Mpentecoste
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 283
- 319
Nahisi wewe NI last born na yeye ni first born
Firstorn anawahi kujitegemea na anakuwa na mizigo ya kuangalia wadogo zake na mambo ya nyumbani tangu akiwa mdogo so kwake anahakikisha kila kitu kipo sawa Kisha alarelax, last born anakuwa amezoea kuzungukwa na watu wengi na kuulizwa kila Mara Kama is everything okey?
Mara nyingi ktk ndoa mke akiwa firs na mume last kuanakuwa na mkanganyiko wife anakuwa tough na mume anakuwa weak (sio Mara ZOTE)
Ipo hivi katika mahusiano Kuna wakati kila kitu kinakuwa sawa kiasi kwamba Hakuna haja ya kutoa ripoti kila siku, haimaanishi Kama mwenzako hajali au lah akina mama wanakua bize Sana na ratiba na wako very fast kwenye movements zao mbali mbali adi jioni mtu analala Yuko hoi, unaweza kutest usiwe unamuanza kumsalimia au kumuomba sex ikapita hata miezi 2 yeye Yuko fresh tu na mambo yake yanaenda.
Mfano mjane mwenye miaka 45-60 anaweza kuwa single bila mwanaume miaka kibao na ratiba zake zikawa gudgud Sasa mwanaume anaweza hivyo?
Wewe huwazi kumsalimia mke Wala watoto unachowaza ni ngono tu na kwakuwa yeye ndiyo sex machine yako lazima umpigie sim.
Mfano akisafiri akawa mbAli na watoto utaona jinsi anavyopiga simu kila siku kuongea na watoto, kiufupi Yuko sahihi na Wala usiwaze Sana, kila kitu kipo sawa au usiache hela au usiwe unarecover Yale mahitaji ya msingi uone jinsi Simu zitavyo miminika.
Ukiwa mbali na nyumbani wewe uliye mbali niniukumu lako kuwachek, unabahati kumpata mke asiye king:ang'anizi anakupa muda wa kutosha kufanya kazi.
Over.
Yesu ni Jibu
Firstorn anawahi kujitegemea na anakuwa na mizigo ya kuangalia wadogo zake na mambo ya nyumbani tangu akiwa mdogo so kwake anahakikisha kila kitu kipo sawa Kisha alarelax, last born anakuwa amezoea kuzungukwa na watu wengi na kuulizwa kila Mara Kama is everything okey?
Mara nyingi ktk ndoa mke akiwa firs na mume last kuanakuwa na mkanganyiko wife anakuwa tough na mume anakuwa weak (sio Mara ZOTE)
Ipo hivi katika mahusiano Kuna wakati kila kitu kinakuwa sawa kiasi kwamba Hakuna haja ya kutoa ripoti kila siku, haimaanishi Kama mwenzako hajali au lah akina mama wanakua bize Sana na ratiba na wako very fast kwenye movements zao mbali mbali adi jioni mtu analala Yuko hoi, unaweza kutest usiwe unamuanza kumsalimia au kumuomba sex ikapita hata miezi 2 yeye Yuko fresh tu na mambo yake yanaenda.
Mfano mjane mwenye miaka 45-60 anaweza kuwa single bila mwanaume miaka kibao na ratiba zake zikawa gudgud Sasa mwanaume anaweza hivyo?
Wewe huwazi kumsalimia mke Wala watoto unachowaza ni ngono tu na kwakuwa yeye ndiyo sex machine yako lazima umpigie sim.
Mfano akisafiri akawa mbAli na watoto utaona jinsi anavyopiga simu kila siku kuongea na watoto, kiufupi Yuko sahihi na Wala usiwaze Sana, kila kitu kipo sawa au usiache hela au usiwe unarecover Yale mahitaji ya msingi uone jinsi Simu zitavyo miminika.
Ukiwa mbali na nyumbani wewe uliye mbali niniukumu lako kuwachek, unabahati kumpata mke asiye king:ang'anizi anakupa muda wa kutosha kufanya kazi.
Over.
Yesu ni Jibu