Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
[emoji12]Acha hivo bwana[emoji20]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji12]Acha hivo bwana[emoji20]
😂😂😂😂 sawa chiefNiite jina lolote kulingana na mazingira tuliopo, kwanini unaniita sweetheart mbele ya ndgu zangu msibani, sio kila mtu anakutakia jema utaumiza wengi, tukiwa nyumbani kaniite lolote unalo taka, Sie wa Africa tuna utamaduni hatuonyeshe mahabah hadharani kabisa, mimi binafsi lina ni kera sanaaa
inakuwaje sasa wanapokwazikwa kwasababu ya ya mahaba yetu?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ila mkuu hao majilani tunawategemea kwa mambo mengi, sio vizuri kuwaudhi.
Bina adamu ni tatizo, utaona chuki zao pale mtakapo pata mgogoro na huyu mkeo, ndo utajua ragi halisi za mwana Adamuinakuwaje sasa wanapokwazikwa kwasababu ya ya mahaba yetu?
...muwe mnatuita panyaaaa... panya panyaaaaaaWanaume naomba jibu, je mungependa tuwaite jina gani la kimahaba, au linalokutofautisha na wanaume wengine ukiachana baba fulani?
...mwamba anaekwa kwny kilengeo uyo wew! akishajaa tu, nxt ataleta uzi mwngne tena umu .... hii movie ni true storyUsimkataze ww usikii raha kuona mkeo anavyokujali
Kwanini panya tena mkuu...muwe mnatuita panyaaaa... panya panyaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hili unataka wana JF wakushauri?? Nini kazi ya hilo boga juu ya shingo??[emoji848]
Hahaha umenikumbusha mbli mam angu alikuwa anamuita baba kwa jina lake halisi kbsa JohnnHuu ni mwaka wa 10 nikiwa na mke wangu na tuna watoto watatu, tunaitana Dear miaka yote tangu tukiwa wapenzi mpaka sasa, iwe mbele ya ndugu zangu au ndugu zake hata wazazi na sijawahi kuhisi vibaya naona poa tu hata watoto wetu wamezoea, sijawahi kumuita mama flani au kuitwa baba flani au hata kuitana majina.
Sasa sijui kwako shida inatoka wapi?
Sawa kabisa mkuu, Mimi mtoto wangu wa kiume nikisikia anamwita mama yake mamiiii ile ya kuvuta nakasirika kinoma. Mkishakuwa na watoto itaneni baba au mama Fulani inatosha.Mwambie akuite Mume wangu inatosha
Hayo majina Arusha wanayapenda sana. Utasikia babaaake umerudi? [emoji23][emoji23][emoji23]Mi alikuaga ananiita 'baby'.....nikafanya ujinga kama wako siku hizi ananiita 'babaake'
Naniiiiiii budah Extrovert [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mie niiteni budah tu inatosha
Ndiyo upendo huo muache tu akuite hamna shida itabidi hao wanaokuzunguka wazoee.Soma hoja yangu sio kuiitwa hilo jina hapana tatizo ni mazingira anao niitia hilo jina, inakua kero, kwamiaka yote ananiita hivo tukia home sina shida nalo ila tukiwa msibani kwa ndgu na jamaa nikama linaleta karaha na chuki kwao.
Eeh sio swala😅 yaniAccording to Extrovert
buddah=honey³⁴
Mambo vipi honeyEeh sio swala[emoji28] yani