Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mwanaume ni baba. Mkalishe chini muongee, tena badilisha mazingira mkalishe chini muongee, mwambie nini unakosa. Ukiona no madiliko muonye for last time. Next time itisha wazee waingilie, otherwise si dalili nzuri ndio mwanzo wa kuvunjika unaanza hivyo hivyoMimi ni mwanaume nimeoa, ndoa ina miaka mitano sasa. Mke wangu amebadilika sana, amekua ni mtu wa kila siku usiku yeye analalamika tu amechoka, na akiingia kitandani ni skeunde 10 tu amelala. Kuna kipindi nikawa nalazimishia, ikawa kama nambaka, anatanua tu miguu nafanya yangu, hadi namaliza.
Hii tabia inanikera sana, ila yeye haoni kama ni kero. Hii hali imeanza kwa muda wa miaka mitatu sasa, kabla ya ndoa wakati wa uchumba hakua na tabia hii, labda kwa vile alikua anakuja tu sleep overs za weekend chache chache.
Imekua ni shida kubwa sana kwenye ndoa yetu, tunagombana mara nyingi sababu ya hili, ila yeye anajiona hana makosa, analalamika tu kuwa napenda sana ngono, nataka ngono kila siku kama chakula. Yaani saa zingine usiku huwa namuangalia akiwa amelala kitandani, natamani nimchape mangumi, au hata nimfunike na mto afie mbali huko!!
Kuna kipindi niliamua kama kumpa adhabu nione kama anajielewa, sikumgusa karibu mwezi mzima, naingia zangu tu kitandani nalala bila kumgusa wala kumsumbua.
Cha ajabu, hata hakushtuka na kuona hiyo ni hali ya hatari, mwezi mzima tulilala bila kufanya chochote na bila hata yeye kushtuka wala kusema chochote. Mimi sio mtu wa kuchepuka kabisa kiasili, ni mtu wa kukaa na mwanamke mmoja.
Sasa kwa hatua iliyofikia, ninachopanga kichwani kwangu atakuja kushtuka wakati ameshachelewa sana, namtafutia dawa yake, atakuja kujuta. Wanawake acheni huu ujinga, mnavunja ndoa zenu kwa mikono yenu wenyewe.
Duniani atapaona Jehanam, kumbe ni sehemu salama ya kuishi. Yaani kwa tabu zote tunazopitia sisi wanaume, unafika nyumbani unakosa mahala pa kukojolea? Serious? Na umeoa? By the way kwa kijibaridi hiki, unaishije pande hizo?Kiimani tungesema anajini mahaba, kimtaani tungesema amempata mbadala wako,
SULUHU TAFUTA MCHEPUKO MPANGIE CHUMBA PUMZIKA NAE MAISHA YAENDELEE MWISHOWE UHAMIE UKOUKO KWA MCHEPUKO, UKIWA MNYONGE SANA UTAISHI KWA MATESO
Waambie ! waambie!Mimi ni mwanaume nimeoa, ndoa ina miaka mitano sasa. Mke wangu amebadilika sana, amekua ni mtu wa kila siku usiku yeye analalamika tu amechoka, na akiingia kitandani ni skeunde 10 tu amelala. Kuna kipindi nikawa nalazimishia, ikawa kama nambaka, anatanua tu miguu nafanya yangu, hadi namaliza.
Hii tabia inanikera sana, ila yeye haoni kama ni kero. Hii hali imeanza kwa muda wa miaka mitatu sasa, kabla ya ndoa wakati wa uchumba hakua na tabia hii, labda kwa vile alikua anakuja tu sleep overs za weekend chache chache.
Imekua ni shida kubwa sana kwenye ndoa yetu, tunagombana mara nyingi sababu ya hili, ila yeye anajiona hana makosa, analalamika tu kuwa napenda sana ngono, nataka ngono kila siku kama chakula. Yaani saa zingine usiku huwa namuangalia akiwa amelala kitandani, natamani nimchape mangumi, au hata nimfunike na mto afie mbali huko!!
Kuna kipindi niliamua kama kumpa adhabu nione kama anajielewa, sikumgusa karibu mwezi mzima, naingia zangu tu kitandani nalala bila kumgusa wala kumsumbua.
Cha ajabu, hata hakushtuka na kuona hiyo ni hali ya hatari, mwezi mzima tulilala bila kufanya chochote na bila hata yeye kushtuka wala kusema chochote. Mimi sio mtu wa kuchepuka kabisa kiasili, ni mtu wa kukaa na mwanamke mmoja.
Sasa kwa hatua iliyofikia, ninachopanga kichwani kwangu atakuja kushtuka wakati ameshachelewa sana, namtafutia dawa yake, atakuja kujuta. Wanawake acheni huu ujinga, mnavunja ndoa zenu kwa mikono yenu wenyewe.
Suluhisho lake liko hapa.Hilo swala rahisi tu wala usishirikishe wazazi,
Tafuta mchepuko wako mzuri uwe ukitoka mishe unapitia unarudi home saa sita
Hao wazee wenyewe wananyooshwa majumbani kwao.Wewe ni mwanaume ni baba. Mkalishe chini muongee, tena badilisha mazingira mkalishe chini muongee, mwambie nini unakosa. Ukiona no madiliko muonye for last time. Next time itisha wazee waingilie, otherwise si dalili nzuri ndio mwanzo wa kuvunjika unaanza hivyo hivyo
Hakuna shida, sex kwake ni passion huyo ni mwanamke aliyekamilika tena atakuwa wa pwani ndio kuna wife material halisi, tatizo badala ya kuowa wake tunaowa degree ndio shida zote hizi.Aisee wangu weekend amesema anataka mara tatu, asubh mchana na jioni, siku za kazi mara mbili yaani usiku na morning glory asikose, sijui shida itakuwa nini hapo
Ana bwana nje na hapo hana hisia tena na wewe, yalishanikutaMimi ni mwanaume nimeoa, ndoa ina miaka mitano sasa. Mke wangu amebadilika sana, amekua ni mtu wa kila siku usiku yeye analalamika tu amechoka, na akiingia kitandani ni skeunde 10 tu amelala. Kuna kipindi nikawa nalazimishia, ikawa kama nambaka, anatanua tu miguu nafanya yangu, hadi namaliza.
Hii tabia inanikera sana, ila yeye haoni kama ni kero. Hii hali imeanza kwa muda wa miaka mitatu sasa, kabla ya ndoa wakati wa uchumba hakua na tabia hii, labda kwa vile alikua anakuja tu sleep overs za weekend chache chache.
Imekua ni shida kubwa sana kwenye ndoa yetu, tunagombana mara nyingi sababu ya hili, ila yeye anajiona hana makosa, analalamika tu kuwa napenda sana ngono, nataka ngono kila siku kama chakula. Yaani saa zingine usiku huwa namuangalia akiwa amelala kitandani, natamani nimchape mangumi, au hata nimfunike na mto afie mbali huko!!
Kuna kipindi niliamua kama kumpa adhabu nione kama anajielewa, sikumgusa karibu mwezi mzima, naingia zangu tu kitandani nalala bila kumgusa wala kumsumbua.
Cha ajabu, hata hakushtuka na kuona hiyo ni hali ya hatari, mwezi mzima tulilala bila kufanya chochote na bila hata yeye kushtuka wala kusema chochote. Mimi sio mtu wa kuchepuka kabisa kiasili, ni mtu wa kukaa na mwanamke mmoja.
Sasa kwa hatua iliyofikia, ninachopanga kichwani kwangu atakuja kushtuka wakati ameshachelewa sana, namtafutia dawa yake, atakuja kujuta. Wanawake acheni huu ujinga, mnavunja ndoa zenu kwa mikono yenu wenyewe.
unataka mwanaume atake nini kwa mwanamke? ikiwa ndani ya ndoa linaitwa tendo la ndoa ikiwa nje ndo ngonoWanaume na ngono 🙌🙌🙌🙌
Kama kwenu hauna wazee wasio jielewa ni wewe. Wako wazee wenye heshima zao na helima na ndoa za muda mrefu they know the game, kuna wazee wanajua how to rescue this situations. So si wasee wote wana shidaHao wazee wenyewe wananyooshwa majumbani kwao.
Dawa ya mwanamke ni mwanamke tu, labda kama huna pesa ndio mtihani maana kuwa na nyumba ndogo siyo kitu rahisi kama wengi wanavyodhani.
[emoji16][emoji16]Kiimani tungesema anajini mahaba, kimtaani tungesema amempata mbadala wako,
SULUHU TAFUTA MCHEPUKO MPANGIE CHUMBA PUMZIKA NAE MAISHA YAENDELEE MWISHOWE UHAMIE UKOUKO KWA MCHEPUKO, UKIWA MNYONGE SANA UTAISHI KWA MATESO
Hizi ni sababu tu ambazo unaziwaza weweAngalia yafuatayo:
1. Usafi wako wa mwili.
2. Usafi wako wa kauli.
3. Gubu na kisirani.
4. Kununa bila sababu.
5. Ulevi na uvutaji sigara.
6. Ukubwa wa maumbile yako
Kama hapo kote juu uko salama, tafuta anayepewa, maana lazima yupo anayepewa.
Note:
We earn tendo la ndoa, hatupewi kama peremende ndugu tukishaoa.