Mke wangu ananiita honey kwa sauti mbele ya ndugu zangu na Mama mzazi

😂😂😂😂 sawa chief
 
Hahaha umenikumbusha mbli mam angu alikuwa anamuita baba kwa jina lake halisi kbsa Johnn

Mkuu kataza hili jambo mambo ya kizungu hayo
 
Soma hoja yangu sio kuiitwa hilo jina hapana tatizo ni mazingira anao niitia hilo jina, inakua kero, kwamiaka yote ananiita hivo tukia home sina shida nalo ila tukiwa msibani kwa ndgu na jamaa nikama linaleta karaha na chuki kwao.
Ndiyo upendo huo muache tu akuite hamna shida itabidi hao wanaokuzunguka wazoee.
 
Wewe una tatizo kubwa mkuu.Hilo ni jambo la kufurahia na hata kupeleka sadaka ya shukrani kanisani na siyo kunungunika unless kama ulioa mtu usiyempenda.
Mimi nina miaka kama saba kwenye ndoa nafurahia sana wife akiniita atakavyo hata iwe kanisani kwenye umati wa kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…