akajasembamba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 1,179
- 1,794
Itakuwa ana wateja wengi wa ngono anawahudumia, maana siku hizi wake za watu wengi wanajiuza na anataka hadi mumewe amuuzie tendo la ndoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo sasa unafikiria kiume hayo mambo ya kuwaza kulipiga kuua umehamishia kwenye kutafuta solution ya hilo tatizoNimeshapata suluhisho kichwani, ni kulifanyia kazi tu.
Nikishapata kitulizo (mchepuko), hasira hazitakwepo mkuu, nitakua narudi nyumbani mwepesiiii, nimejichokea zangu, saa sita-saba usiku, yeye muda huo kwanza anakoroma!Watu wanachukulia poa sana mambo ya mhimu kama haya
In a blink of an eye unaweza kujikuta gerezani kiutani utani tu
Sijawahi pata ushahidi wa kunifanya nihisi hilo mkuu, pamoja na kufanya uchunguzi wangu. Pia huyu mwanamke mimi ndo niliembikiri.Itakuwa ana wateja wengi wa ngono anawahudumia, maana siku hizi wake za watu wengi wanajiuza na anataka hadi mumewe amuuzie tendo la ndoa.
Nikishapata kitulizo sitakua na huo muda, usiku itakua ni kulala tuu, sio kuwaza ujinga.hapo sasa unafikiria kiume hayo mambo ya kuwaza kulipiga kuua umehamishia kwenye kutafuta solution ya hilo tatizo
Hongera
Huo ni uamuzi wa kitotoNikishapata kitulizo (mchepuko), hasira hazitakwepo mkuu, nitakua narudi nyumbani mwepesiiii, nimejichokea zangu, saa sita-saba usiku, yeye muda huo kwanza anakoroma!
Duuuuhhhh!!Huo ni uamuzi wa kitoto
Ni simple fix lakini siyo suluhisho la kudumu
Hiyo saa tano usiku upo mtaani na mchepuko usikie mkeo yupo na mchepuko nyumbani kwenu ndiyo utajua hujuwi
Acha kujifarijiSijawahi pata ushahidi wa kunifanya nihisi hilo mkuu, pamoja na kufanya uchunguzi wangu. Pia huyu mwanamke mimi ndo niliembikiri.
Mkuu kuna wanawake wengine hawajafunzwa na hawajui mwanaume hisia zake zipo vipi, Mimi nimeachana na mpenzi wangu, anatabia kama ya huyu mke wa jamaa, yeye hataki kabisa kunipa tendo yeye anataka tu niwe nampa pesa tu na tutoke out na ukimgusia maswala ya sexy hataki, alikuwa ana nipa sexy kwa mwaka mara moja na akipenda yeye.Nimewahi kuwa na mwanamke wa namna hiyo
Niliishi naye vizuri miaka 6 hivi ya mwanzo baadaye akaanza ujinga huo mara leo sijisikii, mara naumwa, mara anachelewa sana kuingia kitandani yupo bize sebuleni anaangalia TV
Niliishi naye kwa shida hivyo karibu miaka mitatu hivi lakini nilichukua uamuzi mgumu nikampiga chini tukatengana
Alikuwa akijitapa kwamba sina uwezo wa kumuacha na sina uwezo wa kuoa mwingine
Hata mimi sikuwahi kufikiri kama ningeweza kumuacha
Lakini hatimaye tuliachana
Nikaoa mwingine
Huu mwaka wa nne Sasa huyu mpya ananipa tendo la ndoa hadi kero, yaani nisipokuwa makini anaweza kunipa karibu kila siku siku zingine hata mara 2 au 3 kwa Siku
Kuna wakati huwa nampa nauli namwambia aende kwa ndugu kusalimia akae huko japo wiki 1 au 2 ili nipumzike kutom-ba maana ni shida
Mpaka Leo huwa najiuliza kwanini nilichelewa vile kuachana na yule chizi? Kwanini nilikuwa naogopa kuoa mara ya pili? Kwanini nilitumia muda wangu kuteseka kisa mapenzi?
Mwanamke akishakuzoea na akaona ni sawa tu kutokukupa uchi huyo ni wa kuachana naye haraka
Ni kweli kumbikiri haimaanishi kuwa hawezi chepuka.Acha kujifariji
Kumbikiri wewe haina maana hawezi kuchepuka
Dalili kuu ya kwanza ya mwanamke anayechepuka ni kuishiwa hamu na mmewe
Usiniombee mabaya kaka, haujui tu hili suala linavyoninyima raha, imefikia hatua hadi ufanisi wangu kwenye kazi za watu umeshuka.Majibu yako mengi yanaonyesha unalichukulia kawaida bado hili tatizo ila subiri siku zizidi kusogea utapata tu akili
Duuuuhhh!! Pole sana mkuu. Kuna wanawake ni wapumbavu sana kwa kweli.Mkuu kuna wanawake wengine hawajafunzwa na hawajui mwanaume hisia zake zipo vipi, Mimi nimeachana na mpenzi wangu, anatabia kama ya huyu mke wa jamaa, yeye hataki kabisa kunipa tendo yeye anataka tu niwe nampa pesa tu na tutoke out na ukimgusia maswala ya sexy hataki, alikuwa ana nipa sexy kwa mwaka mara moja na akipenda yeye.
Hilo halipo.Pengine kashafundishwa kwingine , mjaribu akitanua miguu kuingiza mashariki yake
Uone ,anatulia au kusikilizia iingie zaidi
Physical wounds hurts and heals quickly but emotional wounds hurts like hell and takes a lot of years to healUsiniombee mabaya kaka, haujui tu hili suala linavyoninyima raha, imefikia hatua hadi ufanisi wangu kwenye kazi za watu umeshuka.
Maradhi miaka yote hiyo?Daaah pole sana mkuu... usitumie hasira. huenda kuna maradhi yamsumbua .
mpeleke hospital iliyo karibu nawe.. aonwe na daktari wa magonjwa ya wanawake.