Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Ili umuoe wewe??.Si muachane tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili umuoe wewe??.Si muachane tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe umeuma maneno inawezekana amekufuma na michepuko au umezaa nje ya ndoa.
Unalo hilo babu!
Asome hapo
Ukigombana na Mkeo, akaenda kwao; USIENDE wala Usimtafute
MKIGOMBANA NA MKEO, AKAENDA KWAO, USIMFUATE WALA USIMTAFUTE Anaandika Robert Heriel. Leo sina mengi ya kusema ndugu yenu. Nimefanya uchunguzi Kama mnavyonifahamu. Nikisemacho ni kweli tupu. Wala sisemi haya Kwa maslahi yangu, au ya mtu yeyote Yule. Nazungumza mambo ambayo ni kweli kabisa. Na...www.jamiiforums.com
Akili Bado ni teketeke, subiri afike 35Kwa sasa yuko na miaka 25
kwanza ndio mke huyu huyu mwenye mkasa huuu nilienda kwao katika ugonvi huu nikajishusha basi akarudi tukaishi na akaondoka tena mapema mwezi wa saba kwa kosa hilo la kimtandao
OpenpmIla wewe 😂😂😂
[emoji38][emoji38]unaharibu mkuu, mrushie tauloNa vipi huyu jini ulishaachana naye?
Penzi la jini linaifanya ndoa yangu kuyumba
Habari wakuu. Niko na mikasa mingi ambayo inanichanganya kichwa. Mnamo mwaka 2015 ilitokezea siku moja Mke wangu wakati wa mechi ghafla alibadilika alinipa shooo ya ajabu ambayo sikuipata toka nilipomuowa zowezi hili lilikua kama kwa muda wa week 1 mfululizo niliinjoi sana licha ya kua na...www.jamiiforums.com
Kwa staili hii ya changu ,chake,vyangu,vyake...kila mmoja aendelee na yake tuVyombo nimenunua mimi ila ni mahari yake kwa hio kidini mie sio vya kwangu ni vyake
Hii mambo huwa inafatilia sana...ikianza kwa wazazi tu na kwa watoto kuna uwezekano mkubwa tu kutokeamblock watsup kwa muda then kaa kimya..
akichoka kukaa kwao atakutafta
usijichoshe,
kama mamake na babke walishatengana basi huyo nae atakusumbua tu
Anatafuta point kwa kina dada wa humu, soma comments zake zote utajua. Hadi anachokitetea ni nonsense kabisa, mtu mwenye akili zake hawezi kukingia kifuaKwani wanawake wakichepuka huchepuka na wanawake wenzao au sijaelewa?
Hivi una ushawahi kuugua ugonjwa wa akili? Au unatafuta attention za wadada humu, wakuone mtu wa maana. Hicho ulichoandika hata akikiona mzazi wako atajuta kuzaa mtu kama wewe, ni pumba uliyoiremba kwa rangi za kekiWengine wanatumika sana nje Kwa michepuko wakirudi ndani kwa wake zao nguvu hawana huenda michepuko inawaroga !
Mwanaume anapochepuka anamu- expose mkewe kwenye risk kubwa sana.
Ikibidi ni afadhali mwanamke achepuke uafadhali ni Mkubwa kuliko akichepuka Mwanaume ni hatari kwa ustawi wa ndoa na familia kwa ujumla.
Kwa fedha nyingi za familia zinaenda kupotea kwa michepuko (Cash outflow) wakati akichepuka mwanamke inakuwa kinyume chake kwenye ndoa mwanamke analeta cash inflows ambapo eventually inakuwa Na manufaa kwa familia nzima.
Kuchepuka kwa Mwanaume kuna muuma mke wa ndoa sio tu sababu ya wivu wa kimapenzi lakini pia na upotevu wa rasilimali fedha za familia na associated risks kama vile kurogwa n.k
Actually ingekuwa si dhambi ningewa - encourage ladies kuchepuka zaidi maana uwezekano wa kuleta cash inflows kwenye familia ni mkubwa na kuliko akichepuka mwanaume kwenye ndoa hasara tupu ukiachilia mbali kurogwa.
Mchepuko Mwanaume ni nadra sana kutokea kumroga mchepuko wake wa kike sababu motives za kufanya hivyo hazipo.
😂😂😂Kwani huyu mke wako si mlishaachana mkuu?
Kwanini unaniacha wakati nakuhitaji?
Habari Waungwana Najuwa wapo watakaonibeza na kunidharau ila haya yalionikuta usiombe yakufike yasikie tuu kwa mwenzako maana mzigo wa mwenzako ni polo la usufi. Naamini hakuna mahusiano ambayo hayana Changamoto ila mengine Kiboko siku ya 30/12/2020 nimeachwa na mke wangu bila ya sababu ya...www.jamiiforums.com
Nakumiss sana Miss IQ...[emoji38][emoji38]unaharibu mkuu, mrushie taulo
Hivi una ushawahi kuugua ugonjwa wa akili? Au unatafuta attention za wadada humu, wakuone mtu wa maana. Hicho ulichoandika hata akikiona mzazi wako atajuta kuzaa mtu kama wewe, ni pumba uliyoiremba kwa rangi za keki
Huyo siyo mke.....ni mwanamke. Tia akiliHabari wenzangu.
Jamani ukweli nimebaini mke wangu anamatumizi mabaya ya simu, nilikutana sms yeye anasema ni rafiki yake ila mie sikuipenda kwa hio nikakosana naye akaenda kwao nami nikabaki kwangu sasa ni zaidi ya miezi 4 basi vikao vikawekwa akakubali kurudi ila naona amekua mkali ukisema kitu anakijia juu na maneno maneno ya shombo kibao.
Sasa juzi nilikua nakarabati nyumba yetu wakati yeye yuko kwao basi nikawa napiga plasta na rangi baadhi ya vyombo vikarukiwa na tope na rangi alikuja kuchukua kitu akaona kua imekua hivyo katukana huyo kwa kusema nimemfujia vyombo vyake akatukana sana na kukata simu.
Leo ni siku kama ya 6 hatujawasiliana mimi sijampigia na yeye hajapiga ila huko whatssap huko vijembe kibao yeye ni mzuri mie sijui kukea namjibu jeuri mambo kibao.
Sasa naona kwa kosa hilo tunafikiana huko jee akirudi tukikosana si atanimalizia maneno huyu.
Habari wenzangu.
Jamani ukweli nimebaini mke wangu anamatumizi mabaya ya simu, nilikutana sms yeye anasema ni rafiki yake ila mie sikuipenda kwa hio nikakosana naye akaenda kwao nami nikabaki kwangu sasa ni zaidi ya miezi 4 basi vikao vikawekwa akakubali kurudi ila naona amekua mkali ukisema kitu anakijia juu na maneno maneno ya shombo kibao.
Sasa juzi nilikua nakarabati nyumba yetu wakati yeye yuko kwao basi nikawa napiga plasta na rangi baadhi ya vyombo vikarukiwa na tope na rangi alikuja kuchukua kitu akaona kua imekua hivyo katukana huyo kwa kusema nimemfujia vyombo vyake akatukana sana na kukata simu.
Leo ni siku kama ya 6 hatujawasiliana mimi sijampigia na yeye hajapiga ila huko whatssap huko vijembe kibao yeye ni mzuri mie sijui kukea namjibu jeuri mambo kibao.
Sasa naona kwa kosa hilo tunafikiana huko jee akirudi tukikosana si atanimalizia maneno huyu.