so maksudi ana tatizo na tatizo laweza kusababishwa na nguvu za giza mpeleke walokole wamuombee kama ni pepo litatoka atakuwa saw a.
 
yawezekana so maksudi ana tatizo na tatizo laweza kusababishwa na nguvu za giza mpeleke walokole wamuombee kama ni pepo litatoka atakuwa saw a.

me mmwenyewe natoa pepo wabaya na wachafu
 
Ndugu wana MMU,
Nimeishi na mke wangu kwa muda wa miaka 2 na tuna mtoto mmoja. Kwa ufupi tunaelewana sana, tatizo kubwa ni tabia yake ya kujiachia(ushuzi) mbele yangu. Nimejaribu kumweleza kama sifurahishwi na anavyofanya aingie chooni lakini yeye anacheka na kunieleza anapumua.
Sasa nimeongea mpaka nimechoka, nimeamua kuacha tu.
Naomba ushauri wenu, je kujamba mbele ya mpenzi/mume/mke ni kupumua tu? Na je akijamba mgeni akiingia ndani(imewahi tokea) na kukutana na harufu atatuanaje?
Please help


Hahahahah mkuu vitu vingine vinafurahisha sana,,,sasa Jambo kama hili ukiwa kama kiongozi wa familia kwenye nyumba nalo ni la kuomba msaada? Usikute huyo mkeo anakudharau sana,inakuwaje unamwambia jambo upo serious ye anaishia kucheka?
 
Ndugu wana MMU,
Nimeishi na mke wangu kwa muda wa miaka 2 na tuna mtoto mmoja. Kwa ufupi tunaelewana sana, tatizo kubwa ni tabia yake ya kujiachia(ushuzi) mbele yangu. Nimejaribu kumweleza kama sifurahishwi na anavyofanya aingie chooni lakini yeye anacheka na kunieleza anapumua.
Sasa nimeongea mpaka nimechoka, nimeamua kuacha tu.
Naomba ushauri wenu, je kujamba mbele ya mpenzi/mume/mke ni kupumua tu? Na je akijamba mgeni akiingia ndani(imewahi tokea) na kukutana na harufu atatuanaje?
Please help

Kabla ya kuoa ni muhimu watu mkafahamu ethics za ndoa, hilo ni jambo la ndani, sasa umeanika bayana siri ya mkeo, ambayo sisi hautuhusu. Kwa imani yangu, ni dhambi kubwa sana kuweka bayana mambo ya ndani kwa wasiohusika.

Ushauri wa kizushi: Jibu mashambulizi na wewe ili ngoma iwe droo
 
Nitawaelezaje wazee? Niwaambie mke wangu anajamba? Ndio maana nimeileta hapa ambapo hatufahamiani kwa sura.

Ikiwa unashindwa kuwaeleza wazee wako au wake kama karaha zimekuzidi ili waongee nae basi stahamili tu, mwenzio anajuwa una enjoy.
 
Mi sijaoa bado lakini jambo ulilolifanya sio powa hata kidogo. unamshushia heshima mkeo kwanza wameshamtukana sana hapa... "ooo mara azibwe na gunzi" yaani mkeo amekuzalia mtoto unamshitaki kwa kesi ya kujamba.... ukimfumania si ndo utaenda kwa raisi wa nchi..... "i think you are kidding and you are not serious" japo umeoa mi sijaoa ila "when you grow up once more you will step aside with these bullshit you are doing now"....

I'm serious, we nipe tu ushauri, usilaumu wala kufoka bila kujua mambo ya ndoa. N
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom