Mke wangu ananipiga vijembe WhatsApp

Huyu alichukua hatua ya kurudisha kwao.
Sasa ana mpango wa kumrudisha sasa kwa kinachotokea ndio ansomba ushauri
 
Wewe siyo MWANAUME...wewe ni wa kiume tu
 
Habari wenzangu.

Jamani ukweli nimebaini mke wangu anamatumizi mabaya ya simu, nilikutana sms yeye anasema ni rafiki yake ila mie sikuipenda kwa hio nikakosana
Kama vile kuna mawili hapa nayaona, mkeo ni limbukeni wa kutupwa au kuna "kazi" ya nje ameipata
 
Hakuna ndoa hapo Mkuu, fanya yako.
Wote ni watoto, yaani mkikwaruzana tu unakimbilia kwenu kukaa mwezi? Hahaha kuna namba au ukute mleta mada hajui "kulima" vizuri...
 

Mpwa wewe ni tatizo
 
Mpwa yaani wewe ni binge la msanii, sidhani kama hata hio ndoa unayo....

 
Weee mpe SHAMBA akalimie hivyo vijembe vyake
Muongo huyu

 
Habari wenzangu.

Jamani ukweli nimebaini mke wangu anamatumizi mabaya ya simu, nilikutana sms yeye anasema ni rafiki yake ila mie sikuipenda kwa hio nikakosana naye akaenda kwao nami nikabaki kwangu
We nawe utakua kijana na mbea mbea, mmekutana pipa na mfuniko.
 
Maliza kukarabati nyumba yako. Oa mwanamke mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…