Mke wangu hanipi haki ya tendo la ndoa, kila siku amechoka

Mke wangu hanipi haki ya tendo la ndoa, kila siku amechoka

Mkuu Inaonekana Show Zako Zote Unapigia Kiwanja Cha Nyumbani Hapo Hapo.

Mahusiano Ni Art Jitahidi Kuwa Mbunifu Ili Kuleta Chachu Na Madaha Kwenye Mahusiano. Mfano Pata Mapumziko(Vacation) Tembea Kama Advanture Kubadiri Mazingira Mapya.

Ubunifu Ni Muhimu Sana Jitahidi Kwenye Hilo Mkuu.
 
Mkuu jitahidi uwe unamtoa out kwenye maeneo ya kuvutia sometimes mnalala huko huko uone kama atakataa kukupa maana mazingira tuu yanahamasisha, nyumbani kachokaa kashapazoea..hii kama una uwezo


Isipo fanya kazi mvumilie tuu hivyo hivyo mpaka kifo kiwatenganishe
 
Nimewahi kuwa na mwanamke wa namna hiyo

Niliishi naye vizuri miaka 6 hivi ya mwanzo baadaye akaanza ujinga huo mara leo sijisikii, mara naumwa, mara anachelewa sana kuingia kitandani yupo bize sebuleni anaangalia TV

Niliishi naye kwa shida hivyo karibu miaka mitatu hivi lakini nilichukua uamuzi mgumu nikampiga chini tukatengana

Alikuwa akijitapa kwamba sina uwezo wa kumuacha na sina uwezo wa kuoa mwingine

Hata mimi sikuwahi kufikiri kama ningeweza kumuacha

Lakini hatimaye tuliachana

Nikaoa mwingine

Huu mwaka wa nne Sasa huyu mpya ananipa tendo la ndoa hadi kero, yaani nisipokuwa makini anaweza kunipa karibu kila siku siku zingine hata mara 2 au 3 kwa Siku

Kuna wakati huwa nampa nauli namwambia aende kwa ndugu kusalimia akae huko japo wiki 1 au 2 ili nipumzike kutom-ba maana ni shida

Mpaka Leo huwa najiuliza kwanini nilichelewa vile kuachana na yule chizi? Kwanini nilikuwa naogopa kuoa mara ya pili? Kwanini nilitumia muda wangu kuteseka kisa mapenzi?

Mwanamke akishakuzoea na akaona ni sawa tu kutokukupa uchi huyo ni wa kuachana naye haraka
 
Hakuna suluhisho lingine hapo zaidi ya kumuacha na kuoa mwingine

Pia unatakiwa uchukue uamuzi mgumu, ila ukibaki kulia lia na kutafuta huruma hutakaa upate suluhisho la tatizo lako

Huyo ameshakuzoea na hawezi kubadilika kamwe

Usisubiri mjomba au shangazi aje amshauri, ni kuachana naye haraka na kuoa mwingine haraka
Asante sana mkuu kwa ushauri. Ama kweli mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake.
 
Nimewahi kuwa na mwanamke wa namna hiyo

Niliishi naye vizuri miaka 6 hivi ya mwanzo baadaye akaanza ujinga huo mara leo sijisikii, mara naumwa, mara anachelewa sana kuingia kitandani yupo bize sebuleni anaangalia TV

Niliishi naye kwa shida hivyo karibu miaka mitatu hivi lakini nilichukua uamuzi mgumu nikampiga chini tukatengana

Alikuwa akijitapa kwamba sina uwezo wa kumuacha na sina uwezo wa kuoa mwingine

Hata mimi sikuwahi kufikiri kama ningeweza kumuacha

Lakini hatimaye tuliachana

Nikaoa mwingine

Huu mwaka wa nne Sasa huyu mpya ananipa tendo la ndoa hadi kero, yaani nisipokuwa makini anaweza kunipa karibu kila siku siku zingine hata mara 2 au 3 kwa Siku

Kuna wakati huwa nampa nauli namwambia aende kwa ndugu kusalimia akae huko japo wiki 1 au 2 ili nipumzike kutom-ba maana ni shida

Mpaka Leo huwa najiuliza kwanini nilichelewa vile kuachana na yule chizi? Kwanini nilikuwa naogopa kuoa mara ya pili? Kwanini nilitumia muda wangu kuteseka kisa mapenzi?

Mwanamke akishakuzoea na akaona ni sawa tu kutokukupa uchi huyo ni wa kuachana naye haraka
Kumbe hiyo ndo dawa, safi sana.
 
Ongeza Mke wa pili.

images.jpeg


KaziKwelikweli/JobTruTrue
 
Mkuu Inaonekana Show Zako Zote Unapigia Kiwanja Cha Nyumbani Hapo Hapo.

Mahusiano Ni Art Jitahidi Kuwa Mbunifu Ili Kuleta Chachu Na Madaha Kwenye Mahusiano. Mfano Pata Mapumziko(Vacation) Tembea Kama Advanture Kubadiri Mazingira Mapya.

Ubunifu Ni Muhimu Sana Jitahidi Kwenye Hilo Mkuu.
Vacation najitahidi sana kiukweli, hata Dec kuna siku kadhaa tulienda vacation. Sasa itakua mnaenda vacation kila mkitaka kupiga game au kila siku? Hiyo haiwezekani.
 
Hilo swala rahisi tu wala usishirikishe wazazi,
Tafuta mchepuko wako mzuri uwe ukitoka mishe unapitia unarudi home saa sita
Ni ujinga kufanya hivyo na wengi hudhani hilo ni suluhisho

1. Utaingia kwenye matumizi mabaya ya muda na afya yako. Badala ya kulala mapema ili kujenga afya na kuwa na uwezo mzuri kufanya kazi kesho wewe upo mitaani mpaka saa sita usiku kama popo Kisa mwanamke mmoja mpumbavu, matokeo yake asubuhi unachelewa kuamka na kazi zako zitakuwa hazina ubora

2. Usiishi nyumba 1 na mtu ambaye hamuelewani kwa muda mrefu. Utakuwa unalimbikiza hasira na kuna siku unaweza kuamua kuua tu mwisho utaishia gerezani, kama mtu hamuelewani mwambie aende kwao haraka

3. Utamjengea kiburi akidhani unamuogopa na umekufa kwake
 
Mimi ni mwanaume nimeoa, ndoa ina miaka mitano sasa. Mke wangu amebadilika sana, amekua ni mtu wa kila siku usiku yeye analalamika tu amechoka, na akiingia kitandani ni skeunde 10 tu amelala. Kuna kipindi nikawa nalazimishia, ikawa kama nambaka, anatanua tu miguu nafanya yangu, hadi namaliza.

Hii tabia inanikera sana, ila yeye haoni kama ni kero. Hii hali imeanza kwa muda wa miaka mitatu sasa, kabla ya ndoa wakati wa uchumba hakua na tabia hii, labda kwa vile alikua anakuja tu sleep overs za weekend chache chache.

Imekua ni shida kubwa sana kwenye ndoa yetu, tunagombana mara nyingi sababu ya hili, ila yeye anajiona hana makosa, analalamika tu kuwa napenda sana ngono, nataka ngono kila siku kama chakula. Yaani saa zingine usiku huwa namuangalia akiwa amelala kitandani, natamani nimchape mangumi, au hata nimfunike na mto afie mbali huko!!

Kuna kipindi niliamua kama kumpa adhabu nione kama anajielewa, sikumgusa karibu mwezi mzima, naingia zangu tu kitandani nalala bila kumgusa wala kumsumbua.

Cha ajabu, hata hakushtuka na kuona hiyo ni hali ya hatari, mwezi mzima tulilala bila kufanya chochote na bila hata yeye kushtuka wala kusema chochote. Mimi sio mtu wa kuchepuka kabisa kiasili, ni mtu wa kukaa na mwanamke mmoja.

Sasa kwa hatua iliyofikia, ninachopanga kichwani kwangu atakuja kushtuka wakati ameshachelewa sana, namtafutia dawa yake, atakuja kujuta. Wanawake acheni huu ujinga, mnavunja ndoa zenu kwa mikono yenu wenyewe.
Je ulimkuta bikira? Atakuwa hana hisia na wewe. Na anatombwa nje.
 
Back
Top Bottom