igwee frm anambra
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 957
- 1,496
Tumefunga ndoa 2019 kwa sasa tunaishi mikoa tofauti sababu za kikazi juzi nimepata nafasi ya kuwatembelea mkoa aliopo nimeshiriki nae vizuri tu toka juzi.
Jana usiku wakati wa kushiriki wakati naoeleka moto si akaropoka jina la mwanaume mwingine! Daah alinikata stimu hadi nikashindwa kuendelea.
Hapa naona kabisa nachapiwa ila anakataa kuwa hajataja jina lolote zaidi ya kifupi cha jina langu.
we numbisa weweMaskini ushachapiwa mkuu
Tatizo la msingi ni hili hapa Mkuu.. Hata usijisumbue na Hilo jina.."Tumefunga ndoa 2019 kwa sasa tunaishi mikoa tofauti sababu za kikazi".
.
Hebu tujibu kwanza hili, wewe vp unachapa nje? isije ikawa unamlaumu mwenzako wakati na wewe unafanya vivo hivyo!Tumefunga ndoa 2019 kwa sasa tunaishi mikoa tofauti sababu za kikazi juzi nimepata nafasi ya kuwatembelea mkoa aliopo nimeshiriki nae vizuri tu toka juzi.
Jana usiku wakati wa kushiriki wakati naoeleka moto si akaropoka jina la mwanaume mwingine! Daah alinikata stimu hadi nikashindwa kuendelea.
Hapa naona kabisa nachapiwa ila anakataa kuwa hajataja jina lolote zaidi ya kifupi cha jina langu.
Mambo ni bambam😀Kazi kweli. Kuna majirani zangu kama wa 3 wake zao wanachepuka. Yaani siku hizi mambo tafrani
Mzuka ulikata.kitu kika shrink
Ni kama nimekusoma hivi ?? Maana kuna mke wa mtu anatafikia hadi kudanganya ili apate nafasi ya kutokaKwa sasa tulieni tu na mridhike na hali ya dunia inavyokwenda....asilimia kubwa sana ya wake za watu kwa sasa wameona ni kawaida kutoka nje ya ndoa.Chukulieni hili kama ni dhaifu kama madhaifu mengine la sivyo hamtoacha kuchinjana
Ametaja jina gani mkuuTumefunga ndoa 2019 kwa sasa tunaishi mikoa tofauti sababu za kikazi juzi nimepata nafasi ya kuwatembelea mkoa aliopo nimeshiriki nae vizuri tu toka juzi.
Jana usiku wakati wa kushiriki wakati naoeleka moto si akaropoka jina la mwanaume mwingine! Daah alinikata stimu hadi nikashindwa kuendelea.
Hapa naona kabisa nachapiwa ila anakataa kuwa hajataja jina lolote zaidi ya kifupi cha jina langu.