cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Msimamo wangu na ninachoamini why ukiite ubinafsi don't personalize my standing in this issue na ku ita eti roho mbaya, kwanza roho mbaya inategemea mtu unavoamini Kwa Dunia ya ubepari hamnaga kitu Cha roho mbaya ukiwa hata maskini tu lazima uwe exploited, so msimamo wangu usihusishe na roho mbaya Kwa hichi ninachoamini maana ka matendo mema natenda mengi tu na haihusiani na ninachosimamia so don't quote mi wrong in this threads sio wewe tu na single father mnaoza hovyo watoto na kutaka wengine wabebe misalaba yenu.That's why nmekwambia i was #disgusting# little creature,, AND ALINIPENDA NA SIO KUNICHUKIA
I was a lost soul HAKUWA MBINAFSI KAMA WW HE DID COME FOR ME haikuwa sababu ya yy kunichukia kama ideology yako ilivyo
Sijablame maybe umesoma vibaya but morally your ideology are doomed
Sent using Jamii Forums mobile app
Maandiko yenyewe yaandika kila mtu atabeba msalaba wake Sasa why ubebe yasiyo kuhusu hizi mentality zenu ndio zinazofanya watoto wateseke wengine machokoraa tuwe responsible na actions zetu ukipanda mahindi usitegee kuvuna njegere never, wewe mwenyewe tu hapo kukosa malezi ya wazazi halisi ukawa chokoraa na jela ukaenda vizuri ka sio waliotuzaa walizembea nini?