Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Huwa hawasemi anashauriana na wenzake vichwa vibovu huko ma-salon,mwanamke mkaidi always huwa mara nyingi hashirikiani kimawazo na mumewe.Hatumii njia yoyote ya uzazi wa mpango wa kisasa
Na cover matumizi yote ya nyumbani na ya kwake binafsi kwa asilimia 100; Pia nimemfungulia biashara yake anafanya, ambayo siulizii mapato wala kuifuatilia. Sasa ahangaike na madeni ya vikoba ili iweje?Vikoba , vikoba, vikoba. Kama ana madeni usahau mapenzi!
Asante sana mkuu kwa ushauri. Ama kweli mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake.Hakuna suluhisho lingine hapo zaidi ya kumuacha na kuoa mwingine
Pia unatakiwa uchukue uamuzi mgumu, ila ukibaki kulia lia na kutafuta huruma hutakaa upate suluhisho la tatizo lako
Huyo ameshakuzoea na hawezi kubadilika kamwe
Usisubiri mjomba au shangazi aje amshauri, ni kuachana naye haraka na kuoa mwingine haraka
Kumbe hiyo ndo dawa, safi sana.Nimewahi kuwa na mwanamke wa namna hiyo
Niliishi naye vizuri miaka 6 hivi ya mwanzo baadaye akaanza ujinga huo mara leo sijisikii, mara naumwa, mara anachelewa sana kuingia kitandani yupo bize sebuleni anaangalia TV
Niliishi naye kwa shida hivyo karibu miaka mitatu hivi lakini nilichukua uamuzi mgumu nikampiga chini tukatengana
Alikuwa akijitapa kwamba sina uwezo wa kumuacha na sina uwezo wa kuoa mwingine
Hata mimi sikuwahi kufikiri kama ningeweza kumuacha
Lakini hatimaye tuliachana
Nikaoa mwingine
Huu mwaka wa nne Sasa huyu mpya ananipa tendo la ndoa hadi kero, yaani nisipokuwa makini anaweza kunipa karibu kila siku siku zingine hata mara 2 au 3 kwa Siku
Kuna wakati huwa nampa nauli namwambia aende kwa ndugu kusalimia akae huko japo wiki 1 au 2 ili nipumzike kutom-ba maana ni shida
Mpaka Leo huwa najiuliza kwanini nilichelewa vile kuachana na yule chizi? Kwanini nilikuwa naogopa kuoa mara ya pili? Kwanini nilitumia muda wangu kuteseka kisa mapenzi?
Mwanamke akishakuzoea na akaona ni sawa tu kutokukupa uchi huyo ni wa kuachana naye haraka
Vacation najitahidi sana kiukweli, hata Dec kuna siku kadhaa tulienda vacation. Sasa itakua mnaenda vacation kila mkitaka kupiga game au kila siku? Hiyo haiwezekani.Mkuu Inaonekana Show Zako Zote Unapigia Kiwanja Cha Nyumbani Hapo Hapo.
Mahusiano Ni Art Jitahidi Kuwa Mbunifu Ili Kuleta Chachu Na Madaha Kwenye Mahusiano. Mfano Pata Mapumziko(Vacation) Tembea Kama Advanture Kubadiri Mazingira Mapya.
Ubunifu Ni Muhimu Sana Jitahidi Kwenye Hilo Mkuu.
Yeye anasema shida uchovu, anachoka sana hivyo usiku anakua hoi. Yeye ni mtu ambae saa tatu tu usiku ameshalala.Umeshawahi kumuuliza shida nini?
Dini hairuhusu. Sanasana nitatafuta kamchepuko kanakojielewa kawe kanamsaidia.
Ni ujinga kufanya hivyo na wengi hudhani hilo ni suluhishoHilo swala rahisi tu wala usishirikishe wazazi,
Tafuta mchepuko wako mzuri uwe ukitoka mishe unapitia unarudi home saa sita
Je ulimkuta bikira? Atakuwa hana hisia na wewe. Na anatombwa nje.Mimi ni mwanaume nimeoa, ndoa ina miaka mitano sasa. Mke wangu amebadilika sana, amekua ni mtu wa kila siku usiku yeye analalamika tu amechoka, na akiingia kitandani ni skeunde 10 tu amelala. Kuna kipindi nikawa nalazimishia, ikawa kama nambaka, anatanua tu miguu nafanya yangu, hadi namaliza.
Hii tabia inanikera sana, ila yeye haoni kama ni kero. Hii hali imeanza kwa muda wa miaka mitatu sasa, kabla ya ndoa wakati wa uchumba hakua na tabia hii, labda kwa vile alikua anakuja tu sleep overs za weekend chache chache.
Imekua ni shida kubwa sana kwenye ndoa yetu, tunagombana mara nyingi sababu ya hili, ila yeye anajiona hana makosa, analalamika tu kuwa napenda sana ngono, nataka ngono kila siku kama chakula. Yaani saa zingine usiku huwa namuangalia akiwa amelala kitandani, natamani nimchape mangumi, au hata nimfunike na mto afie mbali huko!!
Kuna kipindi niliamua kama kumpa adhabu nione kama anajielewa, sikumgusa karibu mwezi mzima, naingia zangu tu kitandani nalala bila kumgusa wala kumsumbua.
Cha ajabu, hata hakushtuka na kuona hiyo ni hali ya hatari, mwezi mzima tulilala bila kufanya chochote na bila hata yeye kushtuka wala kusema chochote. Mimi sio mtu wa kuchepuka kabisa kiasili, ni mtu wa kukaa na mwanamke mmoja.
Sasa kwa hatua iliyofikia, ninachopanga kichwani kwangu atakuja kushtuka wakati ameshachelewa sana, namtafutia dawa yake, atakuja kujuta. Wanawake acheni huu ujinga, mnavunja ndoa zenu kwa mikono yenu wenyewe.