Mke wangu ataja jina la mwanaume mwingine wakati wa tendo la ndoa

Kuchapiwa Siri ya ndani Mzee wangu unakwama wapi? Ulianza kuchapiwa kabla haujamuoa kwani ulimkuta bikra?
 
Cheka sana ila omba yasikukute.ukiwa na roho nyepesi unaweza ua halafu.....
Mkuu sio kwamba nimecheka kupenda ila nacheka kwa sababu, Yaani ndo mara ya kwanza nasikia Mwanaume anadangnywa kirahisi..

Nimezoea kuona tukiwadanyanya wanawake hata kwa vitu vya wazi ila sikuwahi kufikiri kama ipo siku ntakuta mwanaume anadangaywa
 
Mkuu sio kwamba nimecheka kupenda ila nacheka kwa sababu, Yaani ndo mara ya kwanza nasikia Mwanaume anadangnywa kirahisi..

Nimezoea kuona tukiwadanyanya wanawake hata kwa vitu vya wazi ila sikuwahi kufikiri kama ipo siku ntakuta mwanaume anadangaywa
Tunadanganywa kila siku mkuu, ukichunguza sana unatafuta balaa wewe Kula nawa endelea na issue zingne
 
sasa mkeo uko nae,kwanini usiongee nae yeye tu,unaleta hapa? unadhani jibu lipo hapa? je umesahau kiapo cha ndoa yenu?
 
Aisee, ushachapiwa ndugu yangu. Distance inaleta shida kwenye ndoa, fanya hima mkae pamoja.
 
Kwa sasa tulieni tu na mridhike na hali ya dunia inavyokwenda....asilimia kubwa sana ya wake za watu kwa sasa wameona ni kawaida kutoka nje ya ndoa.Chukulieni hili kama ni dhaifu kama madhaifu mengine la sivyo hamtoacha kuchinjana
Ukweli mchungu, lakini lazima tuukubali tu jinsi ulivyo.
Kumchunguza sana mkeo kwa sasa ni kujitafutia presha na stress zisizo na sababu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…