Mke wangu anatazama Cartoon kuliko Watoto wetu

Mke wangu anatazama Cartoon kuliko Watoto wetu

Hivi karibuni baada ya kuwa nasoma sana mada za JF, nimeanza kuhisi kuwa uwezo wa watu kiakili kadiri siku zinavyoenda unapungua...

Sasa ukitafakari malalamiko ya mleta uzi, huoni kabisa mantiki ya kulalamika kwake...

Wabongo hebu tutumie muda kutafakari mambo kwa kina kidogo kabla ya kuwa na hitimisho la fikra zetu...

Sasa ukitafakari malalamiko ya mleta uzi, huoni kabisa mantiki ya kulalamika kwake...
• Asante sana mkuu kwa kutoa kero yako, mimi huu uzi siyo wa kwanza kuutoa,
• Pili hii maada haipo kwenye jukwa la intelligence, haipo kwenye jukwa la makazi, wala haipo kwenye jukwa la siasa., Hii maada ipo kwenye:-
👇👇
jukwa la Mahusiano, mapenzi na uchumba

Kwa mawazo yako unahisi masuala ya uchumba, masuala ya mapenzi yana umuhimu wotote?
 
Upo kama mimi sasa mimi nimeambukiza wote kupenda katuni ninapenda animation mno hakuna animation inayotoka nisiwe nayo, kwenye hizi movie studio napochukua wamenipa na jina la Mzee wa animation nikionekana tu wanajua nilichofata nina hard disk kama tatu zimejaa animation tupu maana ulevi huu umeanza tangu zamani nilipofika chuo nikaanza kuzitunza kwenye disk huwa sifuti kabisa,kiufupi animation movies ndo movies namba moja nazozipenda,

kiufupi animation movies ndo movies namba moja nazozipenda

Tumetofautiana sana mkuu, 🤔, kuangalia cartoon ni bora nizime TV, niendelee na mambo mengine.
 
Hata naelewa mkuu, huwa naona wakisimuliana na watoto wetu, nabaki nawatizama tu.
Nadhani watakuwa wanaangalia family cartoons (which is good unabahati umepata mzazi na sio partner pekee) sababu Hawawezi kuwa wanaangalia family guy hivi unamjua family guy lead actor hebu muangalie tu....
1703867614853.png

hata pua yake na mdomo tu huyo main character muangalie......; Moral of the Stories sio Cartoon zote ni za Watoto hence kuna Cartoon za Wakubwa Pia hata Simpson kuna story zipo complicated zinahitaji akili kuzielewa kuliko movies enzi za kina Rambo, Ninjas na Kina Commando John....

Its the Script / Story which makes the difference from amateurish to the brilliance, by the way kumchekesha mtu kila sekunde (kama Tom and Jerry) it takes more creativity than building a story to the the punchline at the end of theline
 
Huyo mkeo naona umemchoka unamtafutia sababu!! Kila siku uzi mpya wa malalamiko. Hizi ndio shida za ndoa za utotoni.
 
Nadhani watakuwa wanaangalia family cartoons (which is good unabahati umepata mzazi na sio partner pekee) sababu Hawawezi kuwa wanaangalia family guy hivi unamjua family guy lead actor hebu muangalie tu....
View attachment 2856792
hata pua yake na mdomo tu huyo main character muangalie......; Moral of the Stories sio Cartoon zote ni za Watoto hence kuna Cartoon za Wakubwa Pia hata Simpson kuna story zipo complicated zinahitaji akili kuzielewa kuliko movies enzi za kina Rambo, Ninjas na Kina Commando John....

Its the Script / Story which makes the difference from amateurish to the brilliance, by the way kumchekesha mtu kila sekunde (kama Tom and Jerry) it takes more creativity than building a story to the the punchline at the end of theline
Hapo Nimekusoma mkuu,, maana nilikua sijui kama cartoons zipo za aina tofauti tofauti
 
Sioni kama kuna shida hapo. Mi mwenyewe huwa naimba na wanangu nkiamua naweka nyimbo zao tunaimba na kucheza kiroho safi.Ilimradi anatekeleza majukumu yake kama kawaida hamna shida. Japo mara chache ndio huwa naangalia nao.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Huyu mkeo naona umemchoka unamtafutia sababu!! Kila siku uzi mpya wa malalamiko. Hizi ndio shida za ndoa za utotoni.
• Hizo maada mbili zipo na ujumbe mzuri tu,
1. Kuna ya vibonge nimewakumbusha, tayari wapo mazoezini., wanapunguza unene. ✍️✍️

2. Kuna baadhi ya watu wenye familia zao, huwa hawapati mda wa kuchunguza watoto wao hasa aina ya cartoons wanazo angalia, kama ni zuri ama siyo zuri. Nao pia nimewakumbusha kupitia Thread hizi. ✍️✍️.
 
Sa hivi hapa naangalia Kids baking championship. Nna mmoja anapenda sana mambo ya upishi. Ilimradi cartoon anazoangalia zina maudhui mazuri hamna shida.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Sioni kama kuna shida hapo. Mi mwenyewe huwa naimba na wanangu nkiamua naweka nyimbo zao tunaimba na kucheza kiroho safi.Ilimradi anatekeleza majukumu yake kama kawaida hamna shida. Japo mara chache ndio huwa naangalia nao.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Mi mwenyewe huwa naimba na wanangu nkiamua naweka nyimbo zao tunaimba na kucheza kiroho safi.
Asante sana mkuu, Hapo Nimekusoma vizuri sana,


Japo mara chache ndio huwa naangalia nao
Hilo ndo ilikuwa swali langu mkuu, but umeelewesha vizuri ✍️✍️✍️
 
Watu wengi hawapendi katuni kwa sababu hawana akili au patience ya kuweza kuzielewa. Ndiyo maana kirikuu waliyoielewa ilipendwa hata na watu wazima.
 
Mimi nafikiri wewe ndio una tatizo maana kwenye maelezo yako hakuna tatizo lolote kwa mkeo! Mke wako anafanya wanachofanya Walimu wakiwa na watoto wetu mashuleni hucheza nao,huimba nao na kama siku ukibahatika kwenda ukakuta wanafundishwa na Walimu unaweza ukafikiri wote ni watoto…
Kama hii ni habari ya kweli basi mkeo ni mmoja ya wanawake bora kabisa ambao kila mwanaume angependa kuwa nae!
Mke wako anafanya kitu ambacho hata wewe ulipaswa kukifanya kwa watoto wako…kuwa mzazi hakuishii kwenye kutoa hela tuu…Ungepata wasaha ungewauliza wanao wanajisikiaje wakicheza au kuangalia katuni na Mama yao..? Majibu yao yanaweza kukufanya ukaanza na wewe kuangalia nao katuni au kucheza nao ukipata muda!

NB:Maoni yangu yabaki kama yalivyo kama hii story ni ya kweli….
Ashukuru Mungu sana. Wengine wake zao wanapenda TikTok tena story za zai kijiwe nongwa, qu wanapenda kufanya shopping akiwa Hana hela anaenda tu kwenye maduka kufanya window shopping. Then anakutumia picha Whatsapp kuwa ameona duka fulani limeleta mzigo mpya
Ashukuru Mungu
 
Upo kama mimi sasa mimi nimeambukiza wote kupenda katuni ninapenda animation mno hakuna animation inayotoka nisiwe nayo, kwenye hizi movie studio napochukua wamenipa na jina la Mzee wa animation nikionekana tu wanajua nilichofata nina hard disk kama tatu zimejaa animation tupu maana ulevi huu umeanza tangu zamani nilipofika chuo nikaanza kuzitunza kwenye disk huwa sifuti kabisa,kiufupi animation movies ndo movies namba moja nazozipenda,
Duuh..mpka avatar inasadifu.✌️😂😂
 
Back
Top Bottom